DOKEZO Ndege za Dubai zinaendelea kutua Serengeti! Tunaibiwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Iko Twitter
Acha kujitoa ufahamu
Nchi inaibiwa kuliko unavyojua
Madini wanyama imegeuka mali ya wachache
Msikomaze shingo
Katiba Mpya muhimu tufunge wezi
Hapa Jf labda kama unajizima data tunataka habari yenye ukamilifu si kivideo uchwara uje uteke akili za watu, tupia mzigo mzima tuone wizi wenyewe. Kumbe unataka katiba mpya ili uwafunge watu na si kwa hatma ya nchi yako kwa baadae , tambua pia nahitaji katiba mpya ili nchi iweze kusonga mbele kwa vizazi na vizazi.
 
Mkuu,kuna watu wamekaririshwa mambo miaka nenda rudi na wameshindwa kujitoa kwenye hiyo fixed mind mentality,miaka yote mawazo yao ni hayo hayo tu,sijui tunaibiwa Simba,mara tunakuja kutawaliwa tena,Dunia inaenda mbele ila wao mawazo yao yapo pale pale!
 
Mbona anachunga ng'ombe hapo, public access ipi unaizungumzia?.
 
Tangu lini hayo mafuta ilikuwa tabu kuyaingiza? wakati wa corona mafuta yaliyotuokoa kureplace ya alizeti wakati wa uhaba mkali si yalitoka uturuki? au 2020 rais alikuwa anapendelea waarabu pia?.
 
Reactions: Tui
Ni muhimu sasa, katika "Katiba Mpya," kama itatengenezwa, pawepo na vifungu vya kuwawajibisha viongozi wahujumu wa nchi hata wakishamaliza muda wao wa uongozi.

Brazil na kwingineko haya yanawezekana, kwa nini yasiwezekane hapa.
 
Maasai walituma ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti

View attachment 2473424
Raisi wenu Mama Samia si ndio ameruhusu Wanyama Wauzwe ?Alivyokwenda Uarabuni kwenye Ziara yake si aliwaambia Waarabu wanaotaka wanyama waje kuwachukuwa. Mpaka mwaka 2030 Tanzania kutakuwa hakuna tena Wanyama Twiga Tembo ,Vifaru Simba, Chui na Chita wote watakuwa hakuna nchini Tanzania. Watalii hawata kuja Tanzania kutembelea mbuga za Wanyama. Kiongozi wetu mpendwa RIP Rais Magufuli aliwahi kutabiri haya hapo unayo yaona.



Your browser is not able to display this video.
 
 

Attachments

  • 1673188406482.png
    34.9 KB · Views: 1
kuna mpango kamambe wa kuunganisha shoroba zilizopo jirani na Ngorongoro ili kuweka utalii sehemu salama kwa maslahi yetu sio ya mtu binafsi so hao walikuja na ndege kuangalia mshoroba huo Maasai hakujua maskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…