Ndege za mizigo za kijeshi za Urusi zinapeleka silaha Iran

Ndege za mizigo za kijeshi za Urusi zinapeleka silaha Iran

Russia ni bogus sana, wanaisaidia Iran wakati na wenyewe wamesha nyang'anywa ardhi na Ukraine huo si ni unafiki kabisa.
Yaani wewe ambae hata mfumo wenu wa elimu ni mbovu ambao umezalisha watu kama wewe,mfumo ambao umeshindwa hata kuzalisha wasomi wenye tija, then una iita Russia bogus??
 
Hakuna taifa la kupigana na israel wakaishinda URUSI ukrein imemshinda vita ya week inamchukua miaka 10 hapo urusi anapotea kusema ukweli namana mashoga wakiiran, palestina, misri, jodarn, washachapwa kwa siku 5 sasa kataifa kama vaa magauni peke yake nawaonea huruma
 
Russia ni bogus sana, wanaisaidia Iran wakati na wenyewe wamesha nyang'anywa ardhi na Ukraine huo si ni unafiki kabisa.
We kilaza Iran kamsaidia Mrusi kupambana na hayo mashoga. Mrusi lazima atasimama naye pia. Sa lile taifa lenu mbona linasaidiwa kila kukicha hamsemi 😄
 
Namshauri ISRAEL iuwe wote isiangalie raia wala wagonjwa namana wakikua wanakua magaid
Wenzako wanaomba msamaha afu unawashauri ujinga .
Juzi nchi tano zote zinamuombea msamaha Israel .
Netanyau akasema atajirekebisha ila sizani kama alimaanisha kweli
 
Iran atupe kombora tuu, ndo tujue mbabe kweli. 😁
 
Back
Top Bottom