Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Kama miezi miwili nyuma....pilot alizima kwenye ndege abiria akaishusha Hapo Marekani Kwa maelekezo ya Muongoza ndege... Na asingekuwa na abc naye angeshimdwa kuiLand.... Imatokea mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama miezi miwili nyuma....pilot alizima kwenye ndege abiria akaishusha Hapo Marekani Kwa maelekezo ya Muongoza ndege... Na asingekuwa na abc naye angeshimdwa kuiLand.... Imatokea mzee
Kwanza ukiona umefikia hatua ya kuvaa boya jua umeshapona, maana hapo tayari mpo kwenye maji,Sasa unavaaje boya angani we mzeee..... Au ulitaka kusema parachute...😁😁😁😁
Tulikuwa na abiria wengine lakini aliyakua anajua kuwa ndege haina mafuta ni mimi maana nilikua nimekaa pale mbele, wengine hawana habari kabisa kinachoendea.Hivi mkondo wa Nungwi unavyoyumbishaga ndege mlipoufikia si karibu ujiharishie kwa hofu?🤣
Usiporusha wenzako wanarushaHukuona ile ndege ya Air Tanzania na tairi kipara inarushwa hivyo hivyo,mtu mweusi hajawahi kuwa serious na vitu muhimu.
Hii data umeitoa wapi? Boeing 777 ina uwezo wa kwenda 5+hrs with one engine.Inategemea ndege na ndege ila haiwezi zidi masaa 2
Ingekuwa sio salama asingerusha ile ndege.Hukuona ile ndege ya Air Tanzania na tairi kipara inarushwa hivyo hivyo,mtu mweusi hajawahi kuwa serious na vitu muhimu.
Relax wakuu, ndege hizi Zina engine mbili na engine moja ina uwezo wa kuifikisha ndege salama means to land safely, na hata engine zote zikizima pilot ana uwezo wa to land ndege as far as electronics ziwe zinafanya kazi(elewa kuna back up batteries zake).
Kudos kwa pilot wetu inajionyesha ni jinsi gani upo byeee,na kwa abiria na wafanyakazi wote ambao mlitulia vema ndani ya ndege, ni MUHIMU mno kusikiliza yale maagizo yanayotolewa kabla ya safari kuhusu emergency.
Wengi wetu huwa we don't pay any attention kwa kufikiria it will not happen to us! Usafiri wa ndege ndio salama kuliko wote duniani
Ingekuwa Boeing 737 tungekuwa tunaimba mapambio
Il pia ndiyo usafiri hatari sana kama tu ajari itatokea, dadeki hachomoki mtu, labda Mungu aingilieRelax wakuu, ndege hizi Zina engine mbili na engine moja ina uwezo wa kuifikisha ndege salama means to land safely, na hata engine zote zikizima pilot ana uwezo wa to land ndege as far as electronics ziwe zinafanya kazi(elewa kuna back up batteries zake).
Kudos kwa pilot wetu inajionyesha ni jinsi gani upo byeee,na kwa abiria na wafanyakazi wote ambao mlitulia vema ndani ya ndege, ni MUHIMU mno kusikiliza yale maagizo yanayotolewa kabla ya safari kuhusu emergency.
Wengi wetu huwa we don't pay any attention kwa kufikiria it will not happen to us! Usafiri wa ndege ndio salama kuliko wote duniani
Mkuu ni rahisi kuchukulia poa hiyo habari kama uko nje ya ndege, ila ukiwa ndani ya hiyo ndege then upewe hiyo habari lazima utapanic tuNi kweli mkuu injini moja ikizima huwa sio tatizo sana.
So long as iliyobakia inapiga kazi fresh.
Yes mkuu ila tambua ajali SIO kazi ya MUNGU it's someone fault,la muhimu ni kufuata miongozo iliyowekwa kwenye hizi mashine, elewa hata gari kama hulifanyii services according to the books litakusumbua tu,mfano kama waterpump ina lifespan ya 100,000kms,ni LAZIMA zikifikia hizo ondoa regardless what, but kudos kwa pilot's, Air hostess, abiria ,control towers staff's kwa kumudu to bring that plane to ground safely, welldoneIl pia ndiyo usafiri hatari sana kama tu ajari itatokea, dadeki hachomoki mtu, labda Mungu aingilie
Wanakuwa wamezizoea kama bodabodaHizi ndege ndogo nakumbuka niliwahi kukaa pale mbele na pilot, tulikua tunatokea Pemba, ndege ilikua imekwisha kabisa mafuta na ilikua inapiga alarm tukaruka mpaka unguja, hakujaza mafuta, tukaenda nayo mpaka uwanja wa Dar.
Siku hiyo ilikua tete maana jamaa alikua mbishi mno yeye alikua analazimisha kufika dar ndio ajaze mafuta.
Jinga sana yule jamaa.
Niliwahi kupanda hivyo vindege vidogo (coastal Aviation), yaani ni shida jinsi vinavyoyumba angani, wakati huo huo rubani yuko bize anaongea na simu tena simu hizi kma zetu na siyo simu za mawasiliano. Ndani ni kama kila mtu alikuwa anatumia simu bila tatizo lolote. Hizo ndege hata yale maelekezo ya usalama kabla ya ndege kupaa huwa hakuna, utajijua mwenyewe kwani sikuona hata zile boya za kizushiHizi ndege ndogo nakumbuka niliwahi kukaa pale mbele na pilot, tulikua tunatokea Pemba, ndege ilikua imekwisha kabisa mafuta na ilikua inapiga alarm tukaruka mpaka unguja, hakujaza mafuta, tukaenda nayo mpaka uwanja wa Dar.
Siku hiyo ilikua tete maana jamaa alikua mbishi mno yeye alikua analazimisha kufika dar ndio ajaze mafuta.
Jinga sana yule jamaa.