stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Nani aliekwambia pesa zinatafunwa ?Tafuteni hela muache mikesha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani aliekwambia pesa zinatafunwa ?Tafuteni hela muache mikesha.
Inaonyesha ndege ya mdosi haijatua bado angalia kuna mzigo unatoka Ghana unaingia usawa wa daslamAisee nimecheka kitu kimechora hewani kwanza round za kutosha kusubiri mkubwa atue
Kutafunwa ?Nani aliekwambia pesa zinatafunwa ?
akilikubwa.comMnatumia mtandao gani kutack hizo ndege
Sasa hata ukikataa ndio utaweza kuubadirisha huo ukweli?!!mwafrika ni sokwe aliyechangamka tu,na ndio maana hata hao viongozi wetu kila mwaka ripoti za CAG zinatoka kwa kuonyesha mabilioni yanaliwa tu na wajanja na linapita tu!!mnakalia mambo yasiyo na impact ya moja kwa moja kwenye maisha yako ya kila siku,eti USHOGA!!huo umeanza leo?Halafu bado utakuta Kuna mwaafrika anaona kichekesho/utani kwenye huu upumbavu. Ni kama vile watu wamekubali kuwa chini ya ngozi nyeupe.
Huru kwa kipii? Mikopoo na misaada mnayo gala gala nayooo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa anakuka kurasimishaa mapenzi ya jinsia 1, mtajua hamjui.
Mkubwa bado hajatua ila yupo mitaa ya morogoro sio mda anatuaAisee nimecheka kitu kimechora hewani kwanza round za kutosha kusubiri mkubwa atue
Walisema saa 5 angefikaMkubwa bado hajatua ila yupo mitaa ya morogoro sio mda anatua
Ukubali ukatae wewe mtu mweusi upo chini ya mtu mweupe.Halafu bado utakuta Kuna mwaafrika anaona kichekesho/utani kwenye huu upumbavu. Ni kama vile watu wamekubali kuwa chini ya ngozi nyeupe.
Maboya walitupanga coz ukiangalia hata hiyo route ya ndege yenyewe wamefanya kuficha destination inaonyesha imetoka Accra Ghana [emoji1110] lakini haionyeshi inaenda wapi nimefanya kuitrack kwa kubahatisha na nilipo angalia details zake nikaja kujua ndio yenyewe.Walisema saa 5 angefika
Mabenzi ya Obama waligawana viongozi wakubwa, yapo majumbani kwao sasahiviHivi wakati alivyokuja obama si alikujaga na ndege yake iliyobeba yale mabeast alaf akayaacha kadhaa mbona sijaonagi kwa msafara wa rais ama makam ama waziri mkuu, bilashaka kamala atatuachia ndege tucompersate hasara ATCL
mbona kama amepitiliza mkuu?Mheshimiwa anaelekea kutua sasaView attachment 2570506
naona pipa linageuka likiwa usawa wa baharimbona kama amepitiliza mkuu?