Ndege ya Precision yazimika injini ikiwa angani

Ndege ya Precision yazimika injini ikiwa angani

Viwanja vya ndege vipo vingi mno na marubani kabla ya safari wanakuwa na informations zote na huduma gani ipo kwenye viwanja hivyo, umbali gani inaweza kwenda kuna factors nyingi za kuziangalia mfano ipo umbali gani juu, weather, including upepo na pia ukubwa wa ndege, hivi Vindege vya single engine mkuu hata kwenye viwanja vya mpira inakitua tu,kumbuka yule pilot wa USA aliyetua Ile ndege kwenye mto na akaokoa watu wote (hii ndege ilipoteza engine zote)na kumbuka yule pilot wa Ile ndege ya Ethiopia airways iliyotekwa na akaiweka Ile ndege pwani ya Mauritius baada ya kuishiwa mafuta, aliokoa baadhi ya abiria ila watekaji wote walipelekwa jehanamu
Yule Babu rubani aliitupa ile ndege ndani ya mto Hudson. Kati ya waliofariki kwenye tukio la Mauritius Ni Gwiji moja la Habari la BBC Kama sijakosea. Umenikumbusha mbali aisee!
 
Ndege ikizima hata ingini zote ikiwa juu, huwa hainguki moja kwa moja kama jiwe. vizuri zaidi kama ikiwa juu zaidi inaweza chukua masaa kadhaa kudondoka. Hivyo pilots wanakuwa wanayo nafasi ya kuipeleka sehemu salama kama kwenye water bodies lakes/ ocean il kupunguza madhara.
 
Dakika 51 kutoka mwanza hadi kahama , dakika nyingi sana, huo ni mwendo wa kinyonga kabisa nafuu kupanda bus
 
Wakati huo ndo kila mtu umkumbuka Mungu na sio mungu wa zumaridi😄😄
 
mwana JF hebu waza huu uzi ungekuwa unahusu ATCL wachangiaji wangekuwa wanasemaje?
Pamoja na id feki zetu ila members wa jf ni "walewale"
Mkuu!!
Unapolinganisha ladha , hebu jaribu kulinganisha kwa vitu vyenye mfanano, mf , chungwa la muheza ni tamu kuliko chungwa la msata!!
Wewe ni kama unasema chungwa la muheza ni tamu kuliko nanasi la bungu, vitu viwili tofauti kabisa japokuwa vyote ni matunda.
Prcisionair ni ndge ya mtu binafsi , shirima aliwekeza kiasi gani humo haituhusu, ndege za Atcl tungelalamika maana zile ni kodi na pesa zetu watanzania wote
 
Yule Babu rubani aliitupa ile ndege ndani ya mto Hudson. Kati ya waliofariki kwenye tukio la Mauritius Ni Gwiji moja la Habari la BBC Kama sijakosea. Umenikumbusha mbali aisee!
Yes mkuu, binafsi ninafuatilia sana kuhusu vipindi vya Air crash investigation, yule pilot wa Ethiopian Airways alirudi kazini na kuendelea to fly, was sad kwa yule journalist ambaye alipoteza maisha, na wale vijana walioteka Ile ndege hawakuwa kabisa na ABC kuhusu ndege ilivyo na systems zake, kuna tetesi kuwa pilot aliomba atue pale Dar es Salaam int. Airport akanyimwa kibali (but hii ni debate for another time).
 
Mkuu!!
Unapolinganisha ladha , hebu jaribu kulinganisha kwa vitu vyenye mfanano, mf , chungwa la muheza ni tamu kuliko chungwa la msata!!
Wewe ni kama unasema chungwa la muheza ni tamu kuliko nanasi la bungu, vitu viwili tofauti kabisa japokuwa vyote ni matunda.
Prcisionair ni ndge ya mtu binafsi , shirima aliwekeza kiasi gani humo haituhusu, ndege za Atcl tungelalamika maana zile ni kodi na pesa zetu watanzania wote
Ndebile is not a full person. Think about this
 
Tatizo siyo tu kuzima bali ni nini kimefanya ikazima na ni nini kitafuata. Ni kweli ndege zenye injini mbili zina uwezo kabisa wa kuruka na injini moja bila tatizo lakini unapoona injini imezima inaweza kuwa matokeo ya multiple instruments failure au moto au janga jingine. Hapo ndiko kwenye shida.
Ulipoweka ka kiingereza uchwara Basi umejiona expert mwenyeweeee
 
Dakika 51 kutoka mwanza hadi kahama , dakika nyingi sana, huo ni mwendo wa kinyonga kabisa nafuu kupanda bus
Bukoba / Mwz dkk 15 tu inakuwaje Kahama. Mwz dkk 51 zote???
 
Kwanza ukiona umefikia hatua ya kuvaa boya jua umeshapona, maana hapo tayari mpo kwenye maji,
Parachute ni kwa fighter jet maana zile zina selc ejecting seat, commercial planes hakuna huduma ya parachute.

Kwa umbali inaoruka ndege (40000 feets ) speed inayotembea ( 800 +, km/h) na structure composition ya ndege zenyewe (alluminium body) ,likitokea janga huko juu chances ya ku survive ni zero to none.
Samahani Mdau! "Zero" na "none" sio kitu kimoja kweli?. Maana wengine tunaongeza misamiati humu humu mitandaoni.
 
Kuna mdau hapo amesema hadi dakika 370 kwa sababu ya backups mbalimbali
Dakika 370 inaweza kuwa kweli, fikiria ndege ipo katikati ya hahari Atlantic inatoka South America kuja Africa halafu injini ifeli masaa mawili hayawezi tosha kuifikisha nchi kavu itue
 
Huyu aliyewasha simu aka-tweet ni wa kushtaki kabisa---angeweza kuingilia intercoms na kusababisha majanga zaidi,
Ndegenyingi commercial zina backup plan---as long engine haijafeli wakati hajaweka ndege sawa(levelling Off)--pia ifahamike kuwa inaweza kuzimwa--ama inaonyesha mashaka(au ndege kaingia kwa jet engines) au kuzimika yenyewe.
Ni jambo la kawaida---na hata ndege ikiwa kwenye auto-pilot huwezi kugundua kirahisi.
Mimi ninamwaza sana huyu aliye tweet---sawa watu wangefahamu---lakini yeye itamsaidia nini?
Nonsense!
 
Back
Top Bottom