Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Kaitwa kuulizwa ni nini kinaendelea kwenye huu mkoa mpya wa waarabu. DP World wanamwona Rais wetu kama mkuu wa wilaya yao waliyojinunulia.
Wasije mlewesha tu maana waarabu hawakawii kumlewesha mtu kwa vidonge au p9mbe kwenye chupa ya maji au soda. Hakuna walevi kama waarabu duniani.

Afadhali waarabu wa Misri wanalewa kwa Chai flani nyekundu, hadi wakuta wanarembuaaaa
 
Kinachochekesha ukipita humu utafikiri Tanzania yote ndo inaongea hivi, kumbe huku mtaani raia hata hawana habari hivi vistori vya kizushi vya hawa 'overgrown babies' wa jf
Chazo ya yote haya ni bandari ,wananchi awareness yao juu ya mkataba Wa bandari imekuwa juu sana na ndio maana President yupo kwenye rada ya macho ya wananchi kwa sasa ,mostly anapoenda nchi hizo za waarabu, watu wanachokonoa kutaka kujua nini kimempemleka huko,na kama ujuavyo wabongo kwa habari usokonoko ndio mahali pake,unaweza Fanya jambo ni siri kumbe watu wana data zote A to Z
 
Ila namuonea huruma mama, naamini yeye binafsi anania njema sana, ila kuna makanjunju ndo wanamuingiza chaka.
 
Hvi ile issue ya. Potta port ya wale wadada walokuwa wanaenda saudi arabia kulishwa hela na kufanyishwa ngono na wanyama kama vile mbwa , imeishia wapi wajuba ???
 
Ndege ni Chombo cha usafiri. Siyo lazima mmiliki au mtumiaji awe pale chombo hicho kilipo mara zote.
Hii ndege iliwahi kwenda kuchukua juice ya mitishamba Madagascar enzi zile za corona kali.
Yawezekana imepeleka ujumbe maalum au nyaraka za kiserikali.
 
Ndege ni Chombo cha usafiri. Siyo lazima mmiliki au mtumiaji awe pale chombo hicho kilipo mara zote.
Hii ndege iliwahi kwenda kuchukua juice ya mitishamba Madagascar enzi zile za corona kali.
Yawezekana imepeleka ujumbe maalum au nyaraka za kiserikali.
Nakubaliana nawewe! Ila unajua maana ya hapo nilipoelekeaa mshare?
IMG_20230730_000916.jpg
 
Msigwa alitakiwa atujulishe hili mapema sio siri ikitoka ndio anatoa ufafanuzi
Siku hizi naona Rais anasafiri kimya kimya, kuna siku litawatokea la kutokea. Hivi akipata ajali huko aliko watalijulishaje Taifa wakati walificha? Au ikatokea akaaga dunia ghafla akiwa huko watatuambia nini?
Rais ni wa wananchi. Hivyo lazima mambo yote yawekwe wazi. Subirini ipo siku watu wataaibika!
 
Siku hizi naona Rais anasafiri kimya kimya, kuna siku litawatokea la kutokea. Hivi akipata ajali huko aliko watalijulishaje Taifa wakati walificha? Au ikatokea akaaga dunia ghafla akiwa huko watatuambia nini?
Rais ni wa wananchi. Hivyo lazima mambo yote yawekwe wazi. Subirini ipo siku watu wataaibika!
Kwani ulimchaguwa wewe ?
 
Wasije mlewesha tu maana waarabu hawakawii kumlewesha mtu kwa vidonge au p9mbe kwenye chupa ya maji au soda. Hakuna walevi kama waarabu duniani.

Afadhali waarabu wa Misri wanalewa kwa Chai flani nyekundu, hadi wakuta wanarembuaaaa
Kumbe waalabu walikulewesha wewe ?? Aisifuye mvua imemnyea
 
Ungependa rais ajifungie Ndani,matokeo yake ni kukosa FEDHA na kuanza kupora FEDHA za wananc

Ungependa rais ajifungie Ndani,matokeo yake ni kukosa FEDHA na kuanza kupora FEDHA za wananchi.
Rais unapokua cheap inafika muda watu wanakudharau .
Hebu vuta picha rais anatoka nchini kwake kwenda kutatua mgogoro nchi jirani Cha ajabu rais mwenyeji hataki aonane nae . Safi Sana Ruto 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
 
Rais unapokua cheap inafika muda watu wanakudharau .
Hebu vuta picha rais anatoka nchini kwake kwenda kutatua mgogoro nchi jirani Cha ajabu rais mwenyeji hataki aonane nae . Safi Sana Ruto 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Rais hakuwa amekwenda Kenya!,elewa rais hawezi kwenda pahala bila strategy na protocol kukamilika.
 
Rais hakuwa amekwenda Kenya!,elewa rais hawezi kwenda pahala bila strategy na protocol kukamilika.
Kwa hiyo tukuamini wewe kuliko Raila Odinga ?
Yeye mwenyew amethibitisha kuwa Samia kakaa 🇰🇪🇰🇪 siku mbili huku Ruto akiwa hana time nae .
Rais cheap mpaka ananywesha watu juice 🤣🤣
images (13).jpeg
 
Back
Top Bottom