Nchi za Kiarabu zakiri kuisaidia Israel dhidi ya shambulizi la Iran

Nchi za Kiarabu zakiri kuisaidia Israel dhidi ya shambulizi la Iran

Mkuu ulivyo jeusi tii kama tako la iddi Amin eti una uhakika ukifa kwenye uislamu utabadilika kuwa mwarabu ndo maana mnajisugua paji za zenu mpate sijda. Sababu kubwa ya nyie mijitu mieusii kuwa miislam ni kubadilika kuwa miarabu mkifa.

Jagina mjingamimi zonda THE BIG SHOW
Unatumia hisia kuhukumu???ww wanijulia wap????mbna mnakuwa watumwa mpaka leo huku ukijidai umeelimika???
 
Nchi za kiarabu wanaamini Iran ni hatari kwao zaidi wa Israel. Wanaamini Israel hawawezi kuhatarisha usalama wao kwa sababu Israel ni watu nipe nikupe kwa maana nyingine maslahi ya pande zote( Mutual interest). Kwa upande wa Iran wao wanaendeshwa na ideology za kidini zaidi wata ku support ukiwa kama wao kwa maana Shiaa. Na Iran hatari zaidi kwa kuweka vikundi vyao katika nchi kama Lebanon, Yemen na Syria wana ushawishi mkubwa na yote udini.

Ndio maana nchi za kiarabu hawana shida kwa Israel kuwa na nuclear ila wana wasiwasi Iran kuja kumiliki silaha hizo kwa sababu watakuwa hatarishi kwao direct. Kwa maana nyingine nchi za Kiarabu wanamkubali Israel zaidi kuliko Iran. Ukija kwenye ukweli wako sawa kabisa. Mfano sisi Tanzania ukiniambia nani afadhali kwa usalama wetu Kenya au Rwanda, nitakuambia Kenya sababu hawawezi kutudhuru maslahi yetu yanafanana lakini Rwanda ni hatari kama watakuwa na power wanaweza kuja kukata Tanzania na kuleta maafa. Kila mtu ana majirani lakini hawafanani, Hata katika mitaa yetu unasema kabisa huyu mzee akija kupata hatutalala mtaani ila yule hana shida.
Kinachowaponza viongozi wa kiarabu ni unafk tu hakuna kingine
 
Adui wa adui yako ni rafiki yako
Kwani huu msemo huujui?
Tangu lini Waarabu wana urafiki na Iran?
Na pia hawana urafiki na Israel wengi wao hata sisi tulikuwa hatuna ukaribu nao na Nyerere aliwachukia kwa uonezi wao tangu zamani

Sasa walipoona Israel anataka kubomolewa wakajua next watakuwa wao kwa hiyo hapo ndio unaingia huo msemo
Your enemies enemy is your friend
 
Pia ikumbukwe Iran ni wa Shia na Saudi ni wa Sunni,waSunni hawawakubali washiha hata kidogo they are antagonists
 
Tulishasema mara nyingi humu. Watawala wa nchi za Kiarabu na Israel damudamu

Juzi wakati Iran ikiwapelekea fire wazayuni, Jordan ilishirikiana bega kwa bega na uingereza na Marekani kutungua mkombora ya Iran ili kuinusuru Israel.

Leo Saudi Arabia nayo imekiri kushiriki nyuma ya pazia kuinusuru Israel isichezee fire.

Labda watu wasichokifahamu ni kuwa Utawala wa Hashimite wa Jordan kiasili ni Wasaudia, Ufalme huo ndiyo uliokuwa ukiongoza eneo la leo la Saudia ambapo kuna Makkah na Madina (Zamani palikuwa pakiitwa Hijjaz). Waingereza waliwachezea trick hawa waheshimite kwa kuwaambia waasi utawala wa ottoman katika eneo hilo kisha waottoman wakishindwa vita watawafanya wao kutawala eneo hilo. Kweli Waheshimite wakaanzish operesheni za kuwasabotage Waottoman mpaka muingereza akitumia majasusi wake akina Laurence of Arabia akafanikiwa kumng'oa Muottoman huko.

Lakini at the same time Muingereza alikuwa na Plan B, alikuwa na mshirika wake mwingine akiitwa Al-Saud, akamsaidia Al-Saudi kuwapiga na kuwaondoa waheshimite huko Hijjaz ufalme wa Hashim ukapewa option ya kuondoka Saudia waende wakatawale Iraq, Hata hivyo hata huko Iraq ilishindikana na ndipo wakati Muingereza aliposhinda vita ya pili ya dunia na kufanikiwa kumuondoa Ottoman empire katika eneo lile la Palestina na Jordan, Muingereza akakata pande la nchi akaupa utawala wa Jordan utawale pale. Kwa hiyo huo utawala wa Jordan ni Wasaudia wanaolindwa na Muingereza kama ambavyo utawala wa Saudia wanavyolindwa na Muingereza na mmarekani.

Kwa hiyo, kiufupi Umma wa Waarabu unachukia mambo ya Magharibi ila Wafalme wao wamo mfukoni

Hii habari inaweza kuangaliwa hapa:
-------------------------------------------------------------------------------------------------

Saudi Arabia acknowledges helping defend Israel against Iran​


Saudi Arabia acknowledged that it had helped the newly forged regional military coalition — Israel, the United States, Jordan, the United Kingdom, and France — repel an Iranian attack against the Jewish state early Sunday morning, in an unusual post on its royal family’s website.

It referenced a story on KAN News about the Saudi involvement in the military defensive operation in which 99% of the Iranian drones and missiles were destroyed before hitting their targets.

Many of the drones and missiles had to travel over Jordanian and Saudi airspace to reach Israel.

Riyadh subtly admits it played a part in defense against Iran​

Jordan has been public about its involvement, while the closest Saudi Arabia has come to acknowledging it was the story it posted on its website summarizing what a source from the Saudi royal family had told KAN.

“The individual subtly acknowledges Saudi Arabia’s supposed involvement in thwarting Iranian attack drones bound for Israel the previous evening, citing that Saudi Arabian airspace automatically intercepts “any suspicious entity"", the report on the royal family’s website stated.

Rais wa Uturuki aliipiga vita israel na kuilaani ilipoingia gaza hadi akavunja mahisiano. Akaigiza kukamata ‘majasusi’ Israel.

Kumbe ilikuwa ni mbinu ya kampeni kuvutia wapiga kura. Baada ya kushinda uchaguzi ameanza kuomba kurudisha mahsiano na Israel
 
Iran ni nchi yenye nidhamu ya juu sana na haipendi vurugu na mtu yoyote kinachowqkera wamegharim ni uwwzo wake wa kujitegemea na kufanya ugunduzi wa technology kwenye jeshi lake
Tena licha ya kuwekewa vikwazo miaka zaidi ya 40 bado jamaa sasa watengeneza UAVs na makombora hadi ya Hypersonic.

Na silaha hizi ni aina tofauti.
 
Kinachowaponza viongozi wa kiarabu ni unafk tu hakuna kingine
Huo ni mtazamo wako lakini soma history ya hizi nchi, nchi yoyote inaweka maslahi yake mbele kiulinzi, kiuchumi na mengine mengi sasa usitegemee Jordan akasimame na Iran wakati maslahi yake makubwa ni Israel sio Iran. Maamuzi ya kisiasa hayafanyiwi kwa mihemko ni akili. Sasa inategemea tafsiri ya unafiki ni ipi. Egypt hawezi kukurupuka tu wakati yeye ana mkataba na Israel kwa maslahi ya nchi mbili.

Kumbuka Saddat aliuliwa na wana siasa kali sababu tu alisign mkataba wa amani na Israel. Aliweka maslahi ya Egypt mbele kabla ya Palestine issue. Alisema hatuwezi kuhatarisha maslahi yetu kwa kutegemea lini Palestine atafikia amani na Israel aliweka Egypt mbele. Wakamuuwa lakini leo hii nchi zote wanafanya yale aliyofanya Saadat Rais wa Egypt. Hapa hakuna unafiki ni kuangalia maslahi ya nchi kiusalama na kiuchumi. Rafiki mzuri mwenye maslahi na wewe.
 
Tulishasema mara nyingi humu. Watawala wa nchi za Kiarabu na Israel damudamu

Juzi wakati Iran ikiwapelekea fire wazayuni, Jordan ilishirikiana bega kwa bega na uingereza na Marekani kutungua mkombora ya Iran ili kuinusuru Israel.

Leo Saudi Arabia nayo imekiri kushiriki nyuma ya pazia kuinusuru Israel isichezee fire.

Labda watu wasichokifahamu ni kuwa Utawala wa Hashimite wa Jordan kiasili ni Wasaudia, Ufalme huo ndiyo uliokuwa ukiongoza eneo la leo la Saudia ambapo kuna Makkah na Madina (Zamani palikuwa pakiitwa Hijjaz). Waingereza waliwachezea trick hawa waheshimite kwa kuwaambia waasi utawala wa ottoman katika eneo hilo kisha waottoman wakishindwa vita watawafanya wao kutawala eneo hilo. Kweli Waheshimite wakaanzish operesheni za kuwasabotage Waottoman mpaka muingereza akitumia majasusi wake akina Laurence of Arabia akafanikiwa kumng'oa Muottoman huko.

Lakini at the same time Muingereza alikuwa na Plan B, alikuwa na mshirika wake mwingine akiitwa Al-Saud, akamsaidia Al-Saudi kuwapiga na kuwaondoa waheshimite huko Hijjaz ufalme wa Hashim ukapewa option ya kuondoka Saudia waende wakatawale Iraq, Hata hivyo hata huko Iraq ilishindikana na ndipo wakati Muingereza aliposhinda vita ya pili ya dunia na kufanikiwa kumuondoa Ottoman empire katika eneo lile la Palestina na Jordan, Muingereza akakata pande la nchi akaupa utawala wa Jordan utawale pale. Kwa hiyo huo utawala wa Jordan ni Wasaudia wanaolindwa na Muingereza kama ambavyo utawala wa Saudia wanavyolindwa na Muingereza na mmarekani.

Kwa hiyo, kiufupi Umma wa Waarabu unachukia mambo ya Magharibi ila Wafalme wao wamo mfukoni

Hii habari inaweza kuangaliwa hapa:
-------------------------------------------------------------------------------------------------

Saudi Arabia acknowledges helping defend Israel against Iran​


Saudi Arabia acknowledged that it had helped the newly forged regional military coalition — Israel, the United States, Jordan, the United Kingdom, and France — repel an Iranian attack against the Jewish state early Sunday morning, in an unusual post on its royal family’s website.

It referenced a story on KAN News about the Saudi involvement in the military defensive operation in which 99% of the Iranian drones and missiles were destroyed before hitting their targets.

Many of the drones and missiles had to travel over Jordanian and Saudi airspace to reach Israel.

Riyadh subtly admits it played a part in defense against Iran​

Jordan has been public about its involvement, while the closest Saudi Arabia has come to acknowledging it was the story it posted on its website summarizing what a source from the Saudi royal family had told KAN.

“The individual subtly acknowledges Saudi Arabia’s supposed involvement in thwarting Iranian attack drones bound for Israel the previous evening, citing that Saudi Arabian airspace automatically intercepts “any suspicious entity"", the report on the royal family’s website stated.

tunajua ya kwamba israel hata msumbiji hawezi kuipiga bila msaada wa nchi kadhaa hivi
 
Kwahiyo israeli kasaidiwa na kijiji sasa anavojitutumua kurudisha mapigo wakikataa kumsaidia ataweza?
 
Uko kote umeenda mbali. Kimataifa, anga la nchi ni mali ya nchi husika. Anga ni kama ardhi au maji. Ni territory.

Sasa kwa kuzingatia kwamba Iran na Israel hazipakani, inabidi Iran ikifanya shambulizi lipitie anga la Jordan, Syria na Saudi Arabia, Iraq au Lebanon. Kati ya hizo nchi tajwa ni Saudi Arabia na Jordan pekee zenye air defense systems za ku-engage targets. Na Iran hakuomba air corridor kwa yeyote, na hakuna yeyote angempa hata Syria na Iraq hawapendi ila wanaburuzwa na Iran. Hivyo Saudi na Jordan wamehusika sababu makombora yalikuwa angani kwaoView attachment 2964441

Huwezi beba mabomu ukayapitisha barabara za Tanzania kuyatoa Kenya kuyapeleka kuyalipua Congo alafu ukikamatwa unalalamika na kutafuta visingizio sijui Rais wa Congo na wa Tanzania ni ndugu wa siri. Tutajuaje unaenda kuyalipua Congo na si hapo Kigoma? Jordan ingejuaje kama makombora yanaenda Israel na hayatui Amman, au Saudi Arabia ingejuaje kama drones za Iran haziendi Madina au Makkah?
Hii gia uliyochomoka nayo hapa ni kiboko mkuu 🤣
 
Wasuni wanamuombeaga heri swahaba wa mtume bwana Abubakar ila Shia wanaamini Abubar hakuwa swahaba wa mtume, hilo tu ni ugomvi kati yao
[emoji23] [emoji23]
Naona unachochea kuni muyahudi wa mchongo ukiwa hapo mbagala.
 
Kwakifupi makombora yalianza kuzuiliwa tangu Iraq kwenye kambi za wamarekani kote saudia , UAE , Bahrain, Qatar mpaka Jordan lakini mwanaume Iran kapenya akauiingiza mzigo muyahudi akausikilizia kwa utamuu.
 
Tulishasema mara nyingi humu. Watawala wa nchi za Kiarabu na Israel damudamu

Juzi wakati Iran ikiwapelekea fire wazayuni, Jordan ilishirikiana bega kwa bega na uingereza na Marekani kutungua mkombora ya Iran ili kuinusuru Israel.

Leo Saudi Arabia nayo imekiri kushiriki nyuma ya pazia kuinusuru Israel isichezee fire.

Labda watu wasichokifahamu ni kuwa Utawala wa Hashimite wa Jordan kiasili ni Wasaudia, Ufalme huo ndiyo uliokuwa ukiongoza eneo la leo la Saudia ambapo kuna Makkah na Madina (Zamani palikuwa pakiitwa Hijjaz). Waingereza waliwachezea trick hawa waheshimite kwa kuwaambia waasi utawala wa ottoman katika eneo hilo kisha waottoman wakishindwa vita watawafanya wao kutawala eneo hilo. Kweli Waheshimite wakaanzish operesheni za kuwasabotage Waottoman mpaka muingereza akitumia majasusi wake akina Laurence of Arabia akafanikiwa kumng'oa Muottoman huko.

Lakini at the same time Muingereza alikuwa na Plan B, alikuwa na mshirika wake mwingine akiitwa Al-Saud, akamsaidia Al-Saudi kuwapiga na kuwaondoa waheshimite huko Hijjaz ufalme wa Hashim ukapewa option ya kuondoka Saudia waende wakatawale Iraq, Hata hivyo hata huko Iraq ilishindikana na ndipo wakati Muingereza aliposhinda vita ya pili ya dunia na kufanikiwa kumuondoa Ottoman empire katika eneo lile la Palestina na Jordan, Muingereza akakata pande la nchi akaupa utawala wa Jordan utawale pale. Kwa hiyo huo utawala wa Jordan ni Wasaudia wanaolindwa na Muingereza kama ambavyo utawala wa Saudia wanavyolindwa na Muingereza na mmarekani.

Kwa hiyo, kiufupi Umma wa Waarabu unachukia mambo ya Magharibi ila Wafalme wao wamo mfukoni

Hii habari inaweza kuangaliwa hapa:
-------------------------------------------------------------------------------------------------

Saudi Arabia acknowledges helping defend Israel against Iran​


Saudi Arabia acknowledged that it had helped the newly forged regional military coalition — Israel, the United States, Jordan, the United Kingdom, and France — repel an Iranian attack against the Jewish state early Sunday morning, in an unusual post on its royal family’s website.

It referenced a story on KAN News about the Saudi involvement in the military defensive operation in which 99% of the Iranian drones and missiles were destroyed before hitting their targets.

Many of the drones and missiles had to travel over Jordanian and Saudi airspace to reach Israel.

Riyadh subtly admits it played a part in defense against Iran​

Jordan has been public about its involvement, while the closest Saudi Arabia has come to acknowledging it was the story it posted on its website summarizing what a source from the Saudi royal family had told KAN.

“The individual subtly acknowledges Saudi Arabia’s supposed involvement in thwarting Iranian attack drones bound for Israel the previous evening, citing that Saudi Arabian airspace automatically intercepts “any suspicious entity"", the report on the royal family’s website stated.

Umemwaga unyunyu wa historia safi.
Ila umekuja kuikojolea kusema Ottoman empire iliondolewa kwenye World war 2!
 
Uko kote umeenda mbali. Kimataifa, anga la nchi ni mali ya nchi husika. Anga ni kama ardhi au maji. Ni territory.

Sasa kwa kuzingatia kwamba Iran na Israel hazipakani, inabidi Iran ikifanya shambulizi lipitie anga la Jordan, Syria na Saudi Arabia, Iraq au Lebanon. Kati ya hizo nchi tajwa ni Saudi Arabia na Jordan pekee zenye air defense systems za ku-engage targets. Na Iran hakuomba air corridor kwa yeyote, na hakuna yeyote angempa hata Syria na Iraq hawapendi ila wanaburuzwa na Iran. Hivyo Saudi na Jordan wamehusika sababu makombora yalikuwa angani kwaoView attachment 2964441

Huwezi beba mabomu ukayapitisha barabara za Tanzania kuyatoa Kenya kuyapeleka kuyalipua Congo alafu ukikamatwa unalalamika na kutafuta visingizio sijui Rais wa Congo na wa Tanzania ni ndugu wa siri. Tutajuaje unaenda kuyalipua Congo na si hapo Kigoma? Jordan ingejuaje kama makombora yanaenda Israel na hayatui Amman, au Saudi Arabia ingejuaje kama drones za Iran haziendi Madina au Makkah?
ngoja tuone kama Israel akilusha kombora zake ao waliopo katikati watazuia.
 
Back
Top Bottom