Ndege iliyonunuliwa na Serikali aina ya Boeing 787-8 Dreamliner imeondoka nchini Marekani, kutua nchini Oktoba 26 saa nane mchana

Ndege iliyonunuliwa na Serikali aina ya Boeing 787-8 Dreamliner imeondoka nchini Marekani, kutua nchini Oktoba 26 saa nane mchana

Wamesahau kua safari za ndege za abiria haziwezi kufichwa, kila route inayopita lazima iwe recorded.
Niliwahi kuuliza swali hivi nani uwa anafanya ukaguzi wa kila hatua kwenye uundaji wa ndege zetu?


Leo imeibuka habari asubuhi kuwa kila aliyetangaza ujio wa ndege akamatwe, lakin gafla wanasema inakuja kuputia page ya Gerson Msigwa anasema dege linafika kesho,

Mchezo ulianza hivi kwenye page ya ATC waliandika ujio wa ndege yetu ,

Wana habari wakachota pale wakaanza kusambaza,

Nadhani kuna sintofahamu juu ya kufuta ujumbe ule na waziri akaibuka kusema kuwa wamezusha na wasakwe,

Lakin baadae tunaambiwa dege linakuja

Swali lililotoka kwa mdau

Ninasikia ndege imeondoka, Ila kwanini ndege ilikaa Moses Lake Airport kwa Muda bila kurejea PAE(Kiwandani)imerejea leo na Kuondoka? Na kwanini waziri anasema waandishi wa habari wakamatwe Kwa kusema kwamba inakuja ndege?

Mkuu barafu tunaomba Masada

View attachment 1244788
Britannica
 
Boss Gulwa Hivi mnapata Faida gani kufurahia Ndege yetu na zetu kukamatwa??? !!!
Unajua mimi bado sijafahamu !!!
Kwani ndege haiwezi kuruka moja kwa moja mpaka Tanzania bila kutua kuweka mafuta???? !!!
Tani 40 hivi za mafuta na masaa kama 17 tu hivi ya kuwa angani moja kwa moja.
Kwani Ndege ni za Mh. Rais Magufuli??? !!!
Hauoni na hamuoni faida Watanzania na Wananchi wengi wamepata ajira ??? !!!
Yaani kuanzia Dereva (Pilot) mpaka wahudumu ni WaTanzania, wawakilishi ni wachache sana (Boeing, Kampuni za Engine kama ni tofauti na Boeing).
Wafanyakazi wanaenda Boeing kwa Training na Workshop kibao, ujuzi unaongezeka,
Shirika lilikuwa Nusu Kaputi, limefufuliwa, bado kuna watu hawapendi.
Tubadilike Jomoni.
Wamepoteza dira Mkuu achana nao
 
Huenda ilikaa hapo kwa ajili ya service ndogo ndogo pamoja na kuongeza mafuta kabla ya kuanza safari ya Kuja Tanzania, si unajua ni safari ya kutoka bara moja kwenda lingine.

Ni Kama vile tunavyofanyia service gari zetu tunapokuwa na safari ndefu labda kutoka Dar es Salaam - Mbeya.

Kwa kuwa hili ni swali tunategemea tutapata majibu sahihi kutoka kwa Serikali yetu sikivu, hivyo tuwe wavumilivu tukisubiri majibu ya Serikali.
 
#TUNATEKELEZA , kesho saa 8:00 Mchana tunaipokea.

JPM #KAZI IENDELEE
73398120_161299118264675_6204930320124649745_n.jpeg
 
Boss Gulwa Hivi mnapata Faida gani kufurahia Ndege yetu na zetu kukamatwa??? !!!
Unajua mimi bado sijafahamu !!!
Kwani ndege haiwezi kuruka moja kwa moja mpaka Tanzania bila kutua kuweka mafuta???? !!!
Tani 40 hivi za mafuta na masaa kama 17 tu hivi ya kuwa angani moja kwa moja.
Kwani Ndege ni za Mh. Rais Magufuli??? !!!
Hauoni na hamuoni faida Watanzania na Wananchi wengi wamepata ajira ??? !!!
Yaani kuanzia Dereva (Pilot) mpaka wahudumu ni WaTanzania, wawakilishi ni wachache sana (Boeing, Kampuni za Engine kama ni tofauti na Boeing).
Wafanyakazi wanaenda Boeing kwa Training na Workshop kibao, ujuzi unaongezeka,
Shirika lilikuwa Nusu Kaputi, limefufuliwa, bado kuna watu hawapendi.
Tubadilike Jomoni.
Mkuu;
Wala usipoteze muda kujenga hoja kwa watu kama hawa!

Kumbuka ukijibishana na mpumbavu kwenye upumbavu wake na wewe utaonekana mpumbavu!

Ni ushauri tu! Samahani kama nitakukwaza!
 
Niliwahi kuuliza swali hivi nani uwa anafanya ukaguzi wa kila hatua kwenye uundaji wa ndege zetu?


Leo imeibuka habari asubuhi kuwa kila aliyetangaza ujio wa ndege akamatwe, lakin gafla wanasema inakuja kuputia page ya Gerson Msigwa anasema dege linafika kesho,

Mchezo ulianza hivi kwenye page ya ATC waliandika ujio wa ndege yetu ,

Wana habari wakachota pale wakaanza kusambaza,

Nadhani kuna sintofahamu juu ya kufuta ujumbe ule na waziri akaibuka kusema kuwa wamezusha na wasakwe,

Lakin baadae tunaambiwa dege linakuja

Swali lililotoka kwa mdau

Ninasikia ndege imeondoka, Ila kwanini ndege ilikaa Moses Lake Airport kwa Muda bila kurejea PAE(Kiwandani)imerejea leo na Kuondoka? Na kwanini waziri anasema waandishi wa habari wakamatwe Kwa kusema kwamba inakuja ndege?

Mkuu barafu tunaomba Masada

View attachment 1244788
Britannica
Labda imefungwa engene za PW
 
Kumbe wanaogopa wanaotuda wasijekulikamata likutua huko makuu kujaza mafuta Hii sababu imekosa viwango vyote vya weledi
Kuna jambo walilificha pitia hapa

 
Boss britanicca Nijuavyo mimi, Safari ya kwenda Moses Lake ilikuwa ni majaribio au Test.
Ni kama ukinunua Gari, lazima ulitest aka ulijaribu.
So kukaa kwa muda Moses Lake inaweza ikawa ni kuichunguza zaidi,
Haikuwa safari ya kuja Tanzania kupitia Moses Lake.
Moses Lake ni ka mji kadogo ambapo kapo hapo hapo Washington State.


Niliwahi kuuliza swali hivi nani uwa anafanya ukaguzi wa kila hatua kwenye uundaji wa ndege zetu?


Leo imeibuka habari asubuhi kuwa kila aliyetangaza ujio wa ndege akamatwe, lakin gafla wanasema inakuja kuputia page ya Gerson Msigwa anasema dege linafika kesho,

Mchezo ulianza hivi kwenye page ya ATC waliandika ujio wa ndege yetu ,

Wana habari wakachota pale wakaanza kusambaza,

Nadhani kuna sintofahamu juu ya kufuta ujumbe ule na waziri akaibuka kusema kuwa wamezusha na wasakwe,

Lakin baadae tunaambiwa dege linakuja

Swali lililotoka kwa mdau

Ninasikia ndege imeondoka, Ila kwanini ndege ilikaa Moses Lake Airport kwa Muda bila kurejea PAE(Kiwandani)imerejea leo na Kuondoka? Na kwanini waziri anasema waandishi wa habari wakamatwe Kwa kusema kwamba inakuja ndege?

Mkuu barafu tunaomba Masada

View attachment 1244788
Britannica
 
PIPA LANYANYUKA MAREKANI. Ni Boeing 787-8 Dreamliner ya pili. Kutua Dar es Salaam kesho saa 8:00 mchana. Kupokelewa na wananchi wakiongozwa na Mhe. Rais Magufuli. Shime shime tukaipokee ndege pale Terminal 1

Update
22:12 Marubani wanakunywa Chai


Jamani si Kamwele kasema hakuna ndege inayokuja, hadi wizara yake itangaze, kwani vipi lakini, mbona confusion tupu, tushike lipi sasa na ni jana tu Waziri kawa mkali kweli kwa aliyezusha huu uvumi wa ndege kuja.. 🤔😪
 
Britannica Huyo Waziri Kamwelwe kama nilimuelewa hoja yake, ni hivi; Siyo kwamba ndege haiji, tatizo hakutaka watu waseme mapema, ndiyo maana alisema " Nyie waandishi ndio mliandika andika habari ya ndege ikakamatwa kule Afrika Kusini" Point yake ni kwamba kuna wadai hawatakiwi kusikia habari hii, au kufahamu ndege inakuja, hasa kufahamu inakuja lini. Wanataka kuifanya iwe siri ili wale wabaya wao wasifahamu, ni lini hasa itaondoka, na ili wasije kuifuata nyuma au ikatua mahala waka lala nayo mbele. Hivyo ndivyo nilielewa, naweza kuwa nimekosea.

Kwasababu kuna viashiria vyote kwamba inakuja, kwanini hataki waseme au waandike juu ya ujio huo?

Au Mwenye ndege bado mgonjwa wanahisi hatoweza kuizindua kama wafanyavyo siku zote?
 
Sawa ndege inakuja; pamoja na hayo ongezeni mishahara!! Tukumbushane kuwa maendeleo ni ya Watu na sio vitu.
 
Back
Top Bottom