Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!

Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.

b827bb27-1d6b-4272-abc2-c94d84c96ba1.jpeg

Screenshot_2023-07-28-22-21-52-77_8a6ce7ef6b1c5341b022b20d7fbb4b6e.jpg
Screenshot_2023-07-28-22-23-14-93_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
IMG_20230729_104322.jpg

Chuma hiki hapa kimeonekana kimetua Oman jana hiyohiyo!
Screenshot (18).png


===

JamiiForums imefanyia kazi suala hili, soma: KWELI - Ndege ya Rais yaonekana Dubai leo Julai 28, 2023
 
Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!

Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Nawe una matatizo ya kichwa. Sasa ikionekana ndo nini? Lete nyuzi za maana siyo huu umbea.
 
Back
Top Bottom