F9T
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,677
- 4,959
Hilo Haliwezekani Kwa waarabu . Ni waoga wa kutupwa .Nilitegemea watasema waivamie Israel
Katika kikao Cha hao viongozi Rais wa Syria Bashar Al Assad Kuna picha alionekana akicheka katikati ya majadiliano , picha hiyo imemletea kasheshe Sana imeonekana hawakua serious Hawa viongozi. š¤£š¤£š¤£