Viwanja vya ndege vipo vingi mno na marubani kabla ya safari wanakuwa na informations zote na huduma gani ipo kwenye viwanja hivyo, umbali gani inaweza kwenda kuna factors nyingi za kuziangalia mfano ipo umbali gani juu, weather, including upepo na pia ukubwa wa ndege, hivi Vindege vya single engine mkuu hata kwenye viwanja vya mpira inakitua tu,kumbuka yule pilot wa USA aliyetua Ile ndege kwenye mto na akaokoa watu wote (hii ndege ilipoteza engine zote)na kumbuka yule pilot wa Ile ndege ya Ethiopia airways iliyotekwa na akaiweka Ile ndege pwani ya Mauritius baada ya kuishiwa mafuta, aliokoa baadhi ya abiria ila watekaji wote walipelekwa jehanamu