Ndege ya Tanzania (ATCL) iliyokuwa ikishikiliwa nchini Uholanzi imeachiwa na kurejea nchini

Wao wanashitaki tu kwa uelewa hatuna hao watetezi tukienda huko tunaliwa vichwa tu; mwekezaji anabeba mi dollar yake kirahisi.
Nchi hii ukipata nafasi na wewe piga tu
 
Fupa hili?
Sideshow?

Ngoja nisubiri Bandari yetu, iliyopo hapa hapa kwetu....Irudishwe
 
Kwa hiyo tumewalipa hizo 165 million dollars?.
Mama hana uchungu na pesa zetu hata ww ukiamua kulishika lishangingi kwa kutopata increment waweza kulipwa ,saa100 kwa kutawanya kodi zetu ninamvulia kofia
 
Comment bora kabisa

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwa nini hili DUBUWASHA tusiliDWP sijuiDPW kwa waHolanzi?
 
Wamevuna kirahisi tu 160m usd saa100 anazitoa tu kama karanga
 
Mama hana uchungu na pesa zetu hata ww ukiamua kulishika lishangingi kwa kutopata increment waweza kulipwa ,saa100 kwa kutawanya kodi zetu ninamvulia kofia
Ni Raisi gani wa CCM alikuwa na uchungu na pesa zetu?
 
Hatakama amewekeza sailingi 100usd
Umeliona hilo shamba lenyewe kajenga ki airstrip uchwara na hakuna machine zozote.

Isitoshe serikali imechukua ardhi tu; kwa ivyo fidia yake ni potential loss of income ya mavuno.

But then kwa zaidi ya miaka 15 hakukuwa na shughuli za kilimo mpaka wananchi wakavamia, kuleta mgogoro na shamba kutaifishwa kwa sababu ya abandonment.

Halafu anatoka hapo anaenda kushitaki kwa kutumia BIT ya Tanzania na Italy; mkulima mwenyewe katokea Australia or wherever ambako hatuna business treaty nao; kwa hivyo ni kesi ya Tanzania.

Kwa kifupi ni sakata la ovyo mnoooo; kulipa mamillioni kama nchi ingekuwa na wanasheria wazuri.
 
Chama cha Wazandiki hakiwezi kueleza nini kilitokea. Hata anayesema siku chache zilizopita niliwaekeza, aliwaeleza kina Nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…