Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!

Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
1690604579500.png

Dubai gani tena, jamani???
 
Inawezekana amechota mzigo wa USD 100m zinazosikika wao kugaiwa kaenda kuzirejesha. Ndio maana kuna uaba wa dola mjini!
 
Hii ndege kuna umuhimu wa kuifuatilia kila siku.

Maana tunaambiwa huwa anasafiri kinyemela.

Nakumbuka ule uvumi kwamba raisi wa Tanzania alisafiri usiku wa manane kwenda China kumtoa mwanae aliyeshikwa kwa drugs niliona kama ni joke nikapuuzia lkn huyu raisi wa sasa ananifanya niamini mambo ambayo zamani sikuamini yanawezekana.
 
Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!

Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Ulimwengu wa Technology CCM Utawaua walipo Tupo.

Mambo Yako naked and this is JF
 
Kuna kila dalili/ishara serikali ya ccm imepunguza kukopa sana IMF na WB na sasa wanakopa sana UAE, na wansrudisha fadhila kwa kuwapa rasilimali za nchi
 
tumwombee maza, pengine ameenda kuwaambia wabadilishe vipengele,ama la atawapiga chini awalipe fidia. mambo mema yanakuja bila shaka. kati ya watu wanaosikiliza na kufuatilia mitandao sa100 ni mmojawapo, na hapendi kabisa achafuliwe jina. basi tu kazungukwa na genge la ajabu ila yeye anaweza kuwa na nia njema sana.
Mkataba aliuficha ndani mwaka mzima unazani alikuwa hajui kuwa ni mkataba ni mbovu mkataba unapitishwa na bunge watu wanashauri mkataba ni mbovu rais anakuambia ameziba masikio kama kuu ccm wanakaa kikao wanakubaliana kulikokota hivyo hivyo gari bovu
 
MLIPENDA RAIS ANAYEJIFUNGIA NDANI KAMA (TAHAYIRA) URAIS NI PAMOJA NA KUSAFIRI KWENDA KUONA ATAFANYAJE KULINYANYUA TAIFA,WANANCHI NA MEMA YA NCHI NDIO UTIMAMU KWA KIONGOZI,TANZANIA INA WATU WA HOVYO SANA NA WANAFIKI,NA WASIO NA UTU HATA KIDOGO!
Ndio maana yule Jamaa alikuwa anawatupa tu kwenye viroba!😁😁😁
Umeongea utopolo
 
Ameenda kuhani msiba wa mdogo wake mfale na pia kusalimia wajomba zake....
Nchi inaendeshwa kifamilia tulieni mnyolewe
 
Kumbe twaweza kuikodi.
Ina kazi nyigi serikalini, huwezi kuikodi. Una tatizo, jisome:

 
Back
Top Bottom