Ndege ya Rais yawasili tena Dubai ikitokea Dar es Salaam usiku huu! Kunani Dubai?

Aibu tu...
Na ataipata fresh!!
Hivi huwa vinawafariji wenyewe vikauli kama hivi ee?!!!

Mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, yuko fresh na kama anatoka basi kwa ajili ya mipango yake tu mingine ya kimaendeleo kwa nchi yake na raia wake na wala siyo hivi vikelele vya kisungo vya hawa nyumbu a.k.a majuha......she's too busy to waste her valuable time kwa nyumbu ndo maana anatulia tu, anawachora tu.
 
Ananegotiate mkataba. Period
 
Kikubwa tulielewa wewe kama ulimezeshwa mazaga uyatumie vile vile utajiju. Elimu za kukaririshwa. Hubadilishi hata kwa kujiongeza
 
Wooooooooooooooooooooooooote tusaidiane kuinusuru Tanganyika, nasema woooooooooooooooote wa Tanganyika.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanachekesha kweli hawa!!!!! Wanazidi kujidhalilisha.......kumbe mama mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, ni lidude likuubwa mno kwao.
Acha kumjaza maujinga
Pangu Pakavu tia Mchuzi
Amani yake ni Bora Kwa Sasa kuliko huo Uraisi wenu
Muda wake wa kulitumikia Taifa ulishapita wakati ule wa Ngos
Lini ata enjoy na wajukuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…