Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

😂
Hii tabia imeanza lini..??
Huyu mrangazsji w TBC kaenda kukitangaza zaidi yeye ylkuliko kuonyesha tukio la ndege kuwasili na watalii anauza sura yake tu
 
CCM ni waongo sana
 
Ndege ya kwanza tena wakati tulishatangaziwa ndege nyingine ya kwanza?[emoji44][emoji44][emoji44]
 
Sina ndugu,rafiki wala jirani ambaye amaekufa kwa corona hata kuona mpita njia kaanguka bado,pia nimeuliza ndugu jamaa na marafiki zaidi ya 9,nao pia hawajaona,sasa hebu nipe sababu ya kupendekeza lockdown?
Maskini mahiga!
 
TBC mumeniangusha Hilo tukio lilikuwa la kuonyesha ujio.wa ndege na watalii au wa kuonesha sura ya mtanagazaji mukama?

Ndege hamjaionyesha vizuri Wala watalii mumekomalia kuonyesha sura ya mtanagazaji tu

Huyo camera man wenu pia yuko hovyo alitakiwa kamera aelekeze kule iliko ndege watu waone vizuri tukio la ndege kuwasili,ilivypmwagiwa maji na wTalii walivyokuwa wakishuka no
Yaani tukio la kupokea ndege mumegeuza la kumuonyesha mtangazaji wenu

Sisi tulikuwa tunataka kuangalia tulip mzima la ujaji ndege na watalii sio kumwangalia mtangazaji wenu yeye hakutakiwa kuwa main character .main character ilitakiwa kuwa hiyo ndege na watalii na camera zilitakiwa kuelekezwa kule

Rudieni kuangalia hiyo.clip muone mulivyovurunda
 
Kwa ivyo ukiniuliza kitu ambacho sijakielizea natakiwa nikujibu nini? Si useme ulivyoolewa wewe kwanza.
Mbona unazunguka sana!! Si ueleze tu ulichomaanisha aya ya mwisho.Au umeandika usichoelewa
 
Mbona unazunguka sana!! Si ueleze tu ulichomaanisha aya ya mwisho.Au umeandika usichoelewa
Niogope nini sasa? Ushawai kuona post yangu ata siku moja inayoshabikia mtu kuonewa wa chama chohote, kushabikia madhara ya kitaifa ambayo yanamwathiri mtu maskini zaidi, kupinga kujudi za maendeleo; etc with responsible politics.

Kilichopo ni upuuzi kichwani kwako tu let’s assume nimesema nchi iwekewe sanction so what?
 
Unaomba msamaha kimtindo! Wazazi wanaingiaje kwenye hoja hii? Wewe wazazi wako ulishawaambia jinsi unavyowakosea wazazi wa wenzako adabu? Kawaeleze Leo kuwa Kuna mzee yupo jf nimemkosea Sana leo kwa kuponzwa na vijisenti vya bando ninavyolipwa na polepole baada ya kuwajibu shit baadhi ya watu!
Vyeo havitafutwi kwa kuwatukana wengine na kujipendekeza Bali kwa maarifa na akili! Wapi musiba????? Uwe na nidhamu!
 
Kwa hyo ile iliyorushwa kama siku 10 zilizopita ni kweli ilikuwa uongo?
 
Yaani Hii serikali ni full propaganda.. mbwembwe zoteeee za ngoma za nini utadhani ndio ndege ya kwanza kuwahi kutua ardhi ya tz
 
Yaani Hii serikali ni full propaganda.. mbwembwe zoteeee za ngoma za nini utadhani ndio ndege ya kwanza kuwahi kutua ardhi ya tz
Walivyofika bila kuwekwa live mlisema why haikuwa live..imewekwa live mnauliza why imewekwa live..CHADEMA mnashinda sana
 
Hii nchi ya washamba Sana ndege imeleta abiria ndo watalii kwaio kila ndege itakayotua now ni watalii ? Ccm mnatia aibu Sana awamu hii
 
Nonsense
 
I can see you're beating around the bush now! Enjoy ur day!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…