Labda walihisi kuna mtu kawafuata nyuma hivyo wakatua Moses lakes kujificha, hawa watu akili zao kama zetu tu za hovyo hovyo.Boss britanicca Nijuavyo mimi, Safari ya kwenda Moses Lake ilikuwa ni majaribio au Test.
Ni kama ukinunua Gari, lazima ulitest aka ulijaribu.
So kukaa kwa muda Moses Lake inaweza ikawa ni kuichunguza zaidi,
Haikuwa safari ya kuja Tanzania kupitia Moses Lake.
Moses Lake ni ka mji kadogo ambapo kapo hapo hapo Washington State.
Au katika majaribio walipata tatizo ndio walikuwa wanalirekebisha hapo Moses Lakes kabla ya kuirudisha kiwandani.
This time italetwa imefungwa kwenye BOX tena usiku, maana kuna kitu wanakiogopa, ila hatufahamu ni nini.Kila siku naona wanaambiwa humu dawa ya deni kulipa, lakini hawasikii.