Ndege ya kwanza kutengezwa Tanzania yaanza safari zake

Kuanzisha kiwanda kidogo cha kuunganisha sio tatizo
Tatizo ni usimamizi, hivi hujiulizi kwanini viwanda vikubwa nje wanawekeza China, Bangladesh, Taiwan, Turkey na hata kenya
 
Unawashwa ww siyo bure

Nilichouliza umekifahamu
Nilitaka kujua kuhusu ivo vi mini airbus
Nan anatengeneza
Kampuni la ndani au wawekezaji
Ni vya kazi gan hivo vya abiria au vya kusafirishia chanjo
details kama izo
Siyo upige campan hapa
Mapovu ya kipumbavu haya ndio yanabatilisha maelezo yangu hapo Juu?

Ni kampuni ya Kigeni yenye ubia na Wazawa ndio wanatengeneza,Toka mwaka juzi walikuwa wameanza hiyo project.

Soma hapa Ndege ya Kwanza kutengenezwa Tanzania yazinduliwa
 
Mimi naitambua hii kama ndege halisi ya kitanzania. Hiyo mnayosema ni ya mabeberu.
 

Attachments

  • NDEGE.jpg
    686.9 KB · Views: 3
wwanatengeneza nn πŸ˜†πŸ€£ hakuna mtz anaeweza kutengeneza ndege ujnja janja tu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, nimecheka sana swali lako, eti wanatengeneza nini! Wanatengeneza ndege, wanataka kuua watu hawa
 
Nilitaka kuwa rubani kumbe Tanzania hakuna chuo chΓ  urubani
 
Mimi hata kwa bure kabisa sipandi we are good in nothing.

Haikawii kutokea itilafu za kiufundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…