Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Una moyo wewe.
Yaani bado tu wasubiri majibu hapa.
Tushakwambia hapa utakesha hakuna jibu utalopata na hakuna unachoweza kufanya
 
Hakuna majibu hapa.
Majibu ya hoja zako anayo Padri Slaa, huku wajichosha tu.
Mana tokea umeanza kutaka hayo majibu ni zaidi ya mwezi sasa na wala hujishtukii....
Hoja kwa hoja au piga kimya
 
Rais wa nchi anakua nje ya mipaka yetu bila wananchi kujua,siku akigongwa na guta huko nje viongozi waliopo watawajibika kutuuleza imekuwaje.
 
Muuliza aliyesaini ,anasaini mkataba wa nchi kama hati ya ndoa ndo ujue huyu bibi ni kituko cha karne
Mbona unasahau kuwa mnatuambia kuwa muungano ni Kama ndoa ? Hii ndoa ya jinsia moja ina vituko vyake , mume hugeuka mke na mke hugeuka mume , ni kugeuzana tu, ndivyo muungano ulipofika, Mama anaupiga mwingi usimlaumu bure, mliyataka wenyewe na Baba wa Taifa wenu Laanatullahi Nyerere, Sasa mtulie ni zamu yenu kugeuzwa Bibi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…