Hivi unajua mzigo wa pesa na dhahabu alionao hizbo? Hakuna kundi linalogusa kwa pesa hizbollah pesa kwao sio shida zao. Kila mwananchi aliyebomolewa nyumba analipwa milioni 40 kwa mwaka kabla hajajengewa nyumba yake wewe unasema niniHivi unajua Hezbollah wamepigwa sana pesa kwenye msiba huo? Walikuwa wanatoza pesa kuona tu jeneza hilo.
View: https://x.com/phareselisha1/status/1893197563148325251?s=61
Hata Yesu,alizikwa siku hiyo hiyo,aliposulubiwa na magaidi wa Israel.Kumbe dini ya mnyaanzi kwa bongo na uarabuni ni tofauti? Hapa bongo wanazika shuta shuta lakini Hiro gaidi limewekwa siku zooote hizo?
Hawa.magaidi wa Israel,hata walipomsulubu na kumpiga Yesu;na kuvalusha nepi,na kumkita mkuki,na kumtemea mate,na kumuua,pia walishangilia,wasubiri kukutana naye.Kwa maana waislamu na wakristo,wanasema yuko hai,mbinguni.
Mbona hakuna ndege iliyokuwa kwenye afterburn hapo! Zilikuwa ktk speed ya kawaida sanaNdege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
Watuambie taratibu za kuzika muda mrefu wakitoa wapi akati yesu alizikwa baada ya masaaHata Yesu,alizikwa siku hiyo hiyo,aliposulubiwa na magaidi wa Israel.
Hao magaidi hawana maajabuNakuombea uishi umri ili ushuhudie maajabu ya waislam kutoka Kwa mola
Washia ni tofauti sana na Waislam wengine... Yaani akishaitwa Sayeed anakuwa nabii kabisaHivi unajua Hezbollah wamepigwa sana pesa kwenye msiba huo? Walikuwa wanatoza pesa kuona tu jeneza hilo.
View: https://x.com/phareselisha1/status/1893197563148325251?s=61
Kwa hiyo Yesu alikuwa Mayahudi?Hata Yesu,alizikwa siku hiyo hiyo,aliposulubiwa na magaidi wa Israel.
kwan unashabikia vitu kwa misingi ya dini u misingi ya uhalisia nan mkorofiKwani wewe mbona unafuatilia mambo haykuhusu 🤣🤣wewe ni mkristo hao mayahudi sio wakristo jitambue shobo mbaya sana.
After burn, cheki mkiani kwa ndege ungeona after burn kijanaSpeed ya kawaida knot ngapi?
Mbona mada nzuri hii? Why umechukia?Acha shobo na picha yako hiyo ,mnatemewa mate huko ,huna kazi unalazimisha undugu .
Kwa umri wako tafuta kazi ya kufanya hizi mada zilishaisha kabisa.🤣🤣Mfia dini.
Wewe sijui unataka kusema nini hapo unaruka-ruka tu mara Mzee wa miaka 86 mara mkono mnogi,mara Netanyahu a Najua,Mara wanamwombea kufa kila siku,Mara Yemen anapigwa Tel-Aviv, Mara KM 2000 please be specific hata nikitaka kukujibu nikujibu kwa lipi sasa??Ayatollah ni mzee wa miaka 86 pia ana mkono mbovu baada ya promise tuu alisalisha sala ya Ijumaa hadharani Netanyahu knows who he is they wish him death every minute saivi Yemen anapiga tel viv Km zaidi ya 2000 bila hata kugusa nzi asiye husika kazi ya mwamba hio na hawana cha kumfanya.
Trump ameshamwongezea nguvu acha ajidaiSafari hii atawaudhi sana tu Wafuga Midevu na Majini!!