DOKEZO Ndege za Dubai zinaendelea kutua Serengeti! Tunaibiwa

DOKEZO Ndege za Dubai zinaendelea kutua Serengeti! Tunaibiwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Iko Twitter
Acha kujitoa ufahamu
Nchi inaibiwa kuliko unavyojua
Madini wanyama imegeuka mali ya wachache
Msikomaze shingo
Katiba Mpya muhimu tufunge wezi
Kaka hayo mambo hayawezekani miaka hii ya sasa, nchi inamulikwa na rada kwa ukamilifu.
 
Hata kama ni Mmasai wa Kenya! Wanyama hawatoroshwi kwenda nje? Na hasa huko Uarabuni?
Wewe endelea kunyweshwa maji machafu na hizo siasa zenu za majitaka. Bila shaka wewe ulikuwa mmoja wa watu walioamini kuwa Lowasa ni fisadi namba 1 nchi hii, na baadae ukabadilishiwa kibao kuwa sio fisadi na wewe ukaamini kuwa sio fisadi, kwa sababu wewe ni mzee wa kukubali kila propaganda inayoletwa humu dhidi ya serikali au kiongozi wa serikali bila kujali kuwa propaganda zenyewe ni za kweli au sio za kweli.

Sasa mimi nipo tofauti, sio rahisi mtu kunilisha matango pori kizembe zembe bila kuwa na fact za kunifanya niamini.
Jamaa kaweka video yenye pori na kwa mbali kuna ndege. Sasa ni kitu gani kinachoweza kunifanya mimi niamini kuwa hilo pori ni la Tanzania?

1) Kama ni video iliyo recordiwa Kenya na kuwekwa mitandaoni makusudi ili lengo la wale wamasai wa Kenya la kuichafua serikali yetu liweze kutimia?

2) Anasema hilo eneo ni la siri akimaanisha hakuna raia wa kawaida anaeruhusiwa kufika, ila cha kushangaza yeye yupo eneo hilo anachukua video na anapata hadi nafasi ya kuingiza sauti yake.

3) Ndege anayodai inabeba wanyama ukiiangalia vizuri utaona ni ya kawaida sana, sawa na zile ndege za kukodi ambazo watalii au watu wa kawaida huzunguka nazo mahali popote ikiwemo mbugani kuangalia wanyama kwa juu.

Kifupi jamaa kaleta propaganda mfu ambazo haziwezi kumsaidia yeye wala waliomtuma.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Wewe endelea kunyweshwa maji machafu na hizo siasa zenu za majitaka. Bila shaka wewe ulikuwa mmoja wa watu walioamini kuwa Lowasa ni fisadi namba 1 nchi hii, na baadae ukabadilishiwa kibao kuwa sio fisadi na wewe ukaamini kuwa sio fisadi, kwa sababu wewe ni mzee wa kukubali kila propaganda inayoletwa humu dhidi ya serikali au kiongozi wa serikali bila kujali kuwa propaganda zenyewe ni za kweli au sio za kweli.

Sasa mimi nipo tofauti, sio rahisi mtu kunilisha matango pori kizembe zembe bila kuwa na fact za kunifanya niamini.
Jamaa kaweka video yenye pori na kwa mbali kuna ndege. Sasa ni kitu gani kinachoweza kunifanya mimi niamini kuwa hilo pori ni la Tanzania?

1) Kama ni video iliyo recordiwa Kenya na kuwekwa mitandaoni makusudi ili lengo la wale wamasai wa Kenya la kuichafua serikali yetu liweze kutimia?

2) Anasema hilo eneo ni la siri akimaanisha hakuna raia wa kawaida anaeruhusiwa kufika, ila cha kushangaza yeye yupo eneo hilo anachukua video na anapata hadi nafasi ya kuingiza sauti yake.

3) Ndege anayodai inabeba wanyama ukiiangalia vizuri utaona ni ya kawaida sana, sawa na zile ndege za kukodi ambazo watalii au watu wa kawaida huzunguka nazo mahali popote ikiwemo mbugani kuangalia wanyama kwa juu.

Kifupi jamaa kaleta propaganda mfu ambazo haziwezi kumsaidia yeye wala waliomtuma.
Ila hujanijibu swali langu. Maana kuna twiga, na wanyama wengine walishawahi kupandishwa kwenye ndege kule KIA enzi za JK, na kupelekwa Uarabuni.
 
Wanyama hawatoroshwi kwenda nje? Na hasa huko Uarabuni?
Hili swali lako ni la kipindi kilichopo kwahiyo moja kwa moja unajaribu kuihusisha serikali na upuuzi alioleta jamaa.

ndio maana nikakwambia wewe unaamini kila kibaya kinachoandikwa dhidi ya serikali. Kiwe cha kweli au uongo ilimradi kina lengo la kuichafua serikali basi wewe utakubaliana nacho tu bila kufanya uchunguzi wa kile kilichoandikwa au kuuliza fact ya kilichoandikwa kutoka kwa muandikaji.
Ila hujanijibu swali langu. Maana kuna twiga, na wanyama wengine walishawahi kupandishwa kwenye ndege kule KIA enzi za JK, na kupelekwa Uarabuni.
Nadhani hapo umenielewa.
 
Waarabu wa Loliondo wapo toka Rais ni Mwinyi ..kama wangekuwa wanavunja sheria Mkapa alipoingia madarakani mbona hakuwatimua?
Why Magufuli nae hakuvunja mikataba na hawa sasa?..
Majungu ndo meengi kuliko uhalisia .....
Lakini awakuleta ndege zao kipindi Cha magu
Sio team tetea...team logic..
Ndege za wazungu mbugani hamlalamiki...
Ndege za wachina mbugani hamlalamiki huku inajulikana wachina ndo walanguzi wakubwa wa meno ya tembo duniani....
Nyinyi mko bize na ndege za waarabu Tu ...hata kama ni hisia tu kuwa wanakuja kubeba wanyama...ushahidi hakuna lakini mnashupaza mashingo ...na mapovu yanawatoka.....

Hiyo narration kuwa Samia anawapendelea waarabu ni ya kipumbavu sana ...kama waarabu hawafai mngemwambia Magufuli awatimue au Mkapa awatimue ..
Samia kawakuta hao wawekezaji WA kiarabu wapo kisheria ..
Na Samia akimaliza mda wake akija Rais mwingine mkristo hata midege itue 100 huko mbugani mtanyamaza kimyaa Kwa unafiki wenu
Na wewe tuoneshe izo za wa china na wazungu usilete uwarabu, usiwausishe waslam apo awapo kabisa,
 
Ila hujanijibu swali langu. Maana kuna twiga, na wanyama wengine walishawahi kupandishwa kwenye ndege kule KIA enzi za JK, na kupelekwa Uarabuni.
Mgosi leteni picha hata moja narudia hata moja ya wanyama wanaibiwa.Bila hivyo itakuwa propoganda na uzushi usiokuwa na mbele wala nyuma.Hii picha kwenye hii mada utaona ni ndege ndogo charter ndio kweli mnataka kutuaminisha zinabeba wanyama.Mmetufanya mazezeta wasiotumia akili??
Kuhusu ndege ndogo zimejaa Uwanja wa ndege wa Arusha Kisongo.Nazo zinabeba wanyama?Ujinga ni maradhi hasa kama ujinga wenyewe sio wa kutokujua bali wa makusudi.
 
Waarabu wa Loliondo wapo toka Rais ni Mwinyi ..kama wangekuwa wanavunja sheria Mkapa alipoingia madarakani mbona hakuwatimua?
Why Magufuli nae hakuvunja mikataba na hawa sasa?..
Majungu ndo meengi kuliko uhalisia .....
Mkapa na Magufuli ndiyo walikuwa wasafi? Si ni hao hao CCM wanaotuumiza kila siku?
 
Upuuzi tu. Ka private jet ka kawaida halo ka matajiri wamekuja kutembea.
Jamaa tokea 2009 wanapeleka ndege kubwa ndiyo kipindi cha jk
IMG_20230108_214259.jpg
 

Attachments

  • IMG_20230108_214259.jpg
    IMG_20230108_214259.jpg
    61.2 KB · Views: 1
Acheni kupandikiza uongo na kuichonganisha serikali yetu kwa Ajenda zenu za Siri, Sasa hapo hiyo ndege IPO wapi? Wanyama wanao bebwa wapo wapi? Ni ndege aina gani? Kutoka nchi gani? Kwa utambulisho wa kutoka shirika gani la ndege? Wanyama wapo wapi hapo? Mbona hatuonyeshwi hao wanyama? Mbona hatuonyeshwi wakipandishwa kwenye ndege? Mbona hatuonyeshwi ndege ikitua na kupaa?

Huu uongo unawasaidia Nini? Mnalengo gani na serikali yetu? Mnapata faida gani kuichafua serikali yetu? Mnamlenga Nani kumchafua? Kwa masilahi ya Nani? Nani anawdfadhiri huu upotoshaji?

Iacheni serikali yetu ifanye kazi za kututumikia watanzania ,hizi propaganda za kitoto hazitawafikisha popote pale na hamtaweza kuichonganisha serikali yetu na sisi wananchi
We lijenzi lyane lkn welipukupuku.
Utali ni nsoni
 
Mod acheni kufuta comment za watu ...watu tuna akili kuwa zaidi yenu ....koment zangu nilizo kuwa na fafanua kuhusu waisiharamu ni kinanani sizioni .....[emoji849][emoji849]naona kabisa kunakila dalili za waisiharamu kuhodhi hii jamii forum kwa kupitia mapandikizi ya team rostam
 
Back
Top Bottom