Ninayo na nime ku PM bei yake kama unapenda sema tu tray ngapi unataka
Hivi hayo mayai yanaliwa?
Kware wanapatikana wapi na wanafugwaje??
Mkuu mimi nimegundua kitu kimoja ni kua mayai ya kwale sasa demand yake imeanza kua kubwa sana,nadhani Watanzania wameanza kulearn umuhimu wa mayai ya kwale kwa mwanadamu japo tumechelewa kulearn ilo!nilikua nane nane Morogoro,mabanda mawili matatu yalikua ya ndege hawa pamoja na mayai yake,lakini wote hawakuweza kumeet demand ya wateja katika kusupply mayai!nimegundua hii ni fursa nyingine inayokuja kwa wafugaji!
Kware wanapatikana wapi na wanafugwaje??
Mkuu kwale mara nyingi wafugaji ununua mayai,na kuyaengua kwenye mashine na kupata vifaranga!na utunzwaji wake ni kama kuku,ila hawatoki nje,wanafugiwa ndani
Tembelea link hizi hapa, samahani, bado sijajua jinsi ya kuweka video hapa JF.
https://www.youtube.com/watch?v=-Km7u3qYUno
https://www.youtube.com/watch?v=sCd2BgCdr18