TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Labda imekodiwa!!! Si inawezekana kukodiwa?Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda imekodiwa!!! Si inawezekana kukodiwa?Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
Kwani Bavicha ndio siasa zenu zimekomea hapo tuu!!!?Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Kumbe twaweza kuikodi.Ukweli ni mwepesi sana, ndege ya Rais si lazima ikisafiri isafiri na Rais.
Mkuu, watu hawana kazi......utasikia lolote humu kila dakika.Hv ni kweli au uzushi
Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
AMKENI.Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Kwa wajomba.Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Hii ndege kuna umuhimu wa kuifuatilia kila siku.
Maana tunaambiwa huwa anasafiri kinyemela.
Ulimwengu wa Technology CCM Utawaua walipo Tupo.Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Mkataba aliuficha ndani mwaka mzima unazani alikuwa hajui kuwa ni mkataba ni mbovu mkataba unapitishwa na bunge watu wanashauri mkataba ni mbovu rais anakuambia ameziba masikio kama kuu ccm wanakaa kikao wanakubaliana kulikokota hivyo hivyo gari bovutumwombee maza, pengine ameenda kuwaambia wabadilishe vipengele,ama la atawapiga chini awalipe fidia. mambo mema yanakuja bila shaka. kati ya watu wanaosikiliza na kufuatilia mitandao sa100 ni mmojawapo, na hapendi kabisa achafuliwe jina. basi tu kazungukwa na genge la ajabu ila yeye anaweza kuwa na nia njema sana.
Umeongea utopoloMLIPENDA RAIS ANAYEJIFUNGIA NDANI KAMA (TAHAYIRA) URAIS NI PAMOJA NA KUSAFIRI KWENDA KUONA ATAFANYAJE KULINYANYUA TAIFA,WANANCHI NA MEMA YA NCHI NDIO UTIMAMU KWA KIONGOZI,TANZANIA INA WATU WA HOVYO SANA NA WANAFIKI,NA WASIO NA UTU HATA KIDOGO!
Ndio maana yule Jamaa alikuwa anawatupa tu kwenye viroba!😁😁😁
Ungependa rais ajifungie Ndani,matokeo yake ni kukosa FEDHA na kuanza kupora FEDHA za wananchi.Umeongea utopolo
Ina kazi nyigi serikalini, huwezi kuikodi. Una tatizo, jisome:Kumbe twaweza kuikodi.