Tumainiandy
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 430
- 91
Ukipata habari ni nzuri ila ukipata knowledge halafu ukaitumia kuongeza jambo katika maisha yako na jamii inayokuzunguka basi hapo unakuwa umeelimika leo embu jifunze ni jinsi gani mayai ya kware yanaweza kusaidia jamii yako kama chakula bora kwenye jamii