kayaman
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 4,516
- 10,423
Kuuza pombe ni kazi pia unataka producers, distributers na sellers wakale wapi? Suluhisho ni kuwekeza kwenye tafiti kwanini watu wanakunywa sana pombe, unaweza kuzuia wasinywe pombe wakahamishia ulevi kwenye kitu kingine, kama walivyoamini kuwa wakifungia viroba vijana wataacha kulewa muda wote matokeo yake wamehamia kwenye chakupima na wanalewa kama kawaida, hii fungia fungia ni uvivu wa kifikiri katika kutafuta solution.Mimi kwa akili zangu ndogo ningeshauri watu wanywe pombe wekend tu, kuanzia Ijumaa jioni mpaka jumapili tu, weekdays ni kazi kwenda mbele, tumechelewa sana kwenye hii nchi.
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app