Ndege mbili za Airbus kupokelewa siku ya Ijumaa, Uwanja wa Abeid Aman Karume Zanzibar

Ndege mbili za Airbus kupokelewa siku ya Ijumaa, Uwanja wa Abeid Aman Karume Zanzibar

Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.

Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki, Je wamejipanga kufika huko kiushindani?
kwa hiyo hizo sasa ni za watu wa Jamhuri ya Zanzibar siyo?
 
mimi nafikiri wangeanza kwa kuangalia gharama za uendeshaji, then waweke bei rafiki kabisa mfano Arusha/dar 70,000shs flat rate; ili ndege ijae kila siku. Mbona ulaya wana hizo bei ($20/$30) na ndege zinaruka kila siku kati ya mji na mji na husikikii hasara?
Huku kwetu ndege inafanywa anasa na hivyo kuwekwa bei isiyo rafiki hivyo route nyingi hazijai na kufanya ziende kwa hasara.
Unatoa ndege mpanda to Dar shs 300,000pp unapata abiria 35; Je ungechaji 100,000 ukapata abiria 170? kila siku?
badala yake tunafuta route kuwa hailipi bila kuangalia kipato cha soko husika
Ni mtazamo tu
Hoja yako ni nzuri sana ila hii program imefeli sababu ya kukurupuka .
Unapofanya biashara yoyote lazima ufahamu wateja wako( kyc) hii ndio roadmap ya bidhaa gani uwaletee na ipi usideal nayo, profile ipi utumie and the likes
Biashara ya budget airline ulaya wanafanikiwa kwa sababu wako very deep with it , kwanza aina ya ndege wanazotumia , flying techniques, hadi aina ya huduma wanazotoa on board , zote ziku kwemye mlengo wa savings , mfano refreshments, drinks utanunua mwenyewe on board , hakuna haja ya kumcharge mteja 50k kwa korosho za 250mg, 300mls za maji na 250ml za beverage.
787 dreamliner kufanya iwe budget airline ni sawa na kununua v8 uifanyi uber .
Fastjet wakati anaondoka alikuwa akitumia embraer e190 one of the best plane kama unataka kufanya budget airline.
 
Hoja yako ni nzuri sana ila hii program imefeli sababu ya kukurupuka .
Unapofanya biashara yoyote lazima ufahamu wateja wako( kyc) hii ndio roadmap ya bidhaa gani uwaletee na ipi usideal nayo, profile ipi utumie and the likes
Biashara ya budget airline ulaya wanafanikiwa kwa sababu wako very deep with it , kwanza aina ya ndege wanazotumia , flying techniques, hadi aina ya huduma wanazotoa on board , zote ziku kwemye mlengo wa savings , mfano refreshments, drinks utanunua mwenyewe on board , hakuna haja ya kumcharge mteja 50k kwa korosho za 250mg, 300mls za maji na 250ml za beverage.
787 dreamliner kufanya iwe budget airline ni sawa na kununua v8 uifanyi uber .
Fastjet wakati anaondoka alikuwa akitumia embraer e190 one of the best plane kama unataka kufanya budget airline.
Nakubaliana na wewe kwa 100%
 
Hapatakosa watu ambao watachukizwa ndege hizo kisa zinapokelewa Zanzibar 😀

Anyways route ya Zanzibar to Dubai ina make sense kutokana na namba ya watalii kumiminika Zanzibar, inaweza ku serve kama connection flight.
 
UGANDA amenunua airbus mbili 330, achilia mbali zile CRJ za Mitsubishi, hajajua ziende route ipi. I saw one in DAR lakini to be honest, Airbus 330 is not meant for short range trips.
 
Ktk ununuzi wa ndege kunaupigajinmwingi sana ndio maana wanakomaa sana kununua mandege yanayowapa hasara kwenye soko..

Mafuta na Gesi zipo ardhini lakin wamezipuuza, madini, na resources nyingi sana.. tunajitutumua kununua ndege
 
Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.

Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki, Je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Wana tekeleza business plan yao,na mpaka sada baafhi ya vipengele vya hiyo plan vinaendelea kutekelezwa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
hakuna kitachoharibika
IMG_20210912_060511.jpg
 
Magufuli kifo kimemkatili sana angeifirisi kabisa hii nchi, aliwaza nini hadi kuona kwamba hii nchi inachohitaji ni ndege tu...!!!

Hizo fedha wanazochezea si wangeziwekeza hata kwenye kilimo (Mechanized Agriculture) si nchi nzima ingefaidi. Sasa hii midege, tena mingine mitumba, itaisaidiaje hii nchi maskini.
 
Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.

Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki, Je wamejipanga kufika huko kiushindani?
safi sana mama samia
 
UGANDA amenunua airbus mbili 330, achilia mbali zile CRJ za Mitsubishi, hajajua ziende route ipi. I saw one in DAR lakini to be honest, Airbus 330 is not meant for short range trips.
Kuna chawa watakuja na kumwaga povu bila kujua kuwa unazungumza kitu unacho kijua
 
Hizo ndege ni za zanzibar au Tanzania? Maana naona kama kuna mchezo unafanyika hapa.
Mwishon tutakuja kuambiwa ni za Zanzibar kumbe zimenunuliwa na hela ya Tanzania
 
Tofauti na corona kuna magonjwa mengi tu yanayotutafuna Watanzania. So it's not that big issue.
Its not big issue kwa Watanzania kutafunwa na magonjwa!!???
Mkiambiwa nyie ni mawakala wa shetani,mnapiga kelele!
 
Back
Top Bottom