kwa hiyo hizo sasa ni za watu wa Jamhuri ya Zanzibar siyo?Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki, Je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Wacha wafugie njiwaHalafu biashara kubwa inaweza kuwa ni kwenda nchi jirani na Africa kuliko Ulaya na Marekani
Hoja yako ni nzuri sana ila hii program imefeli sababu ya kukurupuka .mimi nafikiri wangeanza kwa kuangalia gharama za uendeshaji, then waweke bei rafiki kabisa mfano Arusha/dar 70,000shs flat rate; ili ndege ijae kila siku. Mbona ulaya wana hizo bei ($20/$30) na ndege zinaruka kila siku kati ya mji na mji na husikikii hasara?
Huku kwetu ndege inafanywa anasa na hivyo kuwekwa bei isiyo rafiki hivyo route nyingi hazijai na kufanya ziende kwa hasara.
Unatoa ndege mpanda to Dar shs 300,000pp unapata abiria 35; Je ungechaji 100,000 ukapata abiria 170? kila siku?
badala yake tunafuta route kuwa hailipi bila kuangalia kipato cha soko husika
Ni mtazamo tu
Nakubaliana na wewe kwa 100%Hoja yako ni nzuri sana ila hii program imefeli sababu ya kukurupuka .
Unapofanya biashara yoyote lazima ufahamu wateja wako( kyc) hii ndio roadmap ya bidhaa gani uwaletee na ipi usideal nayo, profile ipi utumie and the likes
Biashara ya budget airline ulaya wanafanikiwa kwa sababu wako very deep with it , kwanza aina ya ndege wanazotumia , flying techniques, hadi aina ya huduma wanazotoa on board , zote ziku kwemye mlengo wa savings , mfano refreshments, drinks utanunua mwenyewe on board , hakuna haja ya kumcharge mteja 50k kwa korosho za 250mg, 300mls za maji na 250ml za beverage.
787 dreamliner kufanya iwe budget airline ni sawa na kununua v8 uifanyi uber .
Fastjet wakati anaondoka alikuwa akitumia embraer e190 one of the best plane kama unataka kufanya budget airline.
Wana tekeleza business plan yao,na mpaka sada baafhi ya vipengele vya hiyo plan vinaendelea kutekelezwaNaam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki, Je wamejipanga kufika huko kiushindani?
hakuna kitachoharibika
Kwa hiyo hizo Airbus amewapa ndugu zake?Mama anaupiga mwingi.
safi sana mama samiaNaam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki, Je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Kuna chawa watakuja na kumwaga povu bila kujua kuwa unazungumza kitu unacho kijuaUGANDA amenunua airbus mbili 330, achilia mbali zile CRJ za Mitsubishi, hajajua ziende route ipi. I saw one in DAR lakini to be honest, Airbus 330 is not meant for short range trips.
Kama kawaida si unakumbuka pia aliwahi kutoa zawadi ya birthday benz la kufa mtu kwa mzee fulaniKwa hiyo hizo Airbus amewapa ndugu zake?
Hii itakua kama ya mzee wa Chato. Znz itanufaika sana kwa mgongo wa Tz BaraMzanzibari ana tusogeza zenji taratibu
Soon utasikia Znz wanaanzisha shirika lao kwa fedha kutoka bara.Ama kweli kama wazanzibari hawataki Muungano muda wao ni sasa.
Ndege za ATCL tangu lini zikapokelewa Zanzibar?
Its not big issue kwa Watanzania kutafunwa na magonjwa!!???Tofauti na corona kuna magonjwa mengi tu yanayotutafuna Watanzania. So it's not that big issue.