Am the One
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 903
- 892
Upande wa pili hiyo pombe inachangia kodi kubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walevi bwana! Yani comments kidogo na matusi juu unatukana, aisee!Wee ndiye bure kabisa, kwani wewe una ubongo wa ng'ombe hadi unashindwa kujipangia muda wa kazi na mapumziko?
Jitathimini!
Ndo maana masaburi alisema wanatumia ma***ko kufikiria...Mbunge wa Ngara (CCM), Ndaisaba Ruhoro amelitaka Bunge kutunga sheria itakayopiga marufuku matumizi ya vileo hadharani.
Ruhoro alitoa kauli hiyo wakati akichangia Mpango wa Serikali jana bungeni mjini Dodoma akibainisha kuwa kunywa pombe hadharani kunasimamisha shughuli za maendeleo kwa kuwa linashusha ufanisi wa kazi, kutaka watu wasinywe wakati wa kazi.
"Iletwe sheria hapa bungeni itakayopiga marufuku vileo kuuzwa muda wa kazi ili tuipitishe maana haisaidii watu wanashindwa kutimiza majukumu yao wakikimbilia kulewa," amehoji Ruhoro.
Ametaja kundi la vijana kuathirika na kudai wafanyakazi wengi wanatumia saa ya kazi kunywa pombe kwa kuwa muda wa kazi baa huwa zimefunguliwa.
Mtoa hoja ni kijana au mzee?Mbunge wa Ngara (CCM), Ndaisaba Ruhoro amelitaka Bunge kutunga sheria itakayopiga marufuku matumizi ya vileo hadharani.
Ruhoro alitoa kauli hiyo wakati akichangia Mpango wa Serikali jana bungeni mjini Dodoma akibainisha kuwa kunywa pombe hadharani kunasimamisha shughuli za maendeleo kwa kuwa linashusha ufanisi wa kazi, kutaka watu wasinywe wakati wa kazi.
"Iletwe sheria hapa bungeni itakayopiga marufuku vileo kuuzwa muda wa kazi ili tuipitishe maana haisaidii watu wanashindwa kutimiza majukumu yao wakikimbilia kulewa," amehoji Ruhoro.
Ametaja kundi la vijana kuathirika na kudai wafanyakazi wengi wanatumia saa ya kazi kunywa pombe kwa kuwa muda wa kazi baa huwa zimefunguliwa.
Kutakua na matukio mazito sana weekend's zote kwani itakua fungulia dogMimi kwa akili zangu ndogo ningeshauri watu wanywe pombe wekend tu, kuanzia Ijumaa jioni mpaka jumapili tu, weekdays ni kazi kwenda mbele, tumechelewa sana kwenye hii nchi.
Ingependeza zaidi iwapo pombe ingetengewa siku maalumu kama week end tuuMbunge wa Ngara (CCM), Ndaisaba Ruhoro amelitaka Bunge kutunga sheria itakayopiga marufuku matumizi ya vileo hadharani.
Ruhoro alitoa kauli hiyo wakati akichangia Mpango wa Serikali jana bungeni mjini Dodoma akibainisha kuwa kunywa pombe hadharani kunasimamisha shughuli za maendeleo kwa kuwa linashusha ufanisi wa kazi, kutaka watu wasinywe wakati wa kazi.
"Iletwe sheria hapa bungeni itakayopiga marufuku vileo kuuzwa muda wa kazi ili tuipitishe maana haisaidii watu wanashindwa kutimiza majukumu yao wakikimbilia kulewa," amehoji Ruhoro.
Ametaja kundi la vijana kuathirika na kudai wafanyakazi wengi wanatumia saa ya kazi kunywa pombe kwa kuwa muda wa kazi baa huwa zimefunguliwa.