Wacha maneno yako haya. Siyo mazuri hata kidogo.Balaa gani? Wafe tu
Sema huyu mwamba anajaribu kutoa signal ila wabongo tunapenda thread za kufakamia potassium permanganate (kmno4)
Duh...!. haya mambo ya maximum transparency haya, mtu hata kwenda vakesheni tuu ujombani, kila mtu lazima ajue!. Mambo gani haya sasa?.Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
I see!!Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
Kwamba kuna ugomvi mwingine Mungu anataka kuamua?Dr. Mpango anaongea kwa kujiamini sana siku mbili tatu hizi kama mtu anayetegemea kuokota dodo chini ya muarobaini
Dr. Mpango anaongea kwa kujiamini sana siku mbili tatu hizi kama mtu anayetegemea kuokota dodo chini ya muarobaini
Wakipandisha bei wakulima wanaolalamika wa mjini na kutoa malalamiko kwa rais tz hamna jemaHizi habari zina mambo ndani yake.
Wakafanye nini?Angekuwa na busara, huko Dubai angeambatana na akina Lissu, Mwabukusi, Madeleka, nk.
Ujinga, watu wale wale waliomfikisha hapa ndio hao hao unakuta kaambatana nao.
Wewe ni mwana TANU?Cheo ni dhamana sitatumia cheo changu kwa faida yangu ...
Ile gulfstream ni ndege nzuri sana kama private jet. Kikwete alikuwa anapiga nayo safari za mbali kutoka Tanzania hadi New Zealand non-stop, kesho yake mke wake anakwenda Brazil nonstop. Kumbuka Mramba alisema angalau watanzania wale nyasi ile Gulfstream inunuliwe! Tatizo ni kwamba Tangu Magufuli alipoleta maboeing, mairbus na mabombadier ndipo ikaonekana kuwa haitoshi. Mwanzoni mwa utawala wake Mama Samia alikuwa kama amejimilikisha Airbus moja ambayo alikuwa anatumia kwa safari zote hata za ndani.Wampe hata kandege kazuri basi…
TANU YOUTH LEAGUEWewe ni mwana TANU?
Ile gulfstream ni ndege nzuri sana kama private jet. Kikwete alikuwa anapiga nayo safari za mbali kutoka Tanzania hadi New Zealand non-stop, kesho yake mke wake anakwenda Brazil nonstop. Kumbuka Mramba alisema angalau watanzania wale nyasi ile Gulfstream inunuliwe! Tatizo ni kwamba Tangu Magufuli alipoleta maboeing, mairbusa na mabombadire ndipo ikaonekana kuwa haitoshi. Mwanzoni mwa utawala wake Mama Samia alikuwa kama amejimilikisha Airbus moja ambayo alikuwa anatumia kwa safari zote hata za ndani.
Nyie ni kama bundi mara mseme Iko Saudia siku ya 8 Sasa mara Iko Oman mara saizi mnasema Iko Dubai yaani ni upuuzi tuu.Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
Maana najua hiyo moja ya ahadi za mwana TANU, sina hakika kama walamba asali wa fisiemu wamei adapt hii ahadi ya mwana TANU.TANU YOUTH LEAGUE