nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,355
- 8,149
Kuna watu bado wana fikra za kijima sana. Kuna mwngne aliwahi shauri mitandao ya kijamii ifungwe wakati wa kazi, mwngne nae aliwahi toa mada hapa akitaka vipindi vya michezo viwe usiku tu ili mda mwngne watu wafanye kazi, yaan unakuta labda mtu yeye ni mlokole hapendi kabisa pombe au hafuatilii michezo, si mpenzi sana wa insta na social media zingine basi anafikiri hayo ndio maisha ambayo kila mtu anatakiwa kuishi.
Ndio maana tunahitaji diversity bungeni bunge liwe na wazee, vijana, wanawake watu wenye mahitaji maalumu, wasomi, wenye elimu za kawaida, wanaharakati, waandishi wa habari lakin pia womehow kuwe na balance kidogo ya vyama hata km sio sana.
Hii itaepusha kundi dogo la watu wenye mtazamo wa aina moja kusababisha nchi yote ikaishi kulingana na mtazamo wao wa maisha.. sisi wa africa hapa ndio tunapokwama ndio maana tunaweza kupata maendeleo ila yakawa si maendeleo endelevu.
Ndio maana tunahitaji diversity bungeni bunge liwe na wazee, vijana, wanawake watu wenye mahitaji maalumu, wasomi, wenye elimu za kawaida, wanaharakati, waandishi wa habari lakin pia womehow kuwe na balance kidogo ya vyama hata km sio sana.
Hii itaepusha kundi dogo la watu wenye mtazamo wa aina moja kusababisha nchi yote ikaishi kulingana na mtazamo wao wa maisha.. sisi wa africa hapa ndio tunapokwama ndio maana tunaweza kupata maendeleo ila yakawa si maendeleo endelevu.