Nchi za kiarabu na viongozi wa kiislamu wakutana Saudi Arabia na kutoka na tamko moja la kuitaka Israel isitishe vita

Nchi za kiarabu na viongozi wa kiislamu wakutana Saudi Arabia na kutoka na tamko moja la kuitaka Israel isitishe vita

Nilitegemea watasema waivamie Israel
Hilo Haliwezekani Kwa waarabu . Ni waoga wa kutupwa .
Katika kikao Cha hao viongozi Rais wa Syria Bashar Al Assad Kuna picha alionekana akicheka katikati ya majadiliano , picha hiyo imemletea kasheshe Sana imeonekana hawakua serious Hawa viongozi. 🤣🤣🤣
F-sO98MXgAASHid.jpeg
 
Alwaz

Al Arabi:

Saudi Arabia, the UAE, Bahrain, and Morrocco rejected the draft proposal for an oil ban and banning the US from using the Arabic airspace to deliver arms or bombs to other countries in the region.

Ndugu yangu, hawa hawana jeuri, ulinzi wao wanategemea kwa US.
nchi zinajali uchumi na sio kuwaunga mkono waapalestina.
 
Back
Top Bottom