Nchi za kiarabu zinashindwaje kuwafikia Israel kiuchumi wakati Israel ni kanchi kadogo na wamezingirwa na maadui?

Na Egypt pia inasaidiwa na marekani mabilioni ya dola mnajifanya hamjui kwa unafiki wenu.
Msaada wa Egypt toka USA sio sawa na msaada kwenda Israel.
Msaada kwenda Egypt una mafungamano ya masharti toka kipindi cha Anwar Saddat kama ilivyo kwa Palestina.
Hata Uturuki wanapewa grants toka USA ila za mafungamano ya masharti.
Usifananishe na Israel wanaopokea unconditional aids and grants.
 
Na Egypt pia inasaidiwa na marekani mabilioni ya dola mnajifanya hamjui kwa unafiki wenu.
Wanafiki wakubwa hawa US inasaidia nchi kibao za kiislam na hawapigi kelele ila akitoa msaada kwa Israel mayoe kibaooo by the way kuna wayahudi wengi sana tu US ambao wamefanikiwa kiuchumi na wanalipa kodi kubwa kupindukia kwa US gov sasa US akitoa msaada Israel tatizo lipo wapi?

Roho mbaya tena za kishetani zimewajaa hawa eti wanataka US asiwasaidie Israel unaipangiaje super power US isiisadie nchi nyingine mbona nchi kibao za kiislam zinafadhili magaidi na hawasemi
 
Umeongea kwa mihemko sana aisee halafu unaonekana mweupe kwenye geopolitics.
Kilichoongeleka hapa ni kuisifia Israel ambayo inapokea unconditional and simultaneous aids and grants economically kutoka USA.
DUNIANI TAIFA LINALOPOKEA MISAADA KWA WINGI TOKA USA NI ISRAEL.
Unawezaje kusifia hilo taifa lenye favor nyingi kiuchumi dhidi ya mataifa kama Iran yanayojipambania yenyewe tena yakiwa na vikwazo vya kiuchumi juu??
Haikuongelewa dini hapa mkuu,stick to the main point inayoongeleka hapa.
Hiyo misaada USA anayotoa kwa nchi za kiarabu unajua inachagizwa na nini na ina mafungamano gani??
Hujui bila shaka,kama ungejua usingeita misaada bali ungeita domination through grants and aids.
Kuhusu ufadhili wa makundi unayodai ya kigaidi hiyo nyanja ingine pana maana pia nahisi mengi huyajui huo upande.
Kiufupi haikujadiliwa dini embu soma comments vizuri uelewe.
 
Nchi yako imeishindwaje keny?
Kenya hii ambayo mwezi February tumewasaidia dawa za TB ambazo wameishiwa hospitali zao za rufaa??
Kenya hii hii inayopokea misaada ya vyakula toka WFP??
Kenya hiihii mwaka huu ilokuja kumuomba Mama kizimkazi awasaidie akiba ya fedha ya kigeni??
Au Kenya gani unayoizungumzia wewe kaka??
 
Na Egypt pia inasaidiwa na marekani mabilioni ya dola mnajifanya hamjui kwa unafiki wenu.
US na nchi kadhaa za europe wameamua kuisaidia palestine ipate corridor baharini ili delivery ya misaada iwe kubwa ila wanafiki hawa hutokuta wakilisema hili utakuta wanapiga mayoe humu US mbaya US mbaya🤣🤣🤣
 
iran na kelele zote hizo bado yupo chini ya Egypt
 
unazungumzia iwapo , wenzio wanazungumzia yaliyopo
 
Marekani inaisaidia Israel dola bilioni 3 kila mwaka sawa na shilingi trilioni 7.5, ni pesa nyingi sana kwetu tulipo mataifa masikini lakini kwa Israel ni ndogo sana

Hio pesa haifikii hata asilimia 1 ya uchumi wa Israel,
Marekani ilitoa zaidi ya dola bilioni 3.3 katika usaidizi wa kigeni kwa Israeli mwaka wa 2022, mwaka wa hivi majuzi zaidi ambapo data iko. Takriban dola milioni 8.8 kati ya hizo zilikwenda kwa uchumi wa nchi, wakati 99.7% ya misaada ilienda kwa jeshi la Israeli.
 
weka ushaidi , hata mimi naeza andika ushubwada lkn bila ushaidi ni sufurii
 
mkuu utakuwa na stress , tunazungumzia vitu real na si story za iwapo asingewekewa vikwazo
 
ile 1T ya covid19 iliishia wap ? usimlalamikie mwengine kusaidiwa , jiulize kwann husaidiw wewe , nyie watu weusi ni laana , kila.msaada ccmu inagawana , mtu anakupa msaada anategemea kuna kitu in return , msaada kwa Israel ni muhimu sana , siku waislam wakishika Israel watavunja miji yote ya kihistoria
 
toa mifano ya huku kwenu mashambani , maana nyiny ndo mnalalamika misaada ya Israel , China , Japan , Urusi na S.Korea wote walishawai saidiwa na superpower kunyanyuka kiuchumi na kisiasa
 
Ameshataja muhusika juu na nishamtajia soma quotes za juu.
wamekuuliza hiyo 9 ni asilimia ngap kwenye 520 ? je kwa asilimia hizo zina athari yoyote kusema Israel bila msaada hatoboi
 
Nayekaza mishipa mimi au wewe??
Aina ya teknolojia uliyoleta ni ile ile moja tu ya kilimo cha jangwani.
Kuhusu Netafim sikupingi naifaham hii kampuni inaunda vifaa vingi na bora vya irrigation agriculture.
we jamaa una ubish wa kitoto , ulianza na hizo 9 B zako ukaulizwa zinazid hata 2% ukalikimbia swali , sasa sijui bado unabishia nin ?
 
Kwa upande wa aina hiyo ya teknolojia sikatai Israel iko vizuri.
Huwenda labda asili ya ardhi yao ndio imeleta chachu ya ku develop zaidi katika aina hii ya teknolojia japo si kila aina ya teknolojia ya kilimo Israel yuko juu.
sasa wapongeze na sio kukaza fuvu , na hiyo ndo mantiki ya thread pia jiulize kwann uchumi wake mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…