Ndege ya Precision yazimika injini ikiwa angani

Ningekuwepo humo ndegeni ningevaa zangu earphone sauti hadi mwisho kabsa. Ningeweka nyimbo ya rose muhando _Nakaza mwenendo nifike mbinguni.
Ningefanya hivyo kwa sababu hata ningepiga makelele ingebadikisha chochote??
Unaongea kirahisi kwasababu akili imetulia huku ardhini. Laiti ungekuwepo huko angani ingekuwa ni full kujamba jamba na kutoa kamasi!
 

Kwani hakukuwa na maboya
 
mwana JF hebu waza huu uzi ungekuwa unahusu ATCL wachangiaji wangekuwa wanasemaje?
Pamoja na id feki zetu ila members wa jf ni "walewale"
Hapa tungeelekeza matusi yote kwa yule shujaa wa kujivukiza kule kaburini Chato
 
Air crash investigation ni bonge la shule kile kipindi.
 
Mkuu unafananisha engine ya ndege na matairi ya gari?
Ndege inayoweza kwenda na engine moja ni ile tu ambayo engine yake imefungwa katikati, kwa maana ya kuigawa hiyo ndege symmetrically. Na ndio maana ndege za engine moja (hasa ndege ndogo), engine hiyo imefungwa katikati mbele. Vinginevyo ingefungwa anywhere lakini katikati ili kuigaga into two halves. Huwezi kupata configuration nyingine.
 
Hivi vitu havijazoeleka sana huku bongo, ndio maana wengiwao hofu inawaingia hahhaa 🤣🤣🤣 ni kama vile mzungu akutane na mende ee bwana eee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ile height ukiwa kwenye ndege usipopaniki kwa hiyo habari we ni mchawi. Sipendi ndege sinaga namna tu aisee
,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…