Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Hii zile za mzigo ....sio ile yenyewe....ila zimeongizana....Hii imepita Angola Zambia Mbeya Dar .....nimependa techMheshimiwa anaelekea kutua sasaView attachment 2570506
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii zile za mzigo ....sio ile yenyewe....ila zimeongizana....Hii imepita Angola Zambia Mbeya Dar .....nimependa techMheshimiwa anaelekea kutua sasaView attachment 2570506
Nakuona Uncle Tom.Ukubali ukatae wewe mtu mweusi upo chini ya mtu mweupe.
Ukikataa utakuwa unataka kuanzisha ubishi wa kipumbavu ambao hauna hoja yoyote
Kuwa mpole...Huu ufala ndo hua siuelewi kabisa yaani. Hivi kweli hii ni nchi huru?
Kuona comment yako ni sawa na kuona miguu ya nyoka. 😀Kamala anaingia mda huu duh nani atampokea sasa 😁
Maskini ndio inatua sasa hivi.. [emoji22][emoji22]View attachment 2570467
Wakati huohuo kuna Airforce one kutoka Accra na lazma itakua inakuja DSM
View attachment 2570476
Usimamishe shughuli za watu kwa sababu rais anakuja, kwani amekuja kusimamisha shughuli za watu?Mmh hivi mama akituaga huko kwa hao zeruzeru shughuli zao zinasimamaga
Una moyo unaangalia tbc hongera mkuu...Nimetune tbc naona wako live
Safi; ingekaidi ingetunguliwa huko huko kabla haijavuka Makambako kuepusha madhara ambayo yangeweza kutokea.View attachment 2570447
Sasa imeanza tena kusogea Air Tanzania huku ndege ya Kamala Harris ikiwa imeshizimwa kabisa. Kwamaana ameshashuka.
View attachment 2570448
Waende Kutua DodomaSi wakatue baharini
HaaIla kuna watu huwaambii kitu kuhusu hao wamerikani