Una uhakikaHuyo mnafiki alisema hayo huku akiwa anaweka watu wabovu iliaonekane alikua wamuhimu sana ila ukweli utabaki palepale yeye ndiye aliye yasababisha yote haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakikaHuyo mnafiki alisema hayo huku akiwa anaweka watu wabovu iliaonekane alikua wamuhimu sana ila ukweli utabaki palepale yeye ndiye aliye yasababisha yote haya
Wamekuwa kunguni sio chawa tenaYan sasa hivi hata ukilalamika jua Kali
Wanakwambia mama Samia she is working on it
Huna akili weweNdege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!
*********** **************
Update
Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836
Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Mbona almost precision air zote hazina transponder, inaweza kuwa ni old airplane au vile vidogo ambavo havina transponder
Swali lilikuwa ni kwa nini ilizima transponder.Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.
Hata kama hujui kusoma picha sindio hili jamani au? [emoji848]Una uhakika
Chukua remote uiwashe.Aisee! Na Wameamua kuzima transponder sasa.
Halafu kuna watu eti wanajiita ulipo tupoYetu macho
Wabongo wote sisi ni mazuzu .Sema ukoo wako ndio mazuzu
Hongera umejitambua kuwa una cheo cha uzuzu
Umewahi kufika Geita?? Kuna sehemu watu wanaokota dhahabu kama zile chupa za plastic za Dar!!Kuliko sikonge ambayo wilaya nzima ipo juu ya dhahabu!?..selous Kuna madini gani?!
lakini hayaoniYetu macho
Sio ndege zoteNdege haina transponder? Man it doesnt work that way. Regulation zina recommend ndege kuwa na transponder full time
Hiv kilichotokea Niger hakiwezi tokea hapa?Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!
*********** **************
Update
Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836
Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Acha kudanganywaUmewahi kufika Geita?? Kuna sehemu watu wanaokota dhahabu kama zile chupa za plastic za Dar!!