Ndege iliyonunuliwa na Serikali aina ya Boeing 787-8 Dreamliner imeondoka nchini Marekani, kutua nchini Oktoba 26 saa nane mchana

NAONAAAAA BAADHI YAO HUMU WAKIANZA KUTUBU NA KUFUNGA KWA KUDHARAU SERKLI YETU

BADO MSAMAHA WA MUNGU UKO KWA AJILI YENU. MNAPOMPINGA KIOMGOZI WA. NCHI NA WALIOCHINI YAKE MNAMPINGA MUNGU

KWA MAANA HIOOO MUNGU ATAWAONYESHA MAFAKIO MAPEMA KABISAAA HAPAHAPA DUNIAN KAMA ALIVYOWAONYESHA NDUGU ZAKE YUSSUF ATOWAACHA MFE MPAKA MWONE MAFANKIO YOTE YA MAGUFULI DK MPAKA 2025
 
Serious? Umemaanisha kabisa ulichoandika?
 
Tanzania
 
Serious? Umemaanisha kabisa ulichoandika?
Niko Very serious!
Wewe ndege hizi zikiwepo unafaidikaje? Hupandi bure, hupati discounted fair, na hata faida yake huioni, so unaitaje ndege yenu?

Kunatofauti gani Wakati ndege hazipo na leo zipo? Sio kwamba leo unaweza kutibiwa bure eti kwasababu ndege zipo, na huwezi kupunguziwa gharama kwenye public service yoyote kwa sababu ndege zipo.

Lakini kumbuka wenzako, kama wewe siyo mmoja wao. Wao hupanda BURE, Wanagwiana nyumba za serikali BURE na wakiuziana sio kwa uwazi ni kwa kificho. Wakiugua wanatibiwa bure. Sasa kwanini uziite ndege zetu? Hizi ndege ni ZAO WAO.
 
Mabeberu siyo watu wazuri wataikamata
 
Everett [ Seattle} ilipotengenezwa ndege iko west Washington State na Moses Lake iko east Washington State upande wa pili wa Cascade mountains;; huko kuna kiwanja BOEING hukitumia kutest ndege!!!

Boss Ndinani Asante kwa maelezo zaidi.

Jambo usilolijua ni sawa na Usiku wa Giza.
Watu sijui walijua labda Moses Lake ni State au Nchi nyingine, na Ndege ilitua hapo ikiwa njiani kuja Nyumbani Tanzania, ndipo iliposhikiliwa.
 
Usihangaike na wat waliochanganyikiwa na wewe utahesabiwa ni mmoja wao😂😂😂
 
Zitapiga ruti za ndani tu, zikitoka nje zimekwisha!

kama madala dala ya kitaa chetu, yanaanzia Yombo Kilakala kwenda nje ya mji, yanaamsha saa mbili usiku yanalizima kumi na moja liamba... hayana vibali, wala leseni, wala kadi ya gari...

Utalii wa ndani mwendo mdundo, tumesharariwa sana, tembeeni kifua mbaree!!
 
Au Mwenye ndege bado mgonjwa wanahisi hatoweza kuizindua kama wafanyavyo siku zote? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Au Mwenye ndege bado mgonjwa wanahisi hatoweza kuizindua kama wafanyavyo siku zote? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Ugonjwa kitu cha kawaida kabisa miongoni mwetu, sijui wa level hiy kule juu wao ugonjwa wana uchukuliaje.
Ndio anaweza kuwa anaumwa, na wakasubiria akapona wakazindua, tatizo liko wapi?!
 
Yaani unamaanisha hio ndege mpya imeshikiliwa tena mkuu?
Boss Ndinani Asante kwa maelezo zaidi.

Jambo usilolijua ni sawa na Usiku wa Giza.
Watu sijui walijua labda Moses Lake ni State au Nchi nyingine, na Ndege ilitua hapo ikiwa njiani kuja Nyumbani Tanzania, ndipo iliposhikiliwa.
 

Kawaambie hao wenye ndege wabadilike maana wao ndio sababu ya hii chuki.
 
Kwani bado tunadaiwa?
 
PIPA LANYANYUKA MAREKANI. Ni Boeing 787-8 Dreamliner ya pili. Kutua Dar es Salaam kesho saa 8:00 mchana. Kupokelewa na wananchi wakiongozwa na Mhe. Rais Magufuli. Shime shime tukaipokee ndege pale Terminal 1

Update
22:12 Marubani wanakunywa Chai
Unamuhimiza nani akanyeshewe na mvua huko kipawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…