Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!

Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Tumepata wanunuzi wawili waarabu. Wa kwanza ni DPWorld ambao wametupa offer mbuzi tukaikataa. Wa pili ni MBS ambaye kafika bei nzuri. Ndiyo maana mchana tukaelekea Saudia kumkabidhi atupe mpunga wetu.
Serikali yenu tunafanya kila juhudi kuwaletea maendeleo.
Mpango unaofuata ni kuuza moja zile terrible teens B787-8 maana haina kazi.
 
Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!

Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Nitashukuru kama atakuwa ameenda kupiga magoti wabadilishe vipengele vya mkataba. ila inatia huruma sana kwamba Rais wa nchi ahangaike hivyo kwa mwekezaji, badala ya mwekezaji yeye aje hapa baada ya kuona malalamiko, rais wa nchi ndio anaenda.

Si mnaona tulichokuwa tunasema utumwa ndio huu sana, tumeanza kuhangaika kwenye mali zetu sisi wenyewe. mwarabu kakaa kimyaa anasubiri sisi twende tukapige goti na akiwekez ahapa tutamlinda na kumwabudu. natamani iwe kweli, aende kwa waarabu akaongee nao upya, wabadilishe vipengele vya mkataba, wawekeze mambo yaendelee.
 
Huyu Mama naye sasa amekuwa kiguu na njia, hatulii! Amalize miaka yake hii 2 iliyobaki apumzike!
Alizoea NGO, Nchi ni zaidi ya NGOs!
Ni kweli alisemaga mwenyewe kwenye mkutano wa UVCCM kuwa yeye alikuwa kwenye maNGO tu.
Sasa linchi likubwa kama Tanzania duh! Duh! Shuruti tuombe msaada arabuni watuwendeshehee
 
Mama kama kweli umeenda, waambie waarabu hatuwachukii, tunataka waje wawekeze, ila vipengele vya mkataba vibadilishwe. pili, waambie wakija kuwekeza hapa sisi hatutawaabudu, kwamba wao ni wawekezaji sisi ndio tujibembeleze kwa kujaza mafuta kwenda kuwapigia goti, wao ndio wanatakiwa kutupigia goti. yaani imefikia hatua hiyo kwamba sisi ndio tunawapigia magoti wawekezaji?

Ambao wakiwa hapa polisi ni wetu jeshi ni letu linawalinda? nilidhani wao watatupigia goti waje hapa wajadili mkataba ila mmeshaona kiburi chao, kwa hilo tu inaonyesha dp world sio mwekezaji mzuri kwetu. wapo wengine wengi tu, Oman aje, china aje hata wazungu waje ambao hatutakuwa tunawaabudu namna hii.
 
nitashukuru kama atakuwa ameenda kupiga magoti wabadilishe vipengele vya mkataba. ila inatia huruma sana kwamba Rais wa nchi ahangaike hivyo kwa mwekezaji, badala ya mwekezaji yeye aje hapa baada ya kuona malalamiko, rais wa nchi ndio anaenda. si mnaona tulichokuwa tunasema utumwa ndio huu sana, tumeanza kuhangaika kwenye mali zetu sisi wenyewe. mwarabu kakaa kimyaa anasubiri sisi twende tukapige goti na akiwekez ahapa tutamlinda na kumwabudu. natamani iwe kweli, aende kwa waarabu akaongee nao upya, wabadilishe vipengele vya mkataba, wawekeze mambo yaendelee.
Awateme tu mazima. Kama kesi tukapambane huko mahakamani
 
Awateme tu mazima. Kama kesi tukapambane huko mahakamani
na kama kuna mtu alimpotosha, mama ajipimbe, amshughulikie na kumweka naye mbali. wanamtesa tu mama wa watu, kwasababu ukimwangalia kwa makini unaona kama ana nia nzuri tu ila wanampotosha. hadi wanawake wenzie washageuka wanasema asiwaaibishe ili siku ingine mwanamke akitaka kugombea waseme huyu alionyesha mfano mbaya. hivi leo hii mwanamke anagombea urais unafikiri atapata? mama aonyeshe kwanini wanawake nao wanastahili uongozi, aonyeshe makeke yake sasa. fanya maamuzi magumu hadi wanaume tukuone.
 
Back
Top Bottom