Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hujawahi na hutowahi kumiliki akilMkuu ulivyo jeusi tii kama tako la iddi Amin eti una uhakika ukifa kwenye uislamu utabadilika kuwa mwarabu ndo maana mnajisugua paji za zenu mpate sijda. Sababu kubwa ya nyie mijitu mieusii kuwa miislam ni kubadilika kuwa miarabu mkifa.
Jagina mjingamimi zonda THE BIG SHOW
Unatumia hisia kuhukumu???ww wanijulia wap????mbna mnakuwa watumwa mpaka leo huku ukijidai umeelimika???Mkuu ulivyo jeusi tii kama tako la iddi Amin eti una uhakika ukifa kwenye uislamu utabadilika kuwa mwarabu ndo maana mnajisugua paji za zenu mpate sijda. Sababu kubwa ya nyie mijitu mieusii kuwa miislam ni kubadilika kuwa miarabu mkifa.
Jagina mjingamimi zonda THE BIG SHOW
Ila kuabudia wale waliokuita nyani ww na babu zako kwako ndyo wa maanaMkuu ulivyo jeusi tii kama tako la iddi Amin eti una uhakika ukifa kwenye uislamu utabadilika kuwa mwarabu ndo maana mnajisugua paji za zenu mpate sijda. Sababu kubwa ya nyie mijitu mieusii kuwa miislam ni kubadilika kuwa miarabu mkifa.
Jagina mjingamimi zonda THE BIG SHOW
Kinachowaponza viongozi wa kiarabu ni unafk tu hakuna kingineNchi za kiarabu wanaamini Iran ni hatari kwao zaidi wa Israel. Wanaamini Israel hawawezi kuhatarisha usalama wao kwa sababu Israel ni watu nipe nikupe kwa maana nyingine maslahi ya pande zote( Mutual interest). Kwa upande wa Iran wao wanaendeshwa na ideology za kidini zaidi wata ku support ukiwa kama wao kwa maana Shiaa. Na Iran hatari zaidi kwa kuweka vikundi vyao katika nchi kama Lebanon, Yemen na Syria wana ushawishi mkubwa na yote udini.
Ndio maana nchi za kiarabu hawana shida kwa Israel kuwa na nuclear ila wana wasiwasi Iran kuja kumiliki silaha hizo kwa sababu watakuwa hatarishi kwao direct. Kwa maana nyingine nchi za Kiarabu wanamkubali Israel zaidi kuliko Iran. Ukija kwenye ukweli wako sawa kabisa. Mfano sisi Tanzania ukiniambia nani afadhali kwa usalama wetu Kenya au Rwanda, nitakuambia Kenya sababu hawawezi kutudhuru maslahi yetu yanafanana lakini Rwanda ni hatari kama watakuwa na power wanaweza kuja kukata Tanzania na kuleta maafa. Kila mtu ana majirani lakini hawafanani, Hata katika mitaa yetu unasema kabisa huyu mzee akija kupata hatutalala mtaani ila yule hana shida.
Kwasababu ni mbabeGood contribution , Iran ni cancer mashariki na kati na kwanini utumie anga ya mtu kibabe
Rais wa Uturuki aliipiga vita israel na kuilaani ilipoingia gaza hadi akavunja mahisiano. Akaigiza kukamata ‘majasusi’ Israel.Tulishasema mara nyingi humu. Watawala wa nchi za Kiarabu na Israel damudamu
Juzi wakati Iran ikiwapelekea fire wazayuni, Jordan ilishirikiana bega kwa bega na uingereza na Marekani kutungua mkombora ya Iran ili kuinusuru Israel.
Leo Saudi Arabia nayo imekiri kushiriki nyuma ya pazia kuinusuru Israel isichezee fire.
Labda watu wasichokifahamu ni kuwa Utawala wa Hashimite wa Jordan kiasili ni Wasaudia, Ufalme huo ndiyo uliokuwa ukiongoza eneo la leo la Saudia ambapo kuna Makkah na Madina (Zamani palikuwa pakiitwa Hijjaz). Waingereza waliwachezea trick hawa waheshimite kwa kuwaambia waasi utawala wa ottoman katika eneo hilo kisha waottoman wakishindwa vita watawafanya wao kutawala eneo hilo. Kweli Waheshimite wakaanzish operesheni za kuwasabotage Waottoman mpaka muingereza akitumia majasusi wake akina Laurence of Arabia akafanikiwa kumng'oa Muottoman huko.
Lakini at the same time Muingereza alikuwa na Plan B, alikuwa na mshirika wake mwingine akiitwa Al-Saud, akamsaidia Al-Saudi kuwapiga na kuwaondoa waheshimite huko Hijjaz ufalme wa Hashim ukapewa option ya kuondoka Saudia waende wakatawale Iraq, Hata hivyo hata huko Iraq ilishindikana na ndipo wakati Muingereza aliposhinda vita ya pili ya dunia na kufanikiwa kumuondoa Ottoman empire katika eneo lile la Palestina na Jordan, Muingereza akakata pande la nchi akaupa utawala wa Jordan utawale pale. Kwa hiyo huo utawala wa Jordan ni Wasaudia wanaolindwa na Muingereza kama ambavyo utawala wa Saudia wanavyolindwa na Muingereza na mmarekani.
Kwa hiyo, kiufupi Umma wa Waarabu unachukia mambo ya Magharibi ila Wafalme wao wamo mfukoni
Hii habari inaweza kuangaliwa hapa:
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Saudi Arabia acknowledges helping defend Israel against Iran
Saudi Arabia acknowledged that it had helped the newly forged regional military coalition — Israel, the United States, Jordan, the United Kingdom, and France — repel an Iranian attack against the Jewish state early Sunday morning, in an unusual post on its royal family’s website.
It referenced a story on KAN News about the Saudi involvement in the military defensive operation in which 99% of the Iranian drones and missiles were destroyed before hitting their targets.
Many of the drones and missiles had to travel over Jordanian and Saudi airspace to reach Israel.
Riyadh subtly admits it played a part in defense against Iran
Jordan has been public about its involvement, while the closest Saudi Arabia has come to acknowledging it was the story it posted on its website summarizing what a source from the Saudi royal family had told KAN.
“The individual subtly acknowledges Saudi Arabia’s supposed involvement in thwarting Iranian attack drones bound for Israel the previous evening, citing that Saudi Arabian airspace automatically intercepts “any suspicious entity"", the report on the royal family’s website stated.
Saudi Arabia says it helped defend Israel against Iran — report
Many of the drones and missiles had to travel over Jordanian and Saudi airspace to reach Israel.www.jpost.com
😅🤣😛😝👌🏿Hujawahi na hutowahi kumiliki akil
Tena licha ya kuwekewa vikwazo miaka zaidi ya 40 bado jamaa sasa watengeneza UAVs na makombora hadi ya Hypersonic.Iran ni nchi yenye nidhamu ya juu sana na haipendi vurugu na mtu yoyote kinachowqkera wamegharim ni uwwzo wake wa kujitegemea na kufanya ugunduzi wa technology kwenye jeshi lake
Kuna Kenge wengine wakiwa huko kwa Wayahudi wanaonekana wananuka wanatemewa mate lakini wao wamekazana kujipendekeza kwao!Hawa wa hapa kwetu ni takataka zinazojipendekeza kwa waarabu. Mujahidina weusi hawatambulikani popote.
Huo ni mtazamo wako lakini soma history ya hizi nchi, nchi yoyote inaweka maslahi yake mbele kiulinzi, kiuchumi na mengine mengi sasa usitegemee Jordan akasimame na Iran wakati maslahi yake makubwa ni Israel sio Iran. Maamuzi ya kisiasa hayafanyiwi kwa mihemko ni akili. Sasa inategemea tafsiri ya unafiki ni ipi. Egypt hawezi kukurupuka tu wakati yeye ana mkataba na Israel kwa maslahi ya nchi mbili.Kinachowaponza viongozi wa kiarabu ni unafk tu hakuna kingine
tunajua ya kwamba israel hata msumbiji hawezi kuipiga bila msaada wa nchi kadhaa hiviTulishasema mara nyingi humu. Watawala wa nchi za Kiarabu na Israel damudamu
Juzi wakati Iran ikiwapelekea fire wazayuni, Jordan ilishirikiana bega kwa bega na uingereza na Marekani kutungua mkombora ya Iran ili kuinusuru Israel.
Leo Saudi Arabia nayo imekiri kushiriki nyuma ya pazia kuinusuru Israel isichezee fire.
Labda watu wasichokifahamu ni kuwa Utawala wa Hashimite wa Jordan kiasili ni Wasaudia, Ufalme huo ndiyo uliokuwa ukiongoza eneo la leo la Saudia ambapo kuna Makkah na Madina (Zamani palikuwa pakiitwa Hijjaz). Waingereza waliwachezea trick hawa waheshimite kwa kuwaambia waasi utawala wa ottoman katika eneo hilo kisha waottoman wakishindwa vita watawafanya wao kutawala eneo hilo. Kweli Waheshimite wakaanzish operesheni za kuwasabotage Waottoman mpaka muingereza akitumia majasusi wake akina Laurence of Arabia akafanikiwa kumng'oa Muottoman huko.
Lakini at the same time Muingereza alikuwa na Plan B, alikuwa na mshirika wake mwingine akiitwa Al-Saud, akamsaidia Al-Saudi kuwapiga na kuwaondoa waheshimite huko Hijjaz ufalme wa Hashim ukapewa option ya kuondoka Saudia waende wakatawale Iraq, Hata hivyo hata huko Iraq ilishindikana na ndipo wakati Muingereza aliposhinda vita ya pili ya dunia na kufanikiwa kumuondoa Ottoman empire katika eneo lile la Palestina na Jordan, Muingereza akakata pande la nchi akaupa utawala wa Jordan utawale pale. Kwa hiyo huo utawala wa Jordan ni Wasaudia wanaolindwa na Muingereza kama ambavyo utawala wa Saudia wanavyolindwa na Muingereza na mmarekani.
Kwa hiyo, kiufupi Umma wa Waarabu unachukia mambo ya Magharibi ila Wafalme wao wamo mfukoni
Hii habari inaweza kuangaliwa hapa:
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Saudi Arabia acknowledges helping defend Israel against Iran
Saudi Arabia acknowledged that it had helped the newly forged regional military coalition — Israel, the United States, Jordan, the United Kingdom, and France — repel an Iranian attack against the Jewish state early Sunday morning, in an unusual post on its royal family’s website.
It referenced a story on KAN News about the Saudi involvement in the military defensive operation in which 99% of the Iranian drones and missiles were destroyed before hitting their targets.
Many of the drones and missiles had to travel over Jordanian and Saudi airspace to reach Israel.
Riyadh subtly admits it played a part in defense against Iran
Jordan has been public about its involvement, while the closest Saudi Arabia has come to acknowledging it was the story it posted on its website summarizing what a source from the Saudi royal family had told KAN.
“The individual subtly acknowledges Saudi Arabia’s supposed involvement in thwarting Iranian attack drones bound for Israel the previous evening, citing that Saudi Arabian airspace automatically intercepts “any suspicious entity"", the report on the royal family’s website stated.
Saudi Arabia says it helped defend Israel against Iran — report
Many of the drones and missiles had to travel over Jordanian and Saudi airspace to reach Israel.www.jpost.com
Ila wanapenda vurugu za israeliWaarabu wengi wa mashariki ya kati hawapendi vurugu za Iran
Hii gia uliyochomoka nayo hapa ni kiboko mkuu 🤣Uko kote umeenda mbali. Kimataifa, anga la nchi ni mali ya nchi husika. Anga ni kama ardhi au maji. Ni territory.
Sasa kwa kuzingatia kwamba Iran na Israel hazipakani, inabidi Iran ikifanya shambulizi lipitie anga la Jordan, Syria na Saudi Arabia, Iraq au Lebanon. Kati ya hizo nchi tajwa ni Saudi Arabia na Jordan pekee zenye air defense systems za ku-engage targets. Na Iran hakuomba air corridor kwa yeyote, na hakuna yeyote angempa hata Syria na Iraq hawapendi ila wanaburuzwa na Iran. Hivyo Saudi na Jordan wamehusika sababu makombora yalikuwa angani kwaoView attachment 2964441
Huwezi beba mabomu ukayapitisha barabara za Tanzania kuyatoa Kenya kuyapeleka kuyalipua Congo alafu ukikamatwa unalalamika na kutafuta visingizio sijui Rais wa Congo na wa Tanzania ni ndugu wa siri. Tutajuaje unaenda kuyalipua Congo na si hapo Kigoma? Jordan ingejuaje kama makombora yanaenda Israel na hayatui Amman, au Saudi Arabia ingejuaje kama drones za Iran haziendi Madina au Makkah?
Naona unachochea kuni muyahudi wa mchongo ukiwa hapo mbagala.Wasuni wanamuombeaga heri swahaba wa mtume bwana Abubakar ila Shia wanaamini Abubar hakuwa swahaba wa mtume, hilo tu ni ugomvi kati yao
[emoji23] [emoji23]
Umemwaga unyunyu wa historia safi.Tulishasema mara nyingi humu. Watawala wa nchi za Kiarabu na Israel damudamu
Juzi wakati Iran ikiwapelekea fire wazayuni, Jordan ilishirikiana bega kwa bega na uingereza na Marekani kutungua mkombora ya Iran ili kuinusuru Israel.
Leo Saudi Arabia nayo imekiri kushiriki nyuma ya pazia kuinusuru Israel isichezee fire.
Labda watu wasichokifahamu ni kuwa Utawala wa Hashimite wa Jordan kiasili ni Wasaudia, Ufalme huo ndiyo uliokuwa ukiongoza eneo la leo la Saudia ambapo kuna Makkah na Madina (Zamani palikuwa pakiitwa Hijjaz). Waingereza waliwachezea trick hawa waheshimite kwa kuwaambia waasi utawala wa ottoman katika eneo hilo kisha waottoman wakishindwa vita watawafanya wao kutawala eneo hilo. Kweli Waheshimite wakaanzish operesheni za kuwasabotage Waottoman mpaka muingereza akitumia majasusi wake akina Laurence of Arabia akafanikiwa kumng'oa Muottoman huko.
Lakini at the same time Muingereza alikuwa na Plan B, alikuwa na mshirika wake mwingine akiitwa Al-Saud, akamsaidia Al-Saudi kuwapiga na kuwaondoa waheshimite huko Hijjaz ufalme wa Hashim ukapewa option ya kuondoka Saudia waende wakatawale Iraq, Hata hivyo hata huko Iraq ilishindikana na ndipo wakati Muingereza aliposhinda vita ya pili ya dunia na kufanikiwa kumuondoa Ottoman empire katika eneo lile la Palestina na Jordan, Muingereza akakata pande la nchi akaupa utawala wa Jordan utawale pale. Kwa hiyo huo utawala wa Jordan ni Wasaudia wanaolindwa na Muingereza kama ambavyo utawala wa Saudia wanavyolindwa na Muingereza na mmarekani.
Kwa hiyo, kiufupi Umma wa Waarabu unachukia mambo ya Magharibi ila Wafalme wao wamo mfukoni
Hii habari inaweza kuangaliwa hapa:
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Saudi Arabia acknowledges helping defend Israel against Iran
Saudi Arabia acknowledged that it had helped the newly forged regional military coalition — Israel, the United States, Jordan, the United Kingdom, and France — repel an Iranian attack against the Jewish state early Sunday morning, in an unusual post on its royal family’s website.
It referenced a story on KAN News about the Saudi involvement in the military defensive operation in which 99% of the Iranian drones and missiles were destroyed before hitting their targets.
Many of the drones and missiles had to travel over Jordanian and Saudi airspace to reach Israel.
Riyadh subtly admits it played a part in defense against Iran
Jordan has been public about its involvement, while the closest Saudi Arabia has come to acknowledging it was the story it posted on its website summarizing what a source from the Saudi royal family had told KAN.
“The individual subtly acknowledges Saudi Arabia’s supposed involvement in thwarting Iranian attack drones bound for Israel the previous evening, citing that Saudi Arabian airspace automatically intercepts “any suspicious entity"", the report on the royal family’s website stated.
Saudi Arabia says it helped defend Israel against Iran — report
Many of the drones and missiles had to travel over Jordanian and Saudi airspace to reach Israel.www.jpost.com
ngoja tuone kama Israel akilusha kombora zake ao waliopo katikati watazuia.Uko kote umeenda mbali. Kimataifa, anga la nchi ni mali ya nchi husika. Anga ni kama ardhi au maji. Ni territory.
Sasa kwa kuzingatia kwamba Iran na Israel hazipakani, inabidi Iran ikifanya shambulizi lipitie anga la Jordan, Syria na Saudi Arabia, Iraq au Lebanon. Kati ya hizo nchi tajwa ni Saudi Arabia na Jordan pekee zenye air defense systems za ku-engage targets. Na Iran hakuomba air corridor kwa yeyote, na hakuna yeyote angempa hata Syria na Iraq hawapendi ila wanaburuzwa na Iran. Hivyo Saudi na Jordan wamehusika sababu makombora yalikuwa angani kwaoView attachment 2964441
Huwezi beba mabomu ukayapitisha barabara za Tanzania kuyatoa Kenya kuyapeleka kuyalipua Congo alafu ukikamatwa unalalamika na kutafuta visingizio sijui Rais wa Congo na wa Tanzania ni ndugu wa siri. Tutajuaje unaenda kuyalipua Congo na si hapo Kigoma? Jordan ingejuaje kama makombora yanaenda Israel na hayatui Amman, au Saudi Arabia ingejuaje kama drones za Iran haziendi Madina au Makkah?