Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
Chuma hiki hapa kimeonekana kimetua Oman jana hiyohiyo!
===
JamiiForums imefanyia kazi suala hili, soma: KWELI - Ndege ya Rais yaonekana Dubai leo Julai 28, 2023
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
Chuma hiki hapa kimeonekana kimetua Oman jana hiyohiyo!
===
JamiiForums imefanyia kazi suala hili, soma: KWELI - Ndege ya Rais yaonekana Dubai leo Julai 28, 2023