Najua umebadili id, ile ya zamani umeweka kapuni na huu uzi uliwahi kuuanzisha na sasa umeanzisha tena ila nakujibu tena na uzi huu.
1. Hio asilimia 3 unayosema ni misaada ya Kijeshi tu, ndio around $3B kwa mwaka.
2. Israel inapokea misaada mingi sana ya Kiuchumi hasa kwa Mafia na watu wengine wanaokimbia Sheria Marekani. Kifupi hilo eneo ukibaka Usa unakimbilia hapo na mifano mingi. Vitu kama hivi hutaviona direct kwenye data.
3. Kampuni za Marekani legally ambazo zina invest Israel zinapewa misamaha ya Kodi ili zianzishe branch hapo
4. Bado kuna mambo mengine kama biashara haramu za viungo (Israel ni halali), inakadiriwa Figo moja ni kama milioni 200 mpaka 300, hivi viungo wanavuna kwa Wapalestina wanaowaua kila siku, wanawachuna Ngozi, wanatoa Pipe za Moyo, Figo na vinginevyo. Israel kanchi kadogo kenye watu milioni kadhaa kama storage kubwa ya vitu kama Ngozi kushinda Usa, India, China etc ma nchi yenye watu hadi Bilioni na upuuzi.
Kifupi Israel ni Genge la wauaji ambao wanafanya kazi chafu mahala mbalimbali duniani wamekutana pamoja kutengeneza nchi hapo.