Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Mmemaliza? Mnataka kuufahamu ukweli?
1690599278897.png
 
Nitashukuru kama atakuwa ameenda kupiga magoti wabadilishe vipengele vya mkataba. ila inatia huruma sana kwamba Rais wa nchi ahangaike hivyo kwa mwekezaji, badala ya mwekezaji yeye aje hapa baada ya kuona malalamiko, rais wa nchi ndio anaenda.

Si mnaona tulichokuwa tunasema utumwa ndio huu sana, tumeanza kuhangaika kwenye mali zetu sisi wenyewe. mwarabu kakaa kimyaa anasubiri sisi twende tukapige goti na akiwekez ahapa tutamlinda na kumwabudu. natamani iwe kweli, aende kwa waarabu akaongee nao upya, wabadilishe vipengele vya mkataba, wawekeze mambo yaendelee.
Mwafrika ni Mwafrika tu....Hajawahi kujitambua 🚮🚮🚮
 
Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!

Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Hata alivyokwenda Kenya kwa kujificha kuna watu walisema ndege imeenda Kenya na baadhi ya picha kuonyeshwa, imekuja kuthibishwa baada ya alioenda kukutana nao kumuumbua. Sasa tena ametoroka kaenda bila taarifa tutayajua baada ya dili atakalosaini huko kubainika.
 
Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!

Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735

Haya mambo ya teklnolojia yaumbua watu, maana hamna sehemu ya kujificha.

Kama ni kweli mamlaka husika ituambie Rais alienda kufanya nini huko, au kama ni mjumbe waka alipewa kutumia hiyo ndege tujulishwe alienda kufanya nini. Wakinyamaza, basi tutasema ni mambo ya bandari tu.
 
Back
Top Bottom