Ndege mbili za Airbus kupokelewa siku ya Ijumaa, Uwanja wa Abeid Aman Karume Zanzibar

Kabisa! Hata yale magaidi yako jela ni masukuma gang

Mama anaupiga mwingi! Mikumi tena kwake
Kaidi Hamza nasikia amewacha wosia akikutaja wewe kuwa ndiye uchukue nafasi yake
 
Samia kaagiza ziwe za Zanzibar

Zanzibar ni mzigo mkubwa sana kwa Tanganyika

Nyerere alituuza utumwani kama ngamia
zanzibar wana mchango gani katika bajeti ya Tanzania? Makusanyo yao yote yanaishia kuendesha serikali yao. Hela za kununua ndege zinakusanywa huku bara na hazivuki bahari. Hata wabunge wao wa bunge la Muungano wanalipwa mishahara na marupurupu na hela za watanganyika, muulize mbunge wa zamani wa Nkasi - Kessy. Sio kwamba nachonganisha, ila nam-quote mbunge Kessy
 
Misukule ya dikteta itahoji kwann zimeshuka Zanzibar
 
Hiv kumbe ATCL ni shirika la ki-Muungano
 
Makampuni mengi ya ndege duniani yana ndege za kukodi, na hayo ndiyo mengi yameathirika wakati wa uvuko19.
 
Watanzania Wanataka Elimu,Dawa na Maji SIO AIR BUS
 
Wakiamua wanaweza. Nafikiri hizo ni ideal routes. Zinaweza kulipa sana kuliko long routes
 
Waboreshe menu mambo ya kupeana viazi na vipande vya apples yamepitwa na wakati
 
Sasa huyo Kama ameandika wrong data za idadi ya ndege za SAA, hoja si kumtukana, tungekuona wee ni mkweli Kama na wewe ungeweka data hapaaa zikiambatanishwa na rink or references. Badala yake umelipuka Kama Tank la petrol la ajari ya morogoro gafra tu. Tupe data wee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…