Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Mwaka 2019/20 Al hilal waliingia group stage wakati Simba iliondoshwa mapema na Ud songo....
Mke kumsifia mumewe kawaida sana hiyoMwaka 2019/20 Al hilal waliingia group stage wakati Simba iliondoshwa mapema na Ud songo...
Aisifiaye mvua imemnyesheaHongera nyingi kwao. Japo lengo la kuwalinganisha na simba sijui mantiki ni ipi, ilifaa uwalinganishe na wapinzani wao wajao ama waliopita.
KimeumanaYanga vs Pyramids huko
Mwaka 2019/20 Al Hilal waliingia hatua ya makundi wakati Simba iliondoshwa mapema na Ud Songo.
Mwaka 2020/21 wote Simba na Al Hilal waliingia hatua ya makundi.
Mwaka 2021/22 Al Hilal walitinga hatua ya makundi na Simba iliondoshwa mapema na Jwaneng Galaxy. Kumbe ndiyo maana Al Hilal walipotinga makundi mara hii wakaandika "Four times in a row", naomba kuwasilisha.
Mwaka 2019/20 Al Hilal waliingia hatua ya makundi wakati Simba iliondoshwa mapema na Ud Songo.
Mwaka 2020/21 wote Simba na Al Hilal waliingia hatua ya makundi.
Mwaka 2021/22 Al Hilal walitinga hatua ya makundi na Simba iliondoshwa mapema na Jwaneng Galaxy. Kumbe ndiyo maana Al Hilal walipotinga makundi mara hii wakaandika "Four times in a row", naomba kuwasilisha.
Mleta mada anawashwa na ule mwiko wao kule nyumaModerators ondoeni takataka hizi humu, vinginevyo forum hii haitakuwa ya The Great Thinkers!
Nilisikia sehemu..hakuna mwanamke anayemsahau mwanaume wake wa kwanza.Mwaka 2019/20 Al Hilal waliingia hatua ya makundi wakati Simba iliondoshwa mapema na Ud Songo.
Mwaka 2020/21 wote Simba na Al Hilal waliingia hatua ya makundi.
Mwaka 2021/22 Al Hilal walitinga hatua ya makundi na Simba iliondoshwa mapema na Jwaneng Galaxy. Kumbe ndiyo maana Al Hilal walipotinga makundi mara hii wakaandika "Four times in a row", naomba kuwasilisha.
Maumivu yenu mengine haya hapa,mtakomaje?Mwaka 2019/20 Al Hilal waliingia hatua ya makundi wakati Simba iliondoshwa mapema na Ud Songo.
Mwaka 2020/21 wote Simba na Al Hilal waliingia hatua ya makundi.
Mwaka 2021/22 Al Hilal walitinga hatua ya makundi na Simba iliondoshwa mapema na Jwaneng Galaxy. Kumbe ndiyo maana Al Hilal walipotinga makundi mara hii wakaandika "Four times in a row", naomba kuwasilisha.
Yaani kwa kifupi..wao si wanapenda historia.ni kwamba waliingia makundi Karne ya 20..Mara ya mwisho Utopolo kuingia makundi Baba wa Taifa alikuwa bado mzima wa afya
Tuwekee na takwimu za Yanga mkuu vile vile tuambie mara ya mwisho kuingia hatua ya makundi club bingwa Africa ilikuwa mwaka gani.Mwaka 2019/20 Al Hilal waliingia hatua ya makundi wakati Simba iliondoshwa mapema na Ud Songo.
Mwaka 2020/21 wote Simba na Al Hilal waliingia hatua ya makundi.
Mwaka 2021/22 Al Hilal walitinga hatua ya makundi na Simba iliondoshwa mapema na Jwaneng Galaxy. Kumbe ndiyo maana Al Hilal walipotinga makundi mara hii wakaandika "Four times in a row", naomba kuwasilisha.
Yani Utopolo makundi anayoweza kuingia ni yale ya Whatsapp pekee.Mwaka 2019/20 Al Hilal waliingia hatua ya makundi wakati Simba iliondoshwa mapema na Ud Songo.
Mwaka 2020/21 wote Simba na Al Hilal waliingia hatua ya makundi.
Mwaka 2021/22 Al Hilal walitinga hatua ya makundi na Simba iliondoshwa mapema na Jwaneng Galaxy. Kumbe ndiyo maana Al Hilal walipotinga makundi mara hii wakaandika "Four times in a row", naomba kuwasilisha.