Ndege Vita za Russia ndani ya saa 48 katika ya pwani ya Marekani na Canada. USA alalamikia Uchokozi wa Russia

Ndege Vita za Russia ndani ya saa 48 katika ya pwani ya Marekani na Canada. USA alalamikia Uchokozi wa Russia

Saa 48 zilizopita urusi amerusha ndege za kivita karibu na pwani ya Marekani na Canada kutokea baharini upande wa Jimbo la Alaska kitendo kilichoikasirisha sana marekani na kuita ni kitendo cha uchokozi kutoka kwa urusi .

Safari hii hii marekani ajiandae kuonja utamu wa vita. Rais Putin ameshatangaza kuwa kitendo cha Ukraine kushambulia urusi kwa makombora ya Masafa marefu ni kutangaza vita ya Moja kwa Moja na NATO na uamuzi sahihi wa kushughulikia suala hilo utafanywa kwa haraka sana.

Kwa sasa marekani Bado haijatoa msimamo wake juu ya matumizi ya silaha zake huko Ukraine huku wakisisitiza Bado msimamo wake wa awali wa kutoiruhusu Ukraine kushambulia urusi ndani ya mipaka yake kwa silaha za marekani unaendelea.

Katika Hali nyingine mwanachama mwengine wa NATO nchi ya Italy imeiambia Ukraine kuwa silaha zake hazitaruhusiwa kushambulia ndani ya mipaka ya nchi ya Russia.
View attachment 3095340
Waamerika wana upuuzi kama ilivyo rafiki zao wana upuuzi mwingi kama watekaji ,watesaji na wauwaji wa siku hizi wa pande zetu,acha wanyooshwe na huyo mwamba.
 
Ili hilo limtokee avamie nchi zifuatazo yeye kama yeye kama alivyovamia Iraq ama Libya;
1)Russia.
2)China.
3)Iran.
4)Turkiye.


Avamie hizo nchi kijeshi kamili kama alivyovamia Iraq au Libya,uone USA watakavyotafutana.
Kwanini hizo nchi ulizozitaja zisiivqmie marekani? Je Zinaogopa? Kwani Urusi Hana uwezo wa kuivamia marekani? Si nchi zao zimepakana? Kwanini asiivamie? Hizi nchi Zinaogopana mkuu lakini hakuna nchi ya bara la ulaya inayoweza kumudu vita na Urusi nasisitiza hakuna, lakini kwa marekani angalieni kwa jicho la tatu, Urusi anaogopa kushambulia nchi za NATO kwasababu ya marekani na sio nchi za ulaya
 
Mi Mwenyewe nilijiuliza hilo. Na zaidi sera ya Marekani masuala ya Anga ni Mambo nyeti ndio maana hata Elon Musk haruhusiwi kuajiri asiye Mmarekani.
Sema Kila jambo linalo fanyika lishapangwa kitambo tu. Sisi bara la Giza tunakuwa hatujui. Na Nchi za magharibi hazipendi urusi awe kichwa Kwa namna yoyote Ile Ili wabaki wao Kwa wao.

Mfano yule mbikinabe alivyo wafurusha wafaransa unadhani wanapenda? Ukizingatia misaada anapata Russia
 
Kwanini hizo nchi ulizozitaja zisiivqmie marekani? Je Zinaogopa? Kwani Urusi Hana uwezo wa kuivamia marekani? Si nchi zao zimepakana? Kwanini asiivamie? Hizi nchi Zinaogopana mkuu lakini hakuna nchi ya bara la ulaya inayoweza kumudu vita na Urusi nasisitiza hakuna, lakini kwa marekani angalieni kwa jicho la tatu, Urusi anaogopa kushambulia nchi za NATO kwasababu ya marekani na sio nchi za ulaya
Kama ukifuatilia toka kipindi cha nyuma Russia hana sababu ya kuivamia USA.
Iran hana sababu,China hana sababu na wala North Korea na wala Turkiye hawana sababu.
Ila USA akivamia HAWATOMUACHA SALAMA.
Hata hiyo Russia haimuogopi hata kidogo USA,ila USA ikijichanganya imekula kwake.

Ndio maana nikasema USA inayojifanya nchi korofi ivamie hizo nchi kama inaweza.
Maana USA huwa anajitia mbabe kila sehemu.
 
Juzi wanaanga wawili wa Marekani na Mmoja wa Urussi wamesfiri safari ya pamoja ya ushirikiano.
Tafadhali ni wanaanga wawili wa Urusi na mmoja wa marekani aliyepewa lift kwenye Chombo cha Urusi kinaitwa Soyuz. Nilikua naweka record sawa tu mkuu.
Screenshot_20240914-210830.png
 
Saa 48 zilizopita urusi amerusha ndege za kivita karibu na pwani ya Marekani na Canada kutokea baharini upande wa Jimbo la Alaska kitendo kilichoikasirisha sana marekani na kuita ni kitendo cha uchokozi kutoka kwa urusi .

Safari hii hii marekani ajiandae kuonja utamu wa vita. Rais Putin ameshatangaza kuwa kitendo cha Ukraine kushambulia urusi kwa makombora ya Masafa marefu ni kutangaza vita ya Moja kwa Moja na NATO na uamuzi sahihi wa kushughulikia suala hilo utafanywa kwa haraka sana.

Kwa sasa marekani Bado haijatoa msimamo wake juu ya matumizi ya silaha zake huko Ukraine huku wakisisitiza Bado msimamo wake wa awali wa kutoiruhusu Ukraine kushambulia urusi ndani ya mipaka yake kwa silaha za marekani unaendelea.

Katika Hali nyingine mwanachama mwengine wa NATO nchi ya Italy imeiambia Ukraine kuwa silaha zake hazitaruhusiwa kushambulia ndani ya mipaka ya nchi ya Russia.
View attachment 3095340
Wazipige tu tujue nani mbabe
 
Marekani ni lidude fulani likubwa sana! Shida ya russia na nchi za kijamaa ni mikwara mingi!
Ajaribu kama anaweza anaepiga mkwara hapo ni marekani. China yupo kamwambia Taiwan ni sehemu ya china na huwezi Fanya lolote huo siyo mkwara ni facts na hawezi kufanya lolote, Urusi hivo hivo, North Korea n.k
 
Kama ndege za Russia zimeweza kufika karibu na USA na Canada. International waters ni kasehemu kadogo sana " a thin line between life and death" waanzage kujiandaa tu vita ikianza kumalizia hiyo sehemu iliyobaki ni suala la sekunde kadhaa.
Umekula makande?
 
Back
Top Bottom