Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Ije sasa sisi tumeondoka hapo JKN Terminal one
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa sijaelewa, yaani Obama aliacha magari anayoyatumia Tanzania? Mkuu umeandika hii comment ukiwa na Double kick ngapi kichwani?Ivi wakati alivyokuja obama si alikujaga na ndege yake iliyobeba yale mabeast alaf akayaacha kadhaa mbona sijaonagi kwa msafara wa rais ama makam ama waziri mkuu, bilashaka kamala atatuachia ndege tucompersate hasara ATCL
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miye nakwambia umaskini mbaya sana tena unatia haya. Nchi yako na ratiba unapangiwa kudadeki.
Huru kwa kipii? Mikopoo na misaada mnayo gala gala nayooo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu ufala ndo hua siuelewi kabisa yaani. Hivi kweli hii ni nchi huru?
Aisee nimecheka kitu kimechora hewani kwanza round za kutosha kusubiri mkubwa atueHizi ndizo habar za muda huu!
Ndege ya Air Tanzania aina ya Airbus A220-300 yenye usajili wa namba 5H-TCM ikiyotokea Mbeya kuja Dar es Salaam imepigwa stop kuingia katika anga la Dar es Salaam mpaka Vice President wa Marekani atue na ashuke kabisa.
Kwa mliopo katika mtandao wa Flight Reader manaweza kujionea.View attachment 2570421View attachment 2570432
Natumia flight radar 24Mnatumia mtandao gani kutack hizo ndege
Sasa nyie weusi mnajiweza kwa lipi? Ukitoa kupinga ushoga?? Na bado hamuwezi piaaa.Halafu bado utakuta Kuna mwaafrika anaona kichekesho/utani kwenye huu upumbavu. Ni kama vile watu wamekubali kuwa chini ya ngozi nyeupe.
Thubutu....!!! Sana sana huona kama vile Mateka anaomba Hifadhi ya muda Kwao.Mmh hivi mama akituaga huko kwa hao zeruzeru shughuli zao zinasimamaga
Ila kuna watu huwaambii kitu kuhusu hao wamerikani