Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Tutakazana sana kuwaaminisha wazungu kwamba tumejipanga kuwalinda dhidi ya corona na hapo ndipo serikali itakapoona umuhimu wa kuwa na takwimu sahihi za corona na kuchukulia mambo kisayansi zaidi kwani hata kama nchi ni ya kwetu ukweli ni kwamba tunashirikiana na watu wengine kutoka mbali na wanapenda kufanya mambo kisayansi.
 
Mmh an interesting comment...ni kielelezo Cha uelewa wako wa kiwango Cha chini kabisa...ni nani aliyetukana hapa ...hoja yangu ya Kwanza lilikuwa ni swali...kwamba wewe unatakaje...majibu yako yalikuwa ni matusi makubwa..hoja yangu kwa matusi hayo ilikuwa ni kwamba je unaweza ukawaambia wazazi wako ulichoandika hapo...majibu yako ndiyo yanaonyesha pia kiwango Cha chini kabisa Cha uelewa na ni mtu mwenye mtindio wa ubongo ndiye anayeweza kurespond vile..Mara Sijui polepole Mara vijisenti vya bando Mara Sijui kutafuta vyeo..Mara Sijui kuomba msamaha...hivi unaweza kuomba msamaha kwa mwendawazimu? Sidhani..unapata taabu Sana...kwa andiko lako wewe ni mtu uliyeshindikana...huwezi kuelewa chochote zaidi ya matusi...unachukulia JF Kama kichaka Cha kujificha....lakini there is no hiding place in this world...
 


Ndege ya shirika la Ndege la Ethiopian Airline imetua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ikitokea Dubai ikiwa imepita takribani miezi mitatu tangu zilipositishwa safari za ndege kuoka nje ya nchi kutokana na tahadhari ya maambukizi mapya ya virusi vya Corona.

Majira ya saa 11:00 za jioni katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Lilimanjaro (KIA) , Clouds 360 imeshuhudia ndege hiyo iliyobeba watalii ikiwasili katika uwanja huo na kulakiwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamisi Kigwangala aliyekuwa ameongozana na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto, Dkt. Godwin Molel .
 
Sisi wengine na ambao tuko wengi JPM ametupeleka miaka 10 mbele
 
Tanzania imebadirika.. vijana wanachapa kazi.
Leo wakati dunia bado haijaamka kuna watalio wawili ambao wanaonekana kwenye picha wamepokelewa na waziri wa utalii.

Hii ji heshima kubwa sana kwa watalii wetu.. na waziri kingwangala ameonyesha kwamba yeye ni mtu wa kazi na si mtu wa cheo na kuletewa chai ofisini.


Big up bro.
 

Attachments

  • IMG_20200602_204840.jpeg
    51 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…