Ndege za mizigo za kijeshi za Urusi zinapeleka silaha Iran

Ndege za mizigo za kijeshi za Urusi zinapeleka silaha Iran

Wenzako wanaomba msamaha afu unawashauri ujinga .
Juzi nchi tano zote zinamuombea msamaha Israel .
Netanyau akasema atajirekebisha ila sizani kama alimaanisha kweli
Hizi habari za kuokoteza unazitoa wapi?!
 
Kwa hiyo Putin anamtumia Iran ku-target US through Israel? Kwamba Iran na Israel ni nyasi tu mafahali wanajulikana?
USA wamepeleka silaha zao ghuba kwenda kumlinda Israel dhidi ya Iran,nae Urusi kapeleka silaha zake kwenda kumlinda Iran dhidi ya USA.
Putin anatimiza ahadi yake kia west mkimpa silaha Ukraine nae atawapa maadui wa west silaha.
Na ukae ukijua ni wataalamu wa kirusi ndio watakaokua wanaziopareti silaha za kirusi kama vile wataalamu wa ki west wanavyozi opareti silaha za west.
Hapa tutegemee kuona Aircraft carriers zikizamishwa,naamini Kuna silaha nyingine kutoka Urusi zitapelekwa Yemen kwa wathubutu.
Iran itapata taarifa za kiintelijesnsia,mawasilano, satellites na ushauri ili kubomoa silaha za USA.
Hapa Israel sio lengo lA Urusi kupeleka silaha.
Nyuma ya Iran kuna north Korea na china pia.
USA safari hii lazima anyonywe chuchu.
Putin is not bluffing,mizigo inaendelea kushushwa Iran TU.
Ni kweli Iran ana bifu na israellkn Urusi Hana bifu na Israel yeye anamsubiri USA TU.sio maneno yangu ila ndio Hali halisi.
 
We kilaza Iran kamsaidia Mrusi kupambana na hayo mashoga. Mrusi lazima atasimama naye pia. Sa lile taifa lenu mbona linasaidiwa kila kukicha hamsemi 😄
Iran hana anachotengeneza zaidi ya ku assemble tu... Israel alikuwa anatengeneza kila kitu mwenyewe sema wamarekani wakanunua hisa nyingi na wakahamishia productions USA So israel hakuona Shida na uzushi wa Biden ameshaanza kutengeneza mwenyewe silaha na ammunition... so soon atatengeneza na kuuza
 
Alirusha 300

Zikaua mayahudi wangapi?
Kupiga Haniyeh mikononi mwa IRG hapo hapo sebuleni kwa Ayatollahs akila tende ni jibu kubwa sana. Bomu la kilo 6 liliwekwa chini ya kitanda hapo, likifyatuliwa kwa mbali. Ni wazi wamezika udongo.
 
Hayo ya kushinda siyo muhimu kwa sasa muhimu vita vianze tu heshima iwepo watu wanataka kuona Tev Aviv majengo na maiti zionekane kama wao wanavyofanya Gaza na sehemu zingine.
Kabla ya kuiona Tel aviv ikipigwa, Teheran itakuwa majivu. Mark my words!!!!.
 
Huenda anapeleka silaha zilizotekwa kwenye vita kuzifanyia uchunguzi!
 
Pia Iran wana mkataba wa kiulinzi na Urusi, yeyote atakayemshambulia Iran Urusi anaingia kulinda mkataba… unaogopa nini sasa si kila siku unasema Iran hawana lolote na kusifia jeshi mashoga la Israel.
Kumbe Idf alikuja ku recruit wanajeshi huku kwetu Tz kwenye mikoa ya pwani na Mombasa Kenya na Zanzibar. Haya maeneo ni maarufu kwa kuishi wajukuu za mtume(waarabu) ni dini yao ni waislamu. Ndo maana in most cases utasikia utambuliaho wao kuwa " huyo ni anti Hamis,huyo ni anti Issa,huyo Muddy" vivyo hivyo hata ukienda police uombe lock up register wengi waliokamatwa kwa uzurulaji( ukahaba/kujiuza) majina yao utakuta Asha,Zuena,Halima,anifa, Jamila,Fatuma etc ni nadra kusikia Joyce, Monica, Salome, Ester. Vivyo hivyo majambazi yakikamatwa majina yao utasikia: Bakari, Hussein,Muhammed, Hassan etc ni nadra kusikia jambazi anaitwa John, Hosea,Donald,Deus, Edwin,Gasper etc. BISHA KWA HOJA
 
Zikaua mayahudi wangapi?
Kupiga Haniyeh mikononi mwa IRG hapo hapo sebuleni kwa Ayatollahs akila tende ni jibu kubwa sana. Bomu la kilo 6 liliwekwa chini ya kitanda hapo, likifyatuliwa kwa mbali. Ni wazi wamezika udongo.
Ulisema arushe moja tuone, alirusha 300
 
Kumbe Idf alikuja ku recruit wanajeshi huku kwetu Tz kwenye mikoa ya pwani na Mombasa Kenya na Zanzibar. Haya maeneo ni maarufu kwa kuishi wajukuu za mtume(waarabu) ni dini yao ni waislamu. Ndo maana in most cases utasikia utambuliaho wao kuwa " huyo ni anti Hamis,huyo ni anti Issa,huyo Muddy" vivyo hivyo hata ukienda police uombe lock up register wengi waliokamatwa kwa uzurulaji( ukahaba/kujiuza) majina yao utakuta Asha,Zuena,Halima,anifa, Jamila,Fatuma etc ni nadra kusikia Joyce, Monica, Salome, Ester. Vivyo hivyo majambazi yakikamatwa majina yao utasikia: Bakari, Hussein,Muhammed, Hassan etc ni nadra kusikia jambazi anaitwa John, Hosea,Donald,Deus, Edwin,Gasper etc. BISHA KWA HOJA
Kwa akili yako kuna mtu makini atausmbuka kusoma huu uharo wako labda mashoga.
 
Kabla ya kuiona Tel aviv ikipigwa, Teheran itakuwa majivu. Mark my words!!!!.
Subiri msiba wa mabwana zenu umeishajiuliza kwa nini Ulaya na Marekani wanamuomba Iran asishambulie? Wanajua Iran ana kila kitu ambacho wao wanavyo.
 
Iran hana anachotengeneza zaidi ya ku assemble tu... Israel alikuwa anatengeneza kila kitu mwenyewe sema wamarekani wakanunua hisa nyingi na wakahamishia productions USA So israel hakuona Shida na uzushi wa Biden ameshaanza kutengeneza mwenyewe silaha na ammunition... so soon atatengeneza na kuuza
Hahahaha mlokole wa Kashai hataki kukubali kuwa Iran anatengeneza silaha.
 
Yaani wewe ambae hata mfumo wenu wa elimu ni mbovu ambao umezalisha watu kama wewe,mfumo ambao umeshindwa hata kuzalisha wasomi wenye tija, then una iita Russia bogus??
Kweli kabisa uko sahihi, mfumo wa elimu ambao unaruhusu hata madrassa huo mfumo lazima uwe feki.
 
USA wamepeleka silaha zao ghuba kwenda kumlinda Israel dhidi ya Iran,nae Urusi kapeleka silaha zake kwenda kumlinda Iran dhidi ya USA.
Putin anatimiza ahadi yake kia west mkimpa silaha Ukraine nae atawapa maadui wa west silaha.
Na ukae ukijua ni wataalamu wa kirusi ndio watakaokua wanaziopareti silaha za kirusi kama vile wataalamu wa ki west wanavyozi opareti silaha za west.
Hapa tutegemee kuona Aircraft carriers zikizamishwa,naamini Kuna silaha nyingine kutoka Urusi zitapelekwa Yemen kwa wathubutu.
Iran itapata taarifa za kiintelijesnsia,mawasilano, satellites na ushauri ili kubomoa silaha za USA.
Hapa Israel sio lengo lA Urusi kupeleka silaha.
Nyuma ya Iran kuna north Korea na china pia.
USA safari hii lazima anyonywe chuchu.
Putin is not bluffing,mizigo inaendelea kushushwa Iran TU.
Ni kweli Iran ana bifu na israellkn Urusi Hana bifu na Israel yeye anamsubiri USA TU.sio maneno yangu ila ndio Hali halisi.
Kwa mujibu wa redio masjid ubwabwa ya kwa mtoro kariakoo.
 
Kama hapa ungeona Ukraine ameenda kuisaidia nchi nyingine kijeshi wakati yenyewe ina vita hapo ndipo ungeihusisha Ukraine kwenye hoja yako. Tumia akili kijana
Wanajeshi wa Ukraine walisaidia waasi huko Mali kutaka kupindua nchi juzi tuh
 
Ingekuwa USA, France na kina England ndo wametuma hiyo ndege,wavaa njiwa wa bongoland wangeanza maneno Yao kuwa Israel ni mweupe bila usaidizi wa NATO kumbe na wenyewe ni walewale2 kasoro tarehe
Wavaa pampers mnashida sana
Israhell si inalindwa na mungu au kaitelekeza?😀
 
Hakuna taifa la kupigana na israel wakaishinda URUSI ukrein imemshinda vita ya week inamchukua miaka 10 hapo urusi anapotea kusema ukweli namana mashoga wakiiran, palestina, misri, jodarn, washachapwa kwa siku 5 sasa kataifa kama vaa magauni peke yake nawaonea huruma
Kwani hamas anapigana muda gani sasa

Wala huhitaji taifa kuwapiga wavaa pampers wenzenu wa israhell unawaundia tu kakikundi unaacha wahangaike nacho
 
Subiri msiba wa mabwana zenu umeishajiuliza kwa nini Ulaya na Marekani wanamuomba Iran asishambulie? Wanajua Iran ana kila kitu ambacho wao wanavyo.
Siyo kweli. Ni masuala ya kibiashara, na kiuchumi tuu.
 
Back
Top Bottom