Ndege ya Air Tanzania yazuiliwa kuingia katika anga sababu ya ndege ya Kamala Harris

Ndege ya Air Tanzania yazuiliwa kuingia katika anga sababu ya ndege ya Kamala Harris

Mdosi huyo hapo mwekundu anaingia daslam
Screenshot_20230330-000110_Flightradar24.jpg
 
Halafu bado utakuta Kuna mwaafrika anaona kichekesho/utani kwenye huu upumbavu. Ni kama vile watu wamekubali kuwa chini ya ngozi nyeupe.
Sasa hata ukikataa ndio utaweza kuubadirisha huo ukweli?!!mwafrika ni sokwe aliyechangamka tu,na ndio maana hata hao viongozi wetu kila mwaka ripoti za CAG zinatoka kwa kuonyesha mabilioni yanaliwa tu na wajanja na linapita tu!!mnakalia mambo yasiyo na impact ya moja kwa moja kwenye maisha yako ya kila siku,eti USHOGA!!huo umeanza leo?
 
Halafu bado utakuta Kuna mwaafrika anaona kichekesho/utani kwenye huu upumbavu. Ni kama vile watu wamekubali kuwa chini ya ngozi nyeupe.
Ukubali ukatae wewe mtu mweusi upo chini ya mtu mweupe.

Ukikataa utakuwa unataka kuanzisha ubishi wa kipumbavu ambao hauna hoja yoyote
 
Walisema saa 5 angefika
Maboya walitupanga coz ukiangalia hata hiyo route ya ndege yenyewe wamefanya kuficha destination inaonyesha imetoka Accra Ghana [emoji1110] lakini haionyeshi inaenda wapi nimefanya kuitrack kwa kubahatisha na nilipo angalia details zake nikaja kujua ndio yenyewe.
 
Hivi wakati alivyokuja obama si alikujaga na ndege yake iliyobeba yale mabeast alaf akayaacha kadhaa mbona sijaonagi kwa msafara wa rais ama makam ama waziri mkuu, bilashaka kamala atatuachia ndege tucompersate hasara ATCL
Mabenzi ya Obama waligawana viongozi wakubwa, yapo majumbani kwao sasahivi
 
Back
Top Bottom