Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Sema nyie kenge mnakera hamna jema kazi umbea na unafki tuh
Fursa zinatoka kila uchwao nyie mnakalia umbea hata habari muhimu kama ya serikali kufadhili vijana kwenye ufundi na kujiajir hamjui wala hamtak kujua kazi ni umbea ambao hauna faida
Fursa zinatoka kila cku nyie badala mzitangaze watu wazifate kazi yenu kutembea na kiki za wanasiasa
 
Sema nyie kenge mnakera hamna jema kazi umbea na unafki tuh
Fursa zinatoka kila uchwao nyie mnakalia umbea hata habari muhimu kama ya serikali kufadhili vijana kwenye ufundi na kujiajir hamjui wala hamtak kujua kazi ni umbea ambao hauna faida
Fursa zinatoka kila cku nyie badala mzitangaze watu wazifate kazi yenu kutembea na kiki za wanasiasa
Fursa zipi hizo au unamaanisha Ile ya Bashe kuwachukua uvccm mijini kuwapeleka vijijini mashambani kufanya mapinduzi sekta ya kilimo?
 
Ina kazi nyigi serikalini, huwezi kuikodi. Una tatizo, jisome:

Unalo hili, Mkuu. Maana hata kwa "jiki" limegoma. Kazi iendelee! Ha ha haaaa!
 
Arudishe pesa na atupishe....jeshi limegoma pia ....ameita wastaafu ndio wana hasira zaidi hawataki tuchezee rasilimali za nchi kipuuzi hivyo
 
Wewe ni mpumbavu km unafikiria huo ujinga

Raslimali zetu halafu akapige nagoti


Ukiona hivyo ujue Rais ni fisadi
nina uhakika haujasoma kabisa nilichoandika, au hata kama umesoma haujaelewa. ni idiom ambayo mwenye akili tu ndio ameelewa. shida yako una hasira na maisha na haufai hata kwenye mijadala hii. jitahidi uondoe kinyesi kichwani huko.
 
Mkataba aliuficha ndani mwaka mzima unazani alikuwa hajui kuwa ni mkataba ni mbovu mkataba unapitishwa na bunge watu wanashauri mkataba ni mbovu rais anakuambia ameziba masikio kama kuu ccm wanakaa kikao wanakubaliana kulikokota hivyo hivyo gari bovu
tunatofautiana sana uelewa, hasa hayo mambo ya sheria, unaweza kuta hakuwa anaelewa na amejua amelikoroga. katu watanganyika hawatakuja kumsamehe kwenye hii issue, yeye na watoto wake.
 
Mwafrika ni Mwafrika tu....Hajawahi kujitambua 🚮🚮🚮
wewe ndio takataka kabisa. kitu usichojua ni kwamba, tayari tumeingia kwenye nyavu, mwarabu anasubiri tuvunje mkataba atupeleke mahakamani tukalipe mamia ya mabilioni, viongozi wetu walilikoroga, wananchi tukacharuka, kilichobaki sio kati yetu sisi na mwarabu, ni kati ya viongozi wetu na mwarabu. ukienda kwa mwarabu na ulishatia saini yeye akapoteza fursa sehemu zingine ambako alitaka kuwekeza na wewe unaleta za kuleta kwamba unavunja makubaliano, lazima umlipe fidia ya yale ambayo ameshindwa kuyafanya akitegemea mlichokubaliana kwenye mkataba ambao unataka kuuvunja. Mahakamani na maeneo mengine yoote yanayoingiwa kimkataba, huwa kuna namna mbili, ya kwanza kupambana, ya pili kukaa chini na kupatana kwa kubadilisha terms ili pande zote mbili zifaidike. kilichobaki hapa kabla hatujapelekwa mahakamani ni kukaa naye chini tumwambie tulisaini bila kuelewa wananchi wamecharuka, tunaomba badilisha kifungu hiki na hiki na kile ili uendelee, la sivyo tutauvunja. ninasema tunapiga goti kwasababu maadam tulitia saini tangu mwaka jana, yeye akaahirisha biashara maeneo mengine akitegemea kwetu, halazimiki kukubali tutakachomwambia, ana hiari akatae ili tuje tumlipe fidia au atuhurumie na akubaliane na ombi letu. nasema ombi letu kwasababu tulishaingia king.

ni sawa na upo vitani, hata kama ni kwenye nchi yako, umepiga adui sana alafu ukakamatwa mateka, kuna option mbili tu, aidha upige goti wakusamehe, au uwaambie wakupe tu adhabu yao. najua wewe hauna akili ndio maana hukuelewa nilichokiandika, na inawezekana usijepata akili maisha yako yote.
 
Kama wangepanda ndege na kuja tz hapo sawa lkn umewafuata kwao hiyo sahau mkuu.
basi kama wakikataa, hilo sisi halituhusu, watajuana na viongozi walioingia, sisi tutashinikiza mkataba uvunjwe, na kama hautavunjwa wajue hao viongozi waliowakubalia hawataishi milele na hawatatawala milele, kuna siku watajikuta wapo mikononi mwetu. na sisi ndio tunatakiwa kuwalinda kuanzia wanapoishi, magari yao, n akila walicho nacho. tukiamua kuwafanyia figisu hawawezi kutushinda.
 
Kinachoshangaza kwanini akae kimya kwenye jambo kubwa kama hili, badala yake wasaidizi wake kila mtu ana jibu lake, tatizo ni nini hasa.
mimi namwona amefanya la maana kukaa kimya. amekaa kimya kwasababu hana hoja. sisiemu hawajajibu hoja za msingi hata moja, kidogo kinana alijaribu kuongea kwa akili, ila wengine hadi sasahivi hawajui kinachoendelea wanaona kama chadema wanapinga maendeleo. mambumbumbu hawaujui mkataba na hawajui kilichotokea. ndio maana utakuta spika anasema ni mkataba, mmbunge na waziri wanasema sio mkataba ni makubaliano, kila mtu anasema la kwake, na wanabishana wao kwa wao sasa, wengine mkataba wengine makubaliano. akili kisoda.
 
Fursa zipi hizo au unamaanisha Ile ya Bashe kuwachukua uvccm mijini kuwapeleka vijijini mashambani kufanya mapinduzi sekta ya kilimo?

Umeona xx? Mkuu ndio maana nakuambia kuna nafasi na fursa kibao serikali inatoa ila kila nikiingia humu nakuta mambo ambayo hayana faida kwa kijana wa ktz
 
wewe ndio takataka kabisa. kitu usichojua ni kwamba, tayari tumeingia kwenye nyavu, mwarabu anasubiri tuvunje mkataba atupeleke mahakamani tukalipe mamia ya mabilioni, viongozi wetu walilikoroga, wananchi tukacharuka, kilichobaki sio kati yetu sisi na mwarabu, ni kati ya viongozi wetu na mwarabu. ukienda kwa mwarabu na ulishatia saini yeye akapoteza fursa sehemu zingine ambako alitaka kuwekeza na wewe unaleta za kuleta kwamba unavunja makubaliano, lazima umlipe fidia ya yale ambayo ameshindwa kuyafanya akitegemea mlichokubaliana kwenye mkataba ambao unataka kuuvunja. Mahakamani na maeneo mengine yoote yanayoingiwa kimkataba, huwa kuna namna mbili, ya kwanza kupambana, ya pili kukaa chini na kupatana kwa kubadilisha terms ili pande zote mbili zifaidike. kilichobaki hapa kabla hatujapelekwa mahakamani ni kukaa naye chini tumwambie tulisaini bila kuelewa wananchi wamecharuka, tunaomba badilisha kifungu hiki na hiki na kile ili uendelee, la sivyo tutauvunja. ninasema tunapiga goti kwasababu maadam tulitia saini tangu mwaka jana, yeye akaahirisha biashara maeneo mengine akitegemea kwetu, halazimiki kukubali tutakachomwambia, ana hiari akatae ili tuje tumlipe fidia au atuhurumie na akubaliane na ombi letu. nasema ombi letu kwasababu tulishaingia king.

ni sawa na upo vitani, hata kama ni kwenye nchi yako, umepiga adui sana alafu ukakamatwa mateka, kuna option mbili tu, aidha upige goti wakusamehe, au uwaambie wakupe tu adhabu yao. najua wewe hauna akili ndio maana hukuelewa nilichokiandika, na inawezekana usijepata akili maisha yako yote.

[emoji706][emoji706]
 
Back
Top Bottom