Ndege-vita za Israel(IAF) zatamba kwenye mazishi ya Hassan Nasrallah huko Beirut, Lebanon

Ndege-vita za Israel(IAF) zatamba kwenye mazishi ya Hassan Nasrallah huko Beirut, Lebanon

Hawa.magaidi wa Israel,hata walipomsulubu na kumpiga Yesu;na kuvalusha nepi,na kumkita mkuki,na kumtemea mate,na kumuua,pia walishangilia,wasubiri kukutana naye.Kwa maana waislamu na wakristo,wanasema yuko hai,mbinguni.

Usisahau Yesu alikuwa Myahudi, akisali kwenye masinagogi yao. Na wakati huo Uyahudi ilikuwa chini ya utawala wa Mrumi.
 
Tuna discuss vitu vya msingi na watu ambao bure kabisa kwenye mambo ya kiimani, ambao wanajifanya wako kwa Yesu bure hawajui kitu katika dini yao wenyewe halafu wanaleta ujuaji katika dini ya wengine
 
Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
Mbona hakuna ndege iliyokuwa kwenye afterburn hapo! Zilikuwa ktk speed ya kawaida sana
 
Kwani wewe mbona unafuatilia mambo haykuhusu 🤣🤣wewe ni mkristo hao mayahudi sio wakristo jitambue shobo mbaya sana.
kwan unashabikia vitu kwa misingi ya dini u misingi ya uhalisia nan mkorofi
 
Acha shobo na picha yako hiyo ,mnatemewa mate huko ,huna kazi unalazimisha undugu .

Kwa umri wako tafuta kazi ya kufanya hizi mada zilishaisha kabisa.🤣🤣Mfia dini.
Mbona mada nzuri hii? Why umechukia?
 
Ayatollah ni mzee wa miaka 86 pia ana mkono mbovu baada ya promise tuu alisalisha sala ya Ijumaa hadharani Netanyahu knows who he is they wish him death every minute saivi Yemen anapiga tel viv Km zaidi ya 2000 bila hata kugusa nzi asiye husika kazi ya mwamba hio na hawana cha kumfanya.
Wewe sijui unataka kusema nini hapo unaruka-ruka tu mara Mzee wa miaka 86 mara mkono mnogi,mara Netanyahu a Najua,Mara wanamwombea kufa kila siku,Mara Yemen anapigwa Tel-Aviv, Mara KM 2000 please be specific hata nikitaka kukujibu nikujibu kwa lipi sasa??
 
Kelele za chura yaani kujipitisha ili mradi na wao waonekane wamo washukuru Serikali ya Lebanon US kaiweka mfukoni.
Wafuga Midevu na Majini hawakosi sababu hasa wakishindwa!!
 
Back
Top Bottom