Ndege ya Air Tanzania yazuiliwa kuingia katika anga sababu ya ndege ya Kamala Harris

Ivi wakati alivyokuja obama si alikujaga na ndege yake iliyobeba yale mabeast alaf akayaacha kadhaa mbona sijaonagi kwa msafara wa rais ama makam ama waziri mkuu, bilashaka kamala atatuachia ndege tucompersate hasara ATCL
Hapa sijaelewa, yaani Obama aliacha magari anayoyatumia Tanzania? Mkuu umeandika hii comment ukiwa na Double kick ngapi kichwani?
 
Hiyo nadhani ndio ya mdosi mwenyewe hawajaweka destination ila inatoka Ghana [emoji1110] na inaonyesha inakuja uelekeo wa daslam
 
Aisee nimecheka kitu kimechora hewani kwanza round za kutosha kusubiri mkubwa atue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…