Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Ujombani huko.
jambo hilo ndio liliaibisha sana nchi, kwenda Oman akasema ule utawala kuna mjombake mle, kama Rais, hakutakiwa kufanya vile, angefanya siri hadi urais wake uishe. pia, inawezekana alikuwa na nia njema tu kwamba Oman wawe karibu na Tanzania, tunajua Wazanzibar hata kama walimfukuza sultan wa MUoman, hadi kesho huwa wanaipenda oman ule utumwa bado upo vichwani. hilo angelificha na waarabu basi. sasaivi kila anachofanya watu watasema anafanya kwasababu ni wajomba zake. hata akiwa na nia njema.
 
Hakika FaizaFoxy ana harisha muda huu baada ya kugundua watanzania wamegundua siri ya mama yake kwenda kusaini mkataba mpya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ameenda kusain mkataba mpya? upi, na uletwe bungeni kama ni mpya. ule waliosaini tushauona, na huo utakaosainiwa tunatakiwa tuuone. kwenye hili chadema wamekamatiapo na hawaachii hadi kieleweke. akisaini ikawa kimya sisi tutajua mkataba uliopo ni ule uliosambaa. na ndicho wananchi wataambiwa.
 
Waarabu kama wana huruma aisee wamsaidie uyu mama kwenye huu mkataba, wamsamehe kwasababu imemkera sana na anashindwa afanyeje. inawezekana anajuta na kujilaumu lakini tayari ashaingizwa king,yeye ndo amebaki kujibembeleza na kuwapigia goti. ndio utumwa uo sasa. ni sawa na mtu anakuja kukukopa pesa, ukifika muda wa kulipa pesa ni ya kwako lakini unaenda kumwomba akusaidie kukulipa, yaani umegeuka mtumwa kwenye mali yako. ndio huu utumwa sasa. dp worl walikuja mikono nyuma, wametusainisha mkataba wakaenda zoa, tumepiga kelele wameziba masikio wanasubiri sisi ndio twende tukawapigie goti, hakika walitakiwa kufutwa kabisa kama fidia wacha tulipe itakuwa ndogo kidogo kuliko kuwa na watu kama hawa. wawekezaji kama hawa wanaweza kukutawala sana wakiwa nchini kwako na huna la kuwafanya, sometimes naona bora kuwafukuza tu.

hivi, uslaama wa taifa upo wapi? hawawezi kumshauri mama? pia, kinana na kikwete na wanajeshi wengine, hivi hawaoni sovereignity yetu imenyang'anywa na hawa waarabu, hawawezi kumshauri vizuri maza? kinana si alikuwa luten wa jesh kabisa huyu? haoni dp world walivyomonopolize nchi yetu hata kabla hawajaingia? au kwasababu hata yeye alionekana amepiga picha na wale waarabu wa loliondo kipindi kile?
 
Duh! Huu uzi nimeusoma dakika chache zilizopita mtoa mada aliweka na ushahidi wa screenshot ya flight rader24, narudi sasa hivi naona yeye sio original poster na ushahidi umefutwa post ya kwanza ni ya johnthebaptist!
 
Duh! Huu uzi nimeusoma dakika chache zilizopita mtoa mada aliweka na ushahidi wa screenshot ya flight rader24, narudi sasa hivi naona yeye sio original poster na ushahidi umefutwa post ya kwanza ni ya johnthebaptist!
Dalali wa mali za Tanganyika
IMG_20230728_235355.jpg
 
Back
Top Bottom