Nchi zinazopinga ushoga zinatumia kigezo gani? Mbona hazipingi ukahaba na uasherati?

Sawasawa..
 
Namjibu muuliza swali.

Uzinzi na uasherati vyote havipendezi katika jamii.

Hata tusiporejea maonyo ya kiimani. Ushoga utasababisha uzaliwaji wa binadamu kupungua au kusimama kabisa. Nadhani hii ndio agenda ya wanaotetea ushoga.

Lakini pia kwanini jamii iendekeze wanaume kuenenda kinyume na maumbile?

Kwanini?
 
toka kahaba mkubwa we, pepo tookaaaaa
 
Nchi zinazopinga ushoga zinapinga hata uasherati mwanangu. Ni ulaya na Amerika yalipohalalishwa mabalaa haya mnayoshabikia kwa ukumbaff na ulimbukeni wenu. Senzi kabisa
 
Siupendi ushoga,
Naupinga sana ushoga,
kinyaa Sana me kumtindua me mwenzie
Sema wasagaji huwa wanavutia sn kuwatizama wanaposagana,very romantic[emoji4]
 
Ushoga ukemewe vikali kote duniani,
Ila wakuu Twende mbele, turudi nyuma,
Threesome na KE wasagaji Ni ndoto ya mwanaume yoyote yule Alie rijali[emoji4]
 
Kwa hiyo huwa wanahitaji nini labda?
1. Haki za Binaadam(kwani wanabaguliwa, wananyanyapaliwa, wananyanyaswa kihisia)

2. Haki za Kisheria (kwani wananyanyaswa kingono, wanauliwa)

3. Haki ya Ndoa (Kwani wanatamani kuishi na wenza wao kama watu wengine)

4. Haki ya Kua na Watoto(kwani wanakatazwa wasi adopt watoto)

5. Ni nyingi sana
 
1.
4. Haki ya Kua na Watoto(kwani wanakatazwa wasi adopt watoto)

Mnataka mkaadopt watoto wa Watu waliozaliwa kwa uchungu ili mkawapasue spika na kuwavisha pambasi maisha yao yote.
Pathetic [emoji3525]
 
Tatizo Tanzania ukitetea unaonekana na ww unafanya lkn ukweli mchungu kila mtu anahaki kama wanazuia yote wazuie yote had kamari n.k
 
Nchi ni watu,ushoga ukiendekezwa kizazi cha binadamu kinakuwa hatarini kutoweka. Serikali inaishi kwa uwepo wa watu.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Asee ushoga ukiruhusiwa, watu hawatazaliana Tena na hakutakuwa tena na kiumbe kinachoitwa mwanaume.
Yani Kila mtu atang'ang'ana aolewe ili Aishi maisha ya mserereko,
 
Asee ushoga ukiruhusiwa, watu hawatazaliana Tena na hakutakuwa tena na kiumbe kinachoitwa mwanaume.
Yani Kila mtu atang'ang'ana aolewe ili Aishi maisha ya mserereko,
Unataka kusema wewe unauchukia uanaume wako sababu unakula kwa jasho?
 
JF has gone astray because of these men who invade here without knowing JF is place for respectful people with productive ideas. Tunaomba mtuondelee watu Hawa wasiojielewa.
 

Haina tofauti na mtu anaye pinga rushwa na ila majambazi hawaoni
Rushwa haikuui ukidakwa
Jambaz unauliwa ukidakwa
Sasa wewe ona kama mashoga wanakandamizwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…