Nchi za Kiarabu zakiri kuisaidia Israel dhidi ya shambulizi la Iran

Nchi za Kiarabu zakiri kuisaidia Israel dhidi ya shambulizi la Iran

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Tulishasema mara nyingi humu. Watawala wa nchi za Kiarabu na Israel damudamu

Juzi wakati Iran ikiwapelekea fire wazayuni, Jordan ilishirikiana bega kwa bega na uingereza na Marekani kutungua mkombora ya Iran ili kuinusuru Israel.

Leo Saudi Arabia nayo imekiri kushiriki nyuma ya pazia kuinusuru Israel isichezee fire.

Labda watu wasichokifahamu ni kuwa Utawala wa Hashimite wa Jordan kiasili ni Wasaudia, Ufalme huo ndiyo uliokuwa ukiongoza eneo la leo la Saudia ambapo kuna Makkah na Madina (Zamani palikuwa pakiitwa Hijjaz). Waingereza waliwachezea trick hawa waheshimite kwa kuwaambia waasi utawala wa ottoman katika eneo hilo kisha waottoman wakishindwa vita watawafanya wao kutawala eneo hilo. Kweli Waheshimite wakaanzish operesheni za kuwasabotage Waottoman mpaka muingereza akitumia majasusi wake akina Laurence of Arabia akafanikiwa kumng'oa Muottoman huko.

Lakini at the same time Muingereza alikuwa na Plan B, alikuwa na mshirika wake mwingine akiitwa Al-Saud, akamsaidia Al-Saudi kuwapiga na kuwaondoa waheshimite huko Hijjaz ufalme wa Hashim ukapewa option ya kuondoka Saudia waende wakatawale Iraq, Hata hivyo hata huko Iraq ilishindikana na ndipo wakati Muingereza aliposhinda vita ya pili ya dunia na kufanikiwa kumuondoa Ottoman empire katika eneo lile la Palestina na Jordan, Muingereza akakata pande la nchi akaupa utawala wa Jordan utawale pale. Kwa hiyo huo utawala wa Jordan ni Wasaudia wanaolindwa na Muingereza kama ambavyo utawala wa Saudia wanavyolindwa na Muingereza na mmarekani.

Kwa hiyo, kiufupi Umma wa Waarabu unachukia mambo ya Magharibi ila Wafalme wao wamo mfukoni

Hii habari inaweza kuangaliwa hapa:
-------------------------------------------------------------------------------------------------

Saudi Arabia acknowledges helping defend Israel against Iran​


Saudi Arabia acknowledged that it had helped the newly forged regional military coalition — Israel, the United States, Jordan, the United Kingdom, and France — repel an Iranian attack against the Jewish state early Sunday morning, in an unusual post on its royal family’s website.

It referenced a story on KAN News about the Saudi involvement in the military defensive operation in which 99% of the Iranian drones and missiles were destroyed before hitting their targets.

Many of the drones and missiles had to travel over Jordanian and Saudi airspace to reach Israel.

Riyadh subtly admits it played a part in defense against Iran​

Jordan has been public about its involvement, while the closest Saudi Arabia has come to acknowledging it was the story it posted on its website summarizing what a source from the Saudi royal family had told KAN.

“The individual subtly acknowledges Saudi Arabia’s supposed involvement in thwarting Iranian attack drones bound for Israel the previous evening, citing that Saudi Arabian airspace automatically intercepts “any suspicious entity"", the report on the royal family’s website stated.

 
Tulishasema mara nyingi humu. Watawala wa nchi za Kiarabu na Israel damudamu

Juzi wakati Iran ikiwapelekea fire wazayuni, Jordan ilishirikiana bega kwa bega na uingereza na Marekani kutungua mkombora ya Iran ili kuinusuru Israel.

Leo Saudi Arabia nayo imekiri kushiriki nyuma ya pazia kuinusuru Israel isichezee fire.

Labda watu wasichokifahamu ni kuwa Utawala wa Hashimite wa Jordan kiasili ni Wasaudia, Ufalme huo ndiyo uliokuwa ukiongoza eneo la leo la Saudia ambapo kuna Makkah na Madina (Zamani palikuwa pakiitwa Hijjaz). Waingereza waliwachezea trick hawa waheshimite kwa kuwaambia waasi utawala wa ottoman katika eneo hilo kisha waottoman wakishindwa vita watawafanya wao kutawala eneo hilo. Kweli Waheshimite wakaanzish operesheni za kuwasabotage Waottoman mpaka muingereza akitumia majasusi wake akina Laurence of Arabia akafanikiwa kumng'oa Muottoman huko. Lakini at the same time Muingereza alikuwa na Plan B, alikuwa na mshirika wake mwingine akiitwa Al-Saud, akamsaidia Al-Saudi kuwapiga na kuwaondoa waheshimite huko Hijjaz ufalme wa Hashim ukapewa option ya kuondoka Saudia waende wakatawale Iraq, Hata hivyo hata huko Iraq ilishindikana na ndipo wakati Muingereza aliposhinda vita ya pili ya dunia na kufanikiwa kumuondoa Ottoman empire katika eneo lile la Palestina na Jordan, Muingereza akakata pande la nchi akaupa utawala wa Jordan utawale pale. Kwa hiyo huo utawala wa Jordan ni Wasaudia wanaolindwa na Muingereza kama ambavyo utawala wa Saudia wanavyolindwa na Muingereza na mmarekani.

Kwa hiyo, kiufupi Umma wa Waarabu unachukia mambo ya Magharibi ila Wafalme wao wamo mfukoni

Hii habari inaweza kuangaliwa hapa:
-------------------------------------------------------------------------------------------------

Saudi Arabia acknowledges helping defend Israel against Iran​


Saudi Arabia acknowledged that it had helped the newly forged regional military coalition — Israel, the United States, Jordan, the United Kingdom, and France — repel an Iranian attack against the Jewish state early Sunday morning, in an unusual post on its royal family’s website.

It referenced a story on KAN News about the Saudi involvement in the military defensive operation in which 99% of the Iranian drones and missiles were destroyed before hitting their targets.

Many of the drones and missiles had to travel over Jordanian and Saudi airspace to reach Israel.

Riyadh subtly admits it played a part in defense against Iran​

Jordan has been public about its involvement, while the closest Saudi Arabia has come to acknowledging it was the story it posted on its website summarizing what a source from the Saudi royal family had told KAN.

“The individual subtly acknowledges Saudi Arabia’s supposed involvement in thwarting Iranian attack drones bound for Israel the previous evening, citing that Saudi Arabian airspace automatically intercepts “any suspicious entity"", the report on the royal family’s website stated.

Hao waarabu unowasema ni waSunni.

Iran yaongozwa na washia.

Hivyo wasuni wa Iraq, Jordan na waarabu wa Misri pamoja na nchi ya Lebanon ni lazima wawasaidie nchi za magharibi dhidi ya Iran.

Ndo maana Iran watuhumiwa kuwasaidia wahuthi wa Yemen, Washia wa iraq na Syria na wale washia wa Hezbollah walioko kusini mwa Lebanon.

ISIS ni wasunni hivyo mara nyingi magaidi wake hutumika kuwadhuru washiia kama lile shambulizi nchini Iran lilofanywa mapema mwezi januari lilouwa watu zaidi ya 84 waliuawa.
 
Hao waarabu unowasema ni wa kabila la Suni.

Iran yaongozwa na washia.

Hivyo wasuni wa Iraq, Jordan na waarabu wa Misri pamoja na nchi ya Lebanon ni lazima wawasaidie nchi za magharibi dhidi ya Iran.

Ndo maana Iran watuhumiwa kuwasaidia wahuthi wa Yemen, Washia wa iraq na Syria na wale washia wa Hezbollah walioko kusini mwa Lebanon.
Na hawa Wavaa kobazi wa bongo ni washia au wasuni
 
Kwani ulikuwa hujui Saudi ilikuwa hasimu wa Iran kwa miaka mingi?
Saudia ni kibaraka mzuri wa US,UK na Israel!
Hakuna Urafiki wa Sunni na Shia!
 
Waarabu wengi wa mashariki ya kati hawapendi vurugu za Iran
Ni chuki kati yao ndo mataifa ya magharibi yamekuwa yakitumia mwanya huo kuwachonganisha.
 
Tulishasema mara nyingi humu. Watawala wa nchi za Kiarabu na Israel damudamu

Juzi wakati Iran ikiwapelekea fire wazayuni, Jordan ilishirikiana bega kwa bega na uingereza na Marekani kutungua mkombora ya Iran ili kuinusuru Israel.

Leo Saudi Arabia nayo imekiri kushiriki nyuma ya pazia kuinusuru Israel isichezee fire.

Labda watu wasichokifahamu ni kuwa Utawala wa Hashimite wa Jordan kiasili ni Wasaudia, Ufalme huo ndiyo uliokuwa ukiongoza eneo la leo la Saudia ambapo kuna Makkah na Madina (Zamani palikuwa pakiitwa Hijjaz). Waingereza waliwachezea trick hawa waheshimite kwa kuwaambia waasi utawala wa ottoman katika eneo hilo kisha waottoman wakishindwa vita watawafanya wao kutawala eneo hilo. Kweli Waheshimite wakaanzish operesheni za kuwasabotage Waottoman mpaka muingereza akitumia majasusi wake akina Laurence of Arabia akafanikiwa kumng'oa Muottoman huko.

Lakini at the same time Muingereza alikuwa na Plan B, alikuwa na mshirika wake mwingine akiitwa Al-Saud, akamsaidia Al-Saudi kuwapiga na kuwaondoa waheshimite huko Hijjaz ufalme wa Hashim ukapewa option ya kuondoka Saudia waende wakatawale Iraq, Hata hivyo hata huko Iraq ilishindikana na ndipo wakati Muingereza aliposhinda vita ya pili ya dunia na kufanikiwa kumuondoa Ottoman empire katika eneo lile la Palestina na Jordan, Muingereza akakata pande la nchi akaupa utawala wa Jordan utawale pale. Kwa hiyo huo utawala wa Jordan ni Wasaudia wanaolindwa na Muingereza kama ambavyo utawala wa Saudia wanavyolindwa na Muingereza na mmarekani.

Kwa hiyo, kiufupi Umma wa Waarabu unachukia mambo ya Magharibi ila Wafalme wao wamo mfukoni

Hii habari inaweza kuangaliwa hapa:
-------------------------------------------------------------------------------------------------

Saudi Arabia acknowledges helping defend Israel against Iran​


Saudi Arabia acknowledged that it had helped the newly forged regional military coalition — Israel, the United States, Jordan, the United Kingdom, and France — repel an Iranian attack against the Jewish state early Sunday morning, in an unusual post on its royal family’s website.

It referenced a story on KAN News about the Saudi involvement in the military defensive operation in which 99% of the Iranian drones and missiles were destroyed before hitting their targets.

Many of the drones and missiles had to travel over Jordanian and Saudi airspace to reach Israel.

Riyadh subtly admits it played a part in defense against Iran​

Jordan has been public about its involvement, while the closest Saudi Arabia has come to acknowledging it was the story it posted on its website summarizing what a source from the Saudi royal family had told KAN.

“The individual subtly acknowledges Saudi Arabia’s supposed involvement in thwarting Iranian attack drones bound for Israel the previous evening, citing that Saudi Arabian airspace automatically intercepts “any suspicious entity"", the report on the royal family’s website stated.

Siku zao zinahesabika.
 
Na hawa Wavaa kobazi wa bongo ni washia au wasuni
Wengi ni suni huku, shia wengi ni wale wahindi wengi wa kko huko, ila mitaani wengi suni na jamaa wanawachukia wamagharibi wakati wakubwa wao ni vibaraka wa wamagharibi, wengi hawajui kete alizocheza Muingereza pale, hao wasaudi na jamaa wa Jordan watalinda maslahi ya wamagharibi kwa nguvu zao zote maana wanajua wakishindwa na wao falme zao zinaanguka,,,,kuna waarabu wanataka kurudisha utawala wa caliphate kama enzi za ottoman na ili hilo liwezekane lazima utawala wa Saudia uangushwe maana sehemu muhimu za dini zipo kwao na wakiangushwa ndo mambo mengine yaendelee
 
Uko kote umeenda mbali. Kimataifa, anga la nchi ni mali ya nchi husika. Anga ni kama ardhi au maji. Ni territory.

Sasa kwa kuzingatia kwamba Iran na Israel hazipakani, inabidi Iran ikifanya shambulizi lipitie anga la Jordan, Syria na Saudi Arabia, Iraq au Lebanon. Kati ya hizo nchi tajwa ni Saudi Arabia na Jordan pekee zenye air defense systems za ku-engage targets. Na Iran hakuomba air corridor kwa yeyote, na hakuna yeyote angempa hata Syria na Iraq hawapendi ila wanaburuzwa na Iran. Hivyo Saudi na Jordan wamehusika sababu makombora yalikuwa angani kwao
1000342690.png


Huwezi beba mabomu ukayapitisha barabara za Tanzania kuyatoa Kenya kuyapeleka kuyalipua Congo alafu ukikamatwa unalalamika na kutafuta visingizio sijui Rais wa Congo na wa Tanzania ni ndugu wa siri. Tutajuaje unaenda kuyalipua Congo na si hapo Kigoma? Jordan ingejuaje kama makombora yanaenda Israel na hayatui Amman, au Saudi Arabia ingejuaje kama drones za Iran haziendi Madina au Makkah?
 
Hawa wa hapa kwetu ni takataka zinazojipendekeza kwa waarabu. Mujahidina weusi hawatambulikani popote.
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mjii makka na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

"Waislamu wasio Waarabu wanastahili kuitwa mbwa wetu .. " ~ Sheikh wa Saudi Wahabi,

WAARABU ndio Waislamu wa kweli
na vizazi vya kweli vya
Mtume Muhammad (SAW)..
"Wasio Waarabu ambao bila haya, walijiita
wenyewe waislamu tu
Waongofu ambao ni waoga duni na
nafsi zisizo na heshima Ambazo zilikuwa
zimezidiwa kwa urahisi na upanga
wa Mwenyezi Mungu, ndivyo walivyostahiki
Kuitwa Mbwa wetu.."

Muhammad Al-Arifi
Saudi Wahabi Sheikh.
 

Attachments

  • Screenshot_20240320-111517~2.jpg
    Screenshot_20240320-111517~2.jpg
    61.4 KB · Views: 7
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mjii makka na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

"Waislamu wasio Waarabu wanastahili kuitwa mbwa wetu .. " ~ Sheikh wa Saudi Wahabi,

WAARABU ndio Waislamu wa kweli
na vizazi vya kweli vya
Mtume Muhammad (SAW)..
"Wasio Waarabu ambao bila haya, walijiita
wenyewe waislamu tu
Waongofu ambao ni waoga duni na
nafsi zisizo na heshima Ambazo zilikuwa
zimezidiwa kwa urahisi na upanga
wa Mwenyezi Mungu, ndivyo walivyostahiki
Kuitwa Mbwa wetu.."

Muhammad Al-Arifi
Saudi Wahabi Sheikh.
yamekuwa hayo tena?
 
Back
Top Bottom