Ndege iliyonunuliwa na Serikali aina ya Boeing 787-8 Dreamliner imeondoka nchini Marekani, kutua nchini Oktoba 26 saa nane mchana

Ndege iliyonunuliwa na Serikali aina ya Boeing 787-8 Dreamliner imeondoka nchini Marekani, kutua nchini Oktoba 26 saa nane mchana

Boss Gulwa Hivi mnapata Faida gani kufurahia Ndege yetu na zetu kukamatwa??? !!!
Unajua mimi bado sijafahamu !!!
Kwani ndege haiwezi kuruka moja kwa moja mpaka Tanzania bila kutua kuweka mafuta???? !!!
Tani 40 hivi za mafuta na masaa kama 17 tu hivi ya kuwa angani moja kwa moja.
Kwani Ndege ni za Mh. Rais Magufuli??? !!!
Hauoni na hamuoni faida Watanzania na Wananchi wengi wamepata ajira ??? !!!
Yaani kuanzia Dereva (Pilot) mpaka wahudumu ni WaTanzania, wawakilishi ni wachache sana (Boeing, Kampuni za Engine kama ni tofauti na Boeing).
Wafanyakazi wanaenda Boeing kwa Training na Workshop kibao, ujuzi unaongezeka,
Shirika lilikuwa Nusu Kaputi, limefufuliwa, bado kuna watu hawapendi.
Tubadilike Jomoni.
Tatizo ni mkulima wa grape
 
Inashangaza kuona viongozi kuendelea kung'ang'ania biashara yenye hasara mpaka sasa hatujui faida inaingiza kiasi gani ni kama mtu aliyenunua gari ya kutembelea anatoa pesa mfukoni kujaza mafuta ndo mana watu hawataki hata kujiandikisha
 
Wewe mwenyewe ni kinara wa upumbavu
Mkuu;
Wala usipoteze muda kujenga hoja kwa watu kama hawa!

Kumbuka ukijibishana na mpumbavu kwenye upumbavu wake na wewe utaonekana mpumbavu!

Ni ushauri tu! Samahani kama nitakukwaza!
 
Boss Gulwa Hivi mnapata Faida gani kufurahia Ndege yetu na zetu kukamatwa??? !!!
Unajua mimi bado sijafahamu !!!
Kwani ndege haiwezi kuruka moja kwa moja mpaka Tanzania bila kutua kuweka mafuta???? !!!
Tani 40 hivi za mafuta na masaa kama 17 tu hivi ya kuwa angani moja kwa moja.
Kwani Ndege ni za Mh. Rais Magufuli??? !!!
Hauoni na hamuoni faida Watanzania na Wananchi wengi wamepata ajira ??? !!!
Yaani kuanzia Dereva (Pilot) mpaka wahudumu ni WaTanzania, wawakilishi ni wachache sana (Boeing, Kampuni za Engine kama ni tofauti na Boeing).
Wafanyakazi wanaenda Boeing kwa Training na Workshop kibao, ujuzi unaongezeka,
Shirika lilikuwa Nusu Kaputi, limefufuliwa, bado kuna watu hawapendi.
Tubadilike Jomoni.

Sasa kama Mungu hapendwi na kila mtu sembuse sisi wenyewe kwa wenyewe mkuu: Katika vitu vinavochangia pia sisi kutoendelea hiki kimoja wapo: Badala ya mtu kuona ujio kama opportunity mtu anaiangalia upande wa kuponda, unategemea tutaendelea kweli mkuu? sisi binadam ndo tulivo kuponda kila kitu mkuu, so ni kawaida ya watu
 
Darubini a. k.a.local televisheni zimeangaliwa sawasawa, isije kuwa Mashangazi wakaleta moshi wa kisulisuli tena hapo kesho tukatafuta pakupitia.
Haya
Naona Mmeanza Kuleta Moshi Hapa
Hii Ni Kazi Ya Ruangwa!!!😁😀😂😃😄😅😆
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Kuna taarifa kuwa yule mkulima keshatia timu pale kipawa
Niliwahi kuuliza swali hivi nani uwa anafanya ukaguzi wa kila hatua kwenye uundaji wa ndege zetu?


Leo imeibuka habari asubuhi kuwa kila aliyetangaza ujio wa ndege akamatwe, lakin gafla wanasema inakuja kuputia page ya Gerson Msigwa anasema dege linafika kesho,

Mchezo ulianza hivi kwenye page ya ATC waliandika ujio wa ndege yetu ,

Wana habari wakachota pale wakaanza kusambaza,

Nadhani kuna sintofahamu juu ya kufuta ujumbe ule na waziri akaibuka kusema kuwa wamezusha na wasakwe,

Lakin baadae tunaambiwa dege linakuja

Swali lililotoka kwa mdau

Ninasikia ndege imeondoka, Ila kwanini ndege ilikaa Moses Lake Airport kwa Muda bila kurejea PAE(Kiwandani)imerejea leo na Kuondoka? Na kwanini waziri anasema waandishi wa habari wakamatwe Kwa kusema kwamba inakuja ndege?

Mkuu barafu tunaomba Masada

View attachment 1244788
Britannica
 
Namkumbuka Kamwelwe kwenye issue ya kuzama kwa kivuko kule ukerewe alisema wanao mtaka awajibike kwa uzembe akasema atawapeleka mahakamani.
Tamshi la Kamwele linaweza kuwa mantiki, ila kwakuwa halijamsema mkulu wanaweza wakalipuuza
 
Wakalala nayo mbereeee
Britannica Huyo Waziri Kamwelwe kama nilimuelewa hoja yake, ni hivi; Siyo kwamba ndege haiji, tatizo hakutaka watu waseme mapema, ndiyo maana alisema " Nyie waandishi ndio mliandika andika habari ya ndege ikakamatwa kule Afrika Kusini" Point yake ni kwamba kuna wadai hawatakiwi kusikia habari hii, au kufahamu ndege inakuja, hasa kufahamu inakuja lini. Wanataka kuifanya iwe siri ili wale wabaya wao wasifahamu, ni lini hasa itaondoka, na ili wasije kuifuata nyuma au ikatua mahala waka lala nayo mbele. Hivyo ndivyo nilielewa, naweza kuwa nimekosea.

Kwasababu kuna viashiria vyote kwamba inakuja, kwanini hataki waseme au waandike juu ya ujio huo?

Au Mwenye ndege bado mgonjwa wanahisi hatoweza kuizindua kama wafanyavyo siku zote?
 
Naona wameamua kuanza kupiga chenga za mwili.
Screenshot_20191026-062354.jpeg
 
Labda walihisi kuna mtu kawafuata nyuma hivyo wakatua Moses lakes kujificha, hawa watu akili zao kama zetu tu za hovyo hovyo.

Au katika majaribio walipata tatizo ndio walikuwa wanalirekebisha hapo Moses Lakes kabla ya kuirudisha kiwandani.

This time italetwa imefungwa kwenye BOX tena usiku, maana kuna kitu wanakiogopa, ila hatufahamu ni nini.Kila siku naona wanaambiwa humu dawa ya deni kulipa, lakini hawasikii.

[emoji23][emoji23][emoji23] aisee
 
Inashangaza kuona viongozi kuendelea kung'ang'ania biashara yenye hasara mpaka sasa hatujui faida inaingiza kiasi gani ni kama mtu aliyenunua gari ya kutembelea anatoa pesa mfukoni kujaza mafuta ndo mana watu hawataki hata kujiandikisha

Ukiondoa Atcl ukanda huu wa Afrika mashariki, hakuna shirika lingine lenye bei nafuu kuliko sisi, Mfano: kwa upande wa Afrika mashariki kenya airways ndo shirika lenye ushindan mkubwa kuliko mashirika yote kwa pamoja: Hata kwa shirika la uganda liloanza juzi bado bei zake zmekua zikilalamikiwa sana na kusababisha watu kususia ndege zao: Leo ukitaka kwenda mumbai with ATCL, prices range kuanzia 700K apo, ukipanda kenya airways andaa 1M kwenda mbele bila kusahau kuibiwa mizigo: sasa huoni umesave pesa unaweza kutumia kwenye huduma zingine: Shirika letu liko backed up na serikali 100% not unless mashirika mengine mfano kenya ways serikali yao inamiliki asilimia chache sana zingine zote zimechukuliwa na investors ambao ni non kenyans:

Its a non relevant question to ask kwa sababu serikali kazi yake ni kusaidia maisha ya watu yawe nafuu, ni sawa sawa uulize mbna serikali inawekeza billlions kwenye elimu wanafunzi wanasoma bure, return iko wap?: mtoto mmoja kule kijijini akipata elimu na ikamsaidia si atainua na wengine: tourists wakipanda in that cheap price means more tourists in our nation which means more money:

As of typing this: Tanzania ni nchi ya #4 Afrika nzima kwa mapato ya watalii($2.45B +)[Hii imerudisha ela yote ya ununuzi na chenchi juu na kumbuka hii ni kila mwaka] in revenues kila mwaka: Sasa izo ni ndege 4,(Kenya airways ina zaidi ya ndege 40): Gained advantage ni pamoja na infrastructure nzuri ikiwemo Barabara nzuri kushinda sisi but we still made it: vuta picha zote zikimalizika: Ndio maana mara nyingi mnaambiwa Magufuli is one of the smartest president in Africa, Itsnot always about direct profit, you just need to make smart decisions to take over that crown:



Tanzania ni nchi inaongoza kua na akiba kubwa ya fedha za kigeni ukanda wote wa Afrika mashariki, Ingawa bado hatujaziba gap la pesa zinazoingia na zinazotoka ila linalizidi kupungua, Tanzania imekua wauzaji wakubwa nje ya nchi katika bidhaa na huduma nyingi ikiwemo umeme, internet, mziki, mazao: bidii zaidi inahitaji kutoka kwa wananchi kufunga ilo pengo:
 
Maendeleo Hayana Chama
Ndugu Zangu Mniamini Niwafanyizie Kazi
Unaweza Kuiona Mkali Sana Hapa
Lakini Nyumbani, Napigishwa Deki!!!!
😁😀😂😃😄😅
Canon Salute Baadaye, Minyama Sasa Itakuwa Mimaji Tu
 
Back
Top Bottom