Umeloa tayariRussia ni bogus sana, wanaisaidia Iran wakati na wenyewe wamesha nyang'anywa ardhi na Ukraine huo si ni unafiki kabisa.
Hapo mlengwa sio Israel,Bali mlengwa ni USA.Let's wait and see. But Jerusalem wana special agreement na Moscow.
Uko nyuma ya wakati.Russia ni bogus sana, wanaisaidia Iran wakati na wenyewe wamesha nyang'anywa ardhi na Ukraine huo si ni unafiki kabisa.
Pia Iran wana mkataba wa kiulinzi na Urusi, yeyote atakayemshambulia Iran Urusi anaingia kulinda mkataba… unaogopa nini sasa si kila siku unasema Iran hawana lolote na kusifia jeshi mashoga la Israel.Let's wait and see. But Jerusalem wana special agreement na Moscow.
Hivi yale masaa 72 bado ? nimefuatilia kwenye runinga naona bado
Tunasubiria maana huku kijiweni sisi timu Iran tunakaa kinyonge mimi nimechimba watu mkwara kama vile ndio naenda front line
Kwa hiyo Putin anamtumia Iran ku-target US through Israel? Kwamba Iran na Israel ni nyasi tu mafahali wanajulikana?Hapo mlengwa sio Israel,Bali mlengwa ni USA.
Kama Putin alivyoahidi mkimpa silaha Ukraine NAMI ntawapa silaha maadui zenu.
Hali ni tete.
Huo mkataba ulisainiwa lini?, maana kijukuu cha Ibrahimu kimeua mno viongozi wa kiislam hapo hapo iran😳😳😳Pia Iran wana mkataba wa kiulinzi na Urusi, yeyote atakayemshambulia Iran Urusi anaingia kulinda mkataba… unaogopa nini sasa si kila siku unasema Iran hawana lolote na kusifia jeshi mashoga la Israel.
Inawezekana Iran amenunua silaha hizo kama Israel alivyonunia kwa USA. Ila sasa silaha za kupewa sidhani kama Iran atamshinda Israel, Rusia na silaha zao zote wameshindwa kummaliza vita Ukraine.Pia Iran wana mkataba wa kiulinzi na Urusi, yeyote atakayemshambulia Iran Urusi anaingia kulinda mkataba… unaogopa nini sasa si kila siku unasema Iran hawana lolote na kusifia jeshi mashoga la Isra
Hayo ya kushinda siyo muhimu kwa sasa muhimu vita vianze tu heshima iwepo watu wanataka kuona Tev Aviv majengo na maiti zionekane kama wao wanavyofanya Gaza na sehemu zingine.Inawezekana Iran amenunua silaha hizo kama Israel alivyonunia kwa USA. Ila sasa silaha za kupewa sidhani kama Iran atamshinda Israel, Rusia na silaha zao zote wameshindwa kummaliza vita Ukraine.
Naona wagalatia mmepata mshutuko😂 mwenzako ujamuuliza mkatba hahahaha.Huo mkataba ulisainiwa lini?, maana kijukuu cha Ibrahimu kimeua mno viongozi wa kiislam hapo hapo iran😳😳😳
Hamna msaada hapo Russia anauza silaha kwa yeyote.Russia ni bogus sana, wanaisaidia Iran wakati na wenyewe wamesha nyang'anywa ardhi na Ukraine huo si ni unafiki kabisa.